-
Obama: Karibuni hivi Trump atakabiliana na ukweli wa mambo kuhusu ahadi alizozitoa
Nov 15, 2016 11:33Rais Barack Obama wa Marekani amemuonya rais mteule wa nchi hiyo, Donald Trump kwamba hivi karibuni atashuhudia ukweli wa mambo juu ya utekelezaji wa ahadi zake tata alizozitoa kwa Wamarekani wakati wa kampeni.
-
Trump: Ni lazima niibuke mshindi Marekani, vyombo vya habari acheni uongo
Oct 28, 2016 04:26Mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais nchini Marekani amesema kuwa, ni lazima ataibuka mshindi katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika siku chache zijazo, huku akivituhumu vyombo vya habari vya Marekani kuwa vinamuunga mkono hasimu wake na kupotosha ukweli.
-
Zolfaghari: Marekani inafanya njama za kueneza harakati za Kiwahabi M/Kati
Oct 28, 2016 01:02Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Iran, Hossein Zolfaghari amesema kuwa, hivi sasa Marekani inafanya njama za kueneza harakati za makundi ya ukufurishaji ya Kisalafi ndani ya nchi za Iran, Pakistan na Afghanistan.
-
Trump aamua kutozungumzia hali ya afya ya Hillary Clinton
Sep 12, 2016 11:32Mgombea uraia kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump, amenyamanzia kimya kuzungumzia hali ya afya ya mshindani wake wa chama cha Democrat, Hillary Clinton.
-
Salehi: Tani 32 za maji mazito zitasafirishwa kupelekwa Marekani mnamo wiki zijazo
Jun 05, 2016 10:56Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (IAEO), Ali Akbar Salehi, amesema shehena ya tani 32 za maji mazito inatazamiwa kusafirishwa kupelekwa nchini Marekani katika wiki zijazo.
-
Paul Ryan: Marekani imesalimu amri mbele ya Iran kwa mununua maji mazito ya Arak
Apr 23, 2016 01:47Spika wa Congresi ya Marekani amesema kuwa uamuzi wa nchi yake wa kununua maji mazito ya nyuklia kutoka Iran ni kusalimu amri ambako hakuna mfano mbele ya Iran.
-
Video: Kuingia kwenye maji ya Iran kwawaponza wanajeshi wa Marekani
Feb 06, 2016 08:26Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH limewatia mbaroni wanajeshi 10 wa Marekani baada ya wanajeshi hao kuingia katika maji ya Iran katika Ghuba ya Uajemi.