-
Bashar al-Assad alilikataa pendekezo la Saudia la kujengwa upya Syria kwa kuvunja uhusiano na Iran na Hizbullah
Aug 22, 2018 21:09Mbunge wa harakati ya Hizbullah katika bunge la Lebanon amesema, rais wa Syria hakulikubali pendekezo la Saudi Arabia la kuijenga upya nchi hiyo mkabala wa Syria kuvunja uhusiano wake na Hizbullah na Iran.
-
Balozi: Kiwango cha mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Kenya kinaweza kufikia dola milioni 500
Aug 22, 2018 09:58Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya amesema: kiwango cha mabadilishano ya kibiashara kati ya Tehran na Nairobi kinaweza kuongezeka na kufikia dola milioni 500.
-
Kutokuwa halali vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Aug 22, 2018 03:32Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu ametahadharisha kuhusianja na kuenea vita vya kiuchumi ulimwenguni na kusema kuwa, hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo tena Iran si halali kisheria, ya kidhalimu na ina madhara.
-
Ayatullah Amoli Larijani: Marekani haiwezi kukariri mapinduzdi ya Mordad 28 nchini Iran
Aug 20, 2018 22:14Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mapinduzi ya Marekani ya Mordad 28 (Agosti 1953) hapa nchini na kusisitiza kwamba, mara hii taifa la Iran litatoa pigo kali kwa maadui.
-
Rais wa Iraq: Uhusiano wa Tehran na Baghdad ni mzuri
Aug 19, 2018 23:25Rais wa Iraq amevitaja vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni kwa madhara ya serikali na wananchi wa Iraq.
-
Kukaririwa tuhuma zisizo na msingi za Marekani dhidi ya Iran
Aug 19, 2018 00:01Katika kipindi chote cha miaka 40 ya kuasisiwa mfumo wa Jamhuriya Kiislamu nchini Iran, Marekani daima imekuwa ikifuatilia na kutoa tuhuma maalumu na zisizo na msingi dhidi ya taifa la Iran.
-
Marekani yatoa vitisho tena kwa wanunuzi wa mafuta ya Iran
Aug 17, 2018 23:44Serikali ya Marekani imezitishia tena kuziwekea vikwazo nchi zinazonunua mafuta kutoka Iran ikiwemo China.
-
Naibu Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumeunda makombora ya kisasa kulingana na vitisho vya adui
Aug 17, 2018 10:46Naibu Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema, zimeundwa zana, makombora na mifumo ya kiulinzi ya kisasa nchini kulingana na vitisho vya adui na akasisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haianzishi vita lakini ina uwezo mzuri sana wa kujihami na yeyote atakayeichokoza atajuta.
-
Zarif: Marekani imejitakia yenyewe kutengwa kimataifa baada ya kujitoa katika JCPOA
Aug 16, 2018 03:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani imejitakia yenyewe kutengwa kimataifa baada ya kujitoa kinyume cha sheria katika mapatano ya nyuklia na Iran.
-
China: Hatutasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani kuihusu Iran
Aug 14, 2018 10:31Mkuu wa Shirikisho la Sekta ya Mafuta na Bidhaa za Kemikali nchini China amesema kuwa, Beijing haina nia ya kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani kwa ajili ya kutekeleza vikwazo vya upande mmoja vya Washington dhidi ya Iran.