Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yakosoa tuhuma zisizo na msingi za Uingereza

    Iran yakosoa tuhuma zisizo na msingi za Uingereza

    Oct 09, 2024 10:29

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amejibu madai ya afisa wa usalama wa Uingereza akisema: Maafisa wa serikali ya London wanapaswa kutumia ushawishi wao kusimamisha uchokozi na jinai za utawala ghasibu wa Israel badala ya kutoa tuhuma zisizo na msingi na mijadala ya kupotosha.

  • Rais wa Iran akosoa uungaji mkono wa US, EU kwa jinai za Israel

    Rais wa Iran akosoa uungaji mkono wa US, EU kwa jinai za Israel

    Oct 08, 2024 08:30

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezikosoa vikali Marekani na nchi za Ulaya kwa kuunga mkono jinai zinazofanywa na utawala khabithi wa Israel.

  • Iran yanakusha madai ya kuvuruga usalama katika Bahari Nyekundu

    Iran yanakusha madai ya kuvuruga usalama katika Bahari Nyekundu

    Oct 06, 2024 22:51

    Mwakilishi wa Iran katika Kamati ya Ulinzi wa Mazingira ya Baharini (MEPC) amekadhibisha madai yaliyotolewa na Marekani dhidi ya Iran kuhusu usalama wa Bahari Nyekundu.

  • Jenerali Naqdi: Tutaishtaki US kwa kupuuza Mkataba wa Algiers

    Jenerali Naqdi: Tutaishtaki US kwa kupuuza Mkataba wa Algiers

    Oct 06, 2024 22:50

    Naibu Kamanda wa Jeshi la Ulinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC anayesimamia masuala ya uratibu amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itafungua kesi dhidi ya Marekani mwezi ujao kwa kushindwa kwake kutekeleza Mkataba wa Algiers kuhusiana na kurejeshwa mali za Iran.

  • Araghchi akosoa uzembe wa Baraza la Usalama katika kukabiliana na jinai za Israel

    Araghchi akosoa uzembe wa Baraza la Usalama katika kukabiliana na jinai za Israel

    Oct 05, 2024 23:21

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa uzembe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo haramu na jinai za utawala wa Kizayuni ambazo zinafanyika kwa himaya na uungaji mkono wa Marekani na Uingereza.

  • Washington Post: Makumi ya makombora ya Iran yameharibu vituo vya kijeshi vya Israel

    Washington Post: Makumi ya makombora ya Iran yameharibu vituo vya kijeshi vya Israel

    Oct 05, 2024 23:21

    Gazeti la Marekani la Washington Post limetangaza katika ripoti yake kwamba makumi ya makombora ya Iran yaliyorushwa siku ya Jumanne kuelekea Israel yalifanikiwa kupita katika mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel na kuharibu kambi zake za kijeshi.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Usitishaji vita Lebanon na Gaza unapaswa kufanyika kwa wakati mmoja

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Usitishaji vita Lebanon na Gaza unapaswa kufanyika kwa wakati mmoja

    Oct 04, 2024 23:04

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran inaunga mkono usitishaji vita kwa sharti kwamba, haki za wananchi wa Lebanon ziheshimiwe na kukubaliwa na Muqawama na kusema: Usitishaji huo wa mapigano unapaswa kuwa sawia na usitishaji vita huko Gaza.

  • Kiongozi wa Mapinduzi: Adhabu uliyopewa utawala wa Kizayuni na vikosi vya ulinzi vya Iran ilikuwa halali na ya kisheria

    Kiongozi wa Mapinduzi: Adhabu uliyopewa utawala wa Kizayuni na vikosi vya ulinzi vya Iran ilikuwa halali na ya kisheria

    Oct 04, 2024 08:51

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema katika khutba za Sala ya Ijumaa ya leo kwamba, kwa kuzingatia kanuni za kiulinzi za Uislamu, Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu na sheria za kimataifa, kazi adhimu na ya kiustadi iliyofanywa na vikosi vya ulinzi vya Iran ya kuuadhibu utawala mnyonyaji damu wa Kizayuni ilikuwa halali kabisa na ya kisheria.

  • Onyo la Iran kwa waungaji mkono wa Israel; Kaeni mbali na vita

    Onyo la Iran kwa waungaji mkono wa Israel; Kaeni mbali na vita

    Oct 04, 2024 04:22

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amezionya nchi za Magharibi na waungaji mkono wengine wa Israel katika eneo dhidi ya kuingilia mzozo kati ya Jamhuri ya Kiislamu na utawala wa Kizayuni.

  • Iran yakosoa 'hujuma' ya Israel dhidi ya Katibu Mkuu wa UN

    Iran yakosoa 'hujuma' ya Israel dhidi ya Katibu Mkuu wa UN

    Oct 04, 2024 03:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali hatua ya karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS