Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Nairobi, mwenyeji wa Mkutano wa Ustaarabu wa Iran A/Mashariki

    Nairobi, mwenyeji wa Mkutano wa Ustaarabu wa Iran A/Mashariki

    Feb 07, 2025 04:25

    Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya jana Alkhamisi kilikuwa mwenyeji wa mkutano wa Ubalozi wa Iran wenye kaulimbiu inayosema "Kupekua Ushawishi wa Ustaarabu na Utamaduni wa Kiajemi kwa jamii za Afrika Mashariki."

  • Wakati Kiongozi Muadhamu alipoonana na Jeshi la Anga maadhimisho ya Alfajiri Kumi 2025

    Wakati Kiongozi Muadhamu alipoonana na Jeshi la Anga maadhimisho ya Alfajiri Kumi 2025

    Feb 07, 2025 04:02

    Sambamba na maadhimisho ya Alfajiri Kumi ya mwaka wa 46 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran, Imam Khamenei ameonana na kundi la maafisa wa Jeshi la Anga la Iran.

  • Pezeshkian: Silaha za nyuklia hazina nafasi katika doktrini ya Jamhuri ya Kiislamu

    Pezeshkian: Silaha za nyuklia hazina nafasi katika doktrini ya Jamhuri ya Kiislamu

    Feb 06, 2025 23:24

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema nchi yake haifuatilii vita wala silaha za nyuklia, kwani mafundisho ya Jamhuri ya Kiislamu yanakataa mauaji ya watu wasio na hatia kwa hali yoyote.

  • Donald Trump na kuanza tena sera iliyofeli ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Donald Trump na kuanza tena sera iliyofeli ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Feb 06, 2025 08:57

    Jumanne ya Februari 4, 2025, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini hati ya utendaji ili kuendeleza sera za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran na kudai kwamba, "Yuko tayari kuzungumza na rais wa Iran."

  • Iran yaonesha sehemu ya nguvu zake za makombora mapya

    Iran yaonesha sehemu ya nguvu zake za makombora mapya

    Feb 06, 2025 03:39

    Mfumo wa kimkakati wa ulinzi wa anga wa masafa marefu wa Bavar 373 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umepasi katika majaribio kwa kutungua kwa umahiri vyombo vilivyokuwa vinaruka katika masafa ya juu angani. Hayo yamefanyika kwenye mazoezi ya kijeshi ya anga ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaliyopewa jina la Eqtedar 1403.

  • Pezeshkian: ECO ni jukwaa muhimu la ushirikiano baina ya nchi za Kiislamu

    Pezeshkian: ECO ni jukwaa muhimu la ushirikiano baina ya nchi za Kiislamu

    Feb 06, 2025 03:26

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano kati ya nchi za Kiislamu na amesema: "Jumuiya ya ECO inaweza kuwa jukwaa linalofaa mno kwa ajili ya kuleta maelewano na ushirikiano kati ya mataifa ya Kiislamu."

  • Nchi 35 duniani zinatumia dawa za kibioteknolojia za Iran

    Nchi 35 duniani zinatumia dawa za kibioteknolojia za Iran

    Feb 05, 2025 23:04

    Katibu wa Jumuiya ya Watengenezaji na Wasafirishaji wa Bidhaa za Dawa za Sekta ya Bioteknolojia ya Iran ametangaza bidhaa hizo zinauzwa katika nchi 35.

  • Kiongozi Muadhamu awasamehe wafungwa zaidi ya 3,000 kwa mnasaba wa maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Kiongozi Muadhamu awasamehe wafungwa zaidi ya 3,000 kwa mnasaba wa maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 05, 2025 11:25

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ameidhinisha kusamehewa kikamilifu au sehemu ya adhabu wafungwa zaidi ya 3,000 katika maadhimisho ya mwaka wa 46 wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Iran yamhutubu Trump: Mashinikizo mengine ya juu, kushindwa tena US

    Iran yamhutubu Trump: Mashinikizo mengine ya juu, kushindwa tena US

    Feb 05, 2025 09:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, duru mpya ya kutekeleza sera ya "mashinikizo ya juu" ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu itapelekea kushindwa tena Washington.

  • Iran yaionya Israel kutokariri mauaji ya kimbari ya Gaza katika Ukingo wa Magharibi

    Iran yaionya Israel kutokariri mauaji ya kimbari ya Gaza katika Ukingo wa Magharibi

    Feb 03, 2025 23:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameitolea wito jamii ya kimataifa kuishurutisha Israel isikariri jinai yake ya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kama ilivyofanya katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS