-
Radiamali ya Iraq dhidi ya misimamo ya uingiliaji ya Imarati
Mar 21, 2018 21:50Ahmad Mahbub, msemaji wa chombo cha diplomasia cha Iraq ametoa taarifa akimtahadharisha Anwar Qarqash, Waziri Mshauri katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kuhusiana na matamshi yake yasiyo ya uwajibikaji, alipozitaja shughuli za wapiganaji wa kujitolea wa Iraq (Hashd as-Sha'bi) kuwa ni za kigaidi, na kuonya kwamba huenda matamshi kama hayo yakaharibu uhusiano wa nchi mbili.
-
Waziri Mkuu wa Iraq aonya kuhusu hujuma za kigaidi za kundi la Daesh
Mar 21, 2018 04:44Waziri Mkuu wa Iraq ametahadharisha kuhusu hujuma na mashambulizi yanayoweza kufanywa na mabaki ya kundi la kigaidi la Daesh sambamba na kukaribia uchaguzi wa Bunge nchini humo uliopangwa kufanyika tarehe 12 mwezi Mei mwaka huu.
-
Mbali na Uturuki kuivamia Syria, Erdoğan atishia tena kuishambulia Iraq
Mar 20, 2018 04:08Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametishia kwamba, ikiwa serikali ya Iraq haitoshirikiana na nchi yake, basi Ankara itaanzisha mashambulizi katika miji ya Sinjar nchini Iraq dhidi ya wanachama wa kundi la Kikurdi la PKK.
-
Al Abadi: Ugaidi umemalizika kijeshi Iraq, sasa ni vita vya kifikra
Mar 10, 2018 11:53Waziri Mkuu wa Iraq amesema kwa mtazamo wa kijeshi, ugaidi umeshindwa na kumalizika nchini Iraq na sasa hatua inayofuata ni kukabiliana na fikra za kigaidi.
-
Kamanda wa Hashdu ash-Sha'abi: Lau kama si Iran magaidi wangekuwa wameenea eneo lote
Mar 05, 2018 04:49Naibu kamanda wa harakati ya wananchi ya Hashdu ash-Sha'abi kaskazini mwa Iraq, amesema kuwa nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na ugaidi ni athirifu sana na kwamba lau kama si Iran basi ugaidi ungekuwa umeenea eneo lote la Mashariki ya Kati.
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Fatwa ya kihistoria ya Ayatullah Sistani ndiyo siri ya ushindi dhidi ya Daesh
Mar 03, 2018 23:09Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, fatwa ya kihistoria na ya mahala pake iliyotolewa na Ayatullah Sistani, marja'a mkubwa wa Waislamu wa Kishia nchini Iraq wakati nchi hiyo ilipokuwa katika hatari ya kumezwa kikamilifu na magaidi, ilikuwa na umuhimu mkubwa.
-
Iraq: Katu hatutoruhusu kuweko vituo vya kijeshi vya Marekani nchini mwetu
Mar 03, 2018 12:34Iraq imesema kuwa kwa vyovyote vile haitairuhusu Marekani kujenga vituo vya kudumu vya kijeshi katika ardhi ya nchi hiyo na kusema kuwa, kuruhusu jambo kama hilo ni kukiuka mamlaka yake ya kujitawala.
-
Onyo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq kwa Marekani
Mar 03, 2018 03:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema kuwa nchi hiyo itaendelea kupinga kuanzishwa vituo vya kijeshi vya Marekani katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Kupitishwa na Bunge la Iraq mswada wa kuondoka majeshi ya kigeni katika ardhi ya nchi hiyo
Mar 03, 2018 01:10Bunge la Iraq limepitisha katika kikao chake cha Alkhamisi ya tarehe Mosi Machi mswada unaoitaka serikali iainishe tarehe ya kuondoka majeshi ya nchi ajinabi katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Iraq yakataa ombi la Riyadh la kuikabidhi mamia ya 'magaidi' wa Saudia
Feb 25, 2018 23:10Iraq imekataa ombi la Riyadh la kuikabidhi zaidi ya raia 400 wa Saudi Arabia waliohukumiwa vifungo mbalimbali baada ya kupatikana na hatia za kufanya vitendo vya ugaidi nchini Iraq.