-
Zarif: Wamarekani wamechoshwa na udhalimu wa viongozi wao
Jun 28, 2018 23:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema wananchi wa Marekani wamechoshwa na ufisadi, udhalimu, ukosefu wa uadilifu na kutostahiki watawala wao.
-
Mwanasiasa wa Russia: Mafanikio ya Iran katika eneo yameikasirisha mno Washington
May 22, 2018 09:31Mbunge wa ngazi ya juu katika bunge la Russia (Duma) amesema kuwa, siasa za kujitegemea na nafasi chanya na athirifu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati, zimeifanya Marekani kupatwa na hasira.
-
Foreign Policy: White House inapotosha fikra za walimwengu kuhusu jinai za Saudia huko Yemen
Nov 23, 2017 10:56Jarida la Foreign Policy linalochapishwa nchini Marekani limeandika kuwa Ikulu ya Rais wa nchi hiyo, White House inafanya jitihada za kutengeneza mazingira na propaganda mpya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuzipotosha fikra za walimwengu kuhusu jinai zinazofanywa na Saudi Arabia huko Yemen.
-
Iran iko tayari kukabiliana na chokochoko yoyote ya Marekani
Sep 21, 2017 02:35Afisa wa ngazi za juu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa, iwapo Markeani itakiuka mapatano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Uteekelzaji, JCPOA, Iran iko tayari kuanza upya shughuli zake zote za nyuklia.
-
Marekani yatoa nyaraka za kuhusika kwake na mapinduzi ya Iran 1953
Jun 16, 2017 03:17Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetoa nyaraka zinazoonyesha kuwa, nchi hiyo ilihusika na njama za mapinduzi ya mwaka 1953 nchini Iran.
-
Rais wa Marekani na Waziri wa Ulinzi wa Saudia ni watu hatari zaidi duniani
May 15, 2017 03:21Gazeti la The Independent linalochapishwa Uingereza limemuelezea Rais wa Marekani na Waziri wa Ulinzi wa Saudi Arabia kuwa ni watu hatari zaidi duniani.
-
Alaeddin Boroujerdi: Kushindwa magaidi katika Mashariki ya Kati ndio sababu ya Marekani kuitishia Iran
Feb 05, 2017 00:58Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nafasi athirifu ya Iran katika vita dhidi ya ugaidi katika nchi za Iraq na Syria ndio sababu kuu ya ghadhabu za Marekani na vitisho vyake vipya dhidi ya taifa hili.
-
Iran yawasilisha nyaraka za mashtaka dhidi ya Marekani Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu
Feb 04, 2017 13:28Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepiga hatua nyingine muhimu kwa ajili ya kurejesha fedha zake zinazozuiliwa huko Marekani kwa kuwasilisha nyaraka kamili za mashtaka dhidi ya serikali ya Washington katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ), huko The Hague.
-
Qassemi: Madai ya Marekani dhidi ya Iran si mapya na hayana msingi wowote
Feb 03, 2017 00:08Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, madai ya mshauri wa usalama wa taifa wa Rais wa Marekani kwamba, majaribio ya makombora ya Iran yanakinzana na azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hayana msingi, ni ya kukaririwa na ya kichochezi.
-
Marekani yarefusha vikwazo vya miaka kumi dhidi ya Iran
Dec 15, 2016 04:36Katika kuendeleza uhasama na uadui wake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, rasimu ya kurefusha vikwazo vya miaka kumi vya Marekani dhidi ya Iran imepasishwa na kuwa sheria bila ya kutiwa saini na Rais wa nchi hiyo.