Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Kuangamizwa DAESH kumetokana na mshikamano wa wananchi wa Syria na Iraq

    Kuangamizwa DAESH kumetokana na mshikamano wa wananchi wa Syria na Iraq

    Feb 20, 2018 04:42

    Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Iraq amesema mshikamano wa wananchi wa nchi hiyo na wenzao wa Syria ndio uliowezesha kuangamizwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh katika eneo.

  • Baada ya kufanikiwa ushirikiano wao katika vita dhidi ya ugaidi, sasa Iran na Iraq zatiliana saini mapatano maalumu ya kijeshi

    Baada ya kufanikiwa ushirikiano wao katika vita dhidi ya ugaidi, sasa Iran na Iraq zatiliana saini mapatano maalumu ya kijeshi

    Feb 18, 2018 23:34

    Naibu Waziri wa Ulinzi wa Iran na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi ya Iraq wamekutana na kutiliana saini mapatano maalumu ya kijeshi.

  • Saudia inalenga kuvuruga uthabiti katika eneo

    Saudia inalenga kuvuruga uthabiti katika eneo

    Feb 18, 2018 04:00

    Mshauri wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, katika masuala ya kimataifa amesema Saudi Arabia inalenga kuvuruga uthabiti katika eneo kwa kuvuruga serikali zilizopo.

  • Qassemi: Al Jubeir anabwabwaja, anataka kuzungumza kwa niaba ya Wairaqi

    Qassemi: Al Jubeir anabwabwaja, anataka kuzungumza kwa niaba ya Wairaqi

    Feb 15, 2018 12:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu madai yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia katika kikao cha kuijenga upya Iraq dhidi ya Iran na kusema: Adel al-Jubeir amesahau kwamba hawezi kuzungumza kwa niaba ya serikali ya Iraq na wananchi wa nchi hiyo.

  • Guterres: Kuijenga upya Iraq kunahitajia umoja wa kitaifa

    Guterres: Kuijenga upya Iraq kunahitajia umoja wa kitaifa

    Feb 14, 2018 13:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameunga mkono ubunifu wa kila namna uliotolewa kuhusu kuijenga upya Iraq na kusisitiza kuwa, ujenzi mpya wa nchi hiyo iliyoharibiwa vibaya na vita unahitajia umoja wa kitaifa kati ya watu wa matabaka yote nchini humo.

  • Nujaba ya Iraq yasema itapambana na Israel ikiiletea chokochoko Hizbullah

    Nujaba ya Iraq yasema itapambana na Israel ikiiletea chokochoko Hizbullah

    Feb 14, 2018 04:03

    Harakati ya Nujaba ya Iraq imesema itaiunga mkono kikamilifu harakati ya Hizbullah ya Lebanon iwapo italazimishwa kuingia katika vita vipya na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto wa Kiiraqi

    Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto wa Kiiraqi

    Feb 12, 2018 10:58

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa mtoto mmoja wa Kiiraqi kati ya wanne nchini humo anaishi katika hali ya umaskini na kwamba Wairaqi wengine milioni nne wanahitaji msaada ikiwa ni natija ya kujiri vita vya kundi la kigaidi la Daesh huko Iraq.

  • Iraq: Saudia ilikuwa inawaruhusu magaidi kuingai nchini mwetu kuchafua usalama

    Iraq: Saudia ilikuwa inawaruhusu magaidi kuingai nchini mwetu kuchafua usalama

    Feb 11, 2018 01:10

    Wizara ya Ulinzi ya Iraq imetoa taarifa ikisema kuwa, utawala wa Aal-Saud nchini Saudia kuanzia mwaka 2004 hadi 2016, ilipuuza suala la kuwazuia magaidi wa Kiwahabi na wakufurishaji kuingia katika ardhi ya Iraq na kuchafua usalama.

  • Qassemi: Iran haitakubali sharti lolote lile kuhusiana na safari ya Rais wa Ufaransa mjini Tehran

    Qassemi: Iran haitakubali sharti lolote lile kuhusiana na safari ya Rais wa Ufaransa mjini Tehran

    Feb 05, 2018 13:01

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haitakubali sharti lolote lile kwa ajili ya safari ijayo ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa hapa nchini.

  • Nchi 70 kushiriki katika mkutano wa kuijenga upya Iraq

    Nchi 70 kushiriki katika mkutano wa kuijenga upya Iraq

    Feb 05, 2018 01:08

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imetangaza kuwa, nchi 70 na mamia ya mashirika makubwa na wewekezaji wa kimataifa wametangaza nia yao ya kushiriki katika mkutano wa kuijenga upya Iraq unaotarajiwa kufanyika Kuwait baadaye mwezi huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS