-
Muqtada al-Sadr: Ubalozi na kambi zote za kijeshi za Marekani nchini Iraq zipigwe kufuli mara moja
Jan 05, 2020 12:56Muqtada al-Sadr, Kiongozi wa Harakati ya Al-Sadr ya nchini Iraq ametoa ujumbe leo kwenda kwa spika wa bunge akitaka kupigwa kufuli ubalozi wa Marekani na kambi zake za kijeshi nchini humo.
-
Bunge la Iraq lapitisha mpango wa kuwatimua askari wa jeshi la Marekani walioko nchini humo + Video
Jan 05, 2020 12:48Bunge la Iraq limepiga kura na kupitisha mpango uliopendekezwa na wabunge wa kuhitimisha makubaliano ya kijeshi yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na Marekani na kuwataka wanajeshi wa Marekani waondoke nchini humo.
-
Kiongozi Muadhamu: Watu wa eneo hili wanaichukia sana Marekani
Jan 01, 2020 08:59Kiongozi Muadhamu wa Mapinzudi ya Kiislamu akibainisha kwamba, 'Mimi, serikali na taifa la Iran tunalaani vikali shambulizi la Marekani dhidi ya Hashdu sh-Sha'abi ya Iraq', amesisitiza kuwa, watu wa eneo hili wanaichukia sana Marekani.
-
Jibu la Wairaqi kwa shambulizi la Marekani dhidi ya al Hashdul Shaabi
Jan 01, 2020 08:43Wananchi wa Iraq wamekusanyika na kufanya maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad na kuchoma moto milango kadhaa ya ubalozi huo wakijibu na kuonesha hasira yao dhidi ya mashambulizi yaliyofanywa na Marekani katika ngome za harakati ya wapiganaji wa kujitolea ya al Qhashdul Shaabi.
-
Marekani kutuma askari 4000 Asia Magharibi baada ya ubalozi wake 'kuvamiwa' Iraq
Jan 01, 2020 04:27Serikali ya Washington inajiandaa kutuma wanajeshi 4,000 wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, baada ya wananchi waliokuwa na ghadhabu wa Iraq kufanya maandamano mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad.
-
Trump apandwa na hasira kutokana na maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa Marekani nchini Iraq
Dec 31, 2019 23:23Rais Donald Trump wa Marekani ameonyesha radiamali yake kutokana na kufanyika maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa nchi hiyo huko Baghdad, mji mkuu wa Iraq.
-
Wananchi wenye hasira Iraq waandamana mbele ya ubalozi wa Marekani, balozi atoroka
Dec 31, 2019 09:10Malefu ya wananchi wenye hasira nchini Iraq leo wameandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad baada ya mazishi ya wapiganaji wa Harakati ya Kujitolea ya Wananchi maarufu kama Al Hashd al Shaabi ambapo wamelaani vikali hujuma ya anga ya Marekani dhidi ya vituo vya harakati hiyo.
-
IRGC: Vikosi na wananchi wa Iraq wana haki ya kujibu shambulizi la Marekani
Dec 31, 2019 03:55Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) sambamba na kulaani uvamizi uliofanywa na wanajeshi wa Marekani katika ardhi ya Iraq na shambulio walilofanya dhidi ya ngome za vikosi vya kujitolea vya wananchi vya wa nchi hiyo vya Hashdu Shaabi, limesema vikosi vya usalama pamoja na wananchi wa Iraq wana haki ya kujibu chokochoko hizo za Washington.
-
China yailaani Marekani kwa kushambulia vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Iraq
Dec 30, 2019 23:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameilaani Marekani kwa kushambulia maeneo ya "Basiji ya Wananchi" - vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Iraq vinayojulikana kwa jina maarufu la al Hashd al Shaabi.
-
Makumi ya askari wa Ufaransa wajiunga na makundi ya kigaidi Iraq na Syria
Dec 19, 2019 00:36Kituo cha Kuchunguza Ugaidi cha Ufaransa kimetangaza kuwa wanajeshi 30 wa nchi hiyo wamejiunga na makundi ya kigaidi katika nchi za Syria na Iraq.