-
Kwa mara nyingine, Iran yalaani jaribio la UK la kuwahamishia wakimbizi nchini Rwanda
Jun 15, 2022 03:01Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa mara nyingine tena amelaani jaribio la Uingereza la kuwahamishia kwa lazima wakimbizi wa nchi hiyo huko Rwanda na kusema kuwa hiyo ni aibu ya kihistoria.
-
Abdollahian: Iran haina vizingiti katika kukuza ushirikiano wake na Nigeria
Jun 12, 2022 00:14Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haina vizingiti vyovyote katika njia ya kustawisha uhusiano wake na Nigeria.
-
Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji
Jun 11, 2022 02:57Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema kuwa, nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa ujumla wanapaswa kuungana na kuwa kitu kimoja katika vita vya kuangamiza fikra potofu ya ukufurishaji.
-
Iran yazidi kuimarisha biashara na nchi za Afrika
Jun 08, 2022 22:36Naibu mkuu wa Shirika la Kukuza Biashara la Iran (TPO) anayeshughulikia maendeleo ya masoko ya nje amesema shirika lake linatafuta njia za kutekeleza mifumo ya biashara ya kubadilishana bidhaa na washirika wa kibiashara wa bara la Afrika.
-
Abdollahian: Iran iko tayari kuipatia Kenya misaada ya kibinadamu zikiwemo chanjo cha Covid-19
Jun 03, 2022 02:47Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran iko tayari kuIpatia Kenya misaada ya kibinadamu katika uga wa tiba zikiwemo chanjo za Covid-19.
-
Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran
Jun 01, 2022 03:37Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Tehran.
-
Balozi: Safari ya Rais wa Iran nchini Afrika Kusini itaimarisha uhusiano wa nchi mbili
May 31, 2022 21:01Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran amesema safari tarajiwa ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Afrika Kusini katika mwezi wa Oktoba au Novemba mwaka huu itakuwa fursa ya kuimarisha uhusiano wa nchi mbili.
-
Iran na Afrika Kusini zitilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano baina yao
May 23, 2022 20:48Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya kisiasa ametilia mkazo wajibu wa kuimarishwa ushirikiano baina ya nchi yake na Afrika Kusini na kusisitiza kuwa, kutiwa nguvu ushirikiano baina ya Tehran na Pretoria ni jambo la dharura sana kwa ajili ya kupambana na fikra potofu ya kila nchi kujikumbizia mambo yote upande wake.
-
Mokhber: Uhusiano wa Iran na nchi za Afrika umeingia mkondo mpya
May 18, 2022 21:56Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi za Afrika ikiwemo Ghana umechukua mkondo mpya.
-
Wizara ya Mambo ya Nje: Usafirishaji wa bidhaa za Iran Afrika umeongezeka kwa 120%
May 10, 2022 22:11Mkuu wa Idara ya Magharibi na Katikati mwa Afrika ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, usafirishaji wa bidhaa kuelekea nchi za bara la Afrika umeongezeka kwa asilimia 120.