Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • London yahofia kurejea Uingereza mamia ya magaidi kutoka Syria na Iraq

    London yahofia kurejea Uingereza mamia ya magaidi kutoka Syria na Iraq

    Aug 20, 2017 12:01

    Waziri wa Nchi wa Usalama wa Ndani wa Uingereza ametahadharisha kuwa tishio la ugaidi dhidi ya nchi hiyo linaongezeka kufuatia kushindwa kundi la kigaidi la Daesh huko Iraq na Syria.

  • Operesheni ya kukomboa mji wa Tal Afar, Iraq kuendelea kwa mwezi mmoja

    Operesheni ya kukomboa mji wa Tal Afar, Iraq kuendelea kwa mwezi mmoja

    Aug 19, 2017 23:53

    Katibu Mkuu wa harakati ya an-Nujaba nchini Iraq ambayop ni sehemu ya harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi amesema kuwa, operesheni ya kukomboa mji wa Tal Afar kutoka mikononi mwa wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh itaendelea kwa kipindi cha kwa mwezi mmoja.

  • Sababu ya Iran kupinga vikali Kura ya Maoni ya kujitenga Kurdistan ya Iraq

    Sababu ya Iran kupinga vikali Kura ya Maoni ya kujitenga Kurdistan ya Iraq

    Aug 19, 2017 03:37

    Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Iran Meja Jenerali Mohammad Baqeri amesema Iran na Uturuki zinaitakidi kuwa kujitenga eneo la Kurdistan na ardhi ya Iraq kunaweza kuwa mwanzo wa machafuko ya muda mrefu na kuwaka moto wa vita nchini Iraq ambao matokeo yake yanaweza kuziathiri Iran na Uturuki.

  • Bin Salman aitaka Iraq iwe mpatanishi katika mgogoro wa Iran na Saudia

    Bin Salman aitaka Iraq iwe mpatanishi katika mgogoro wa Iran na Saudia

    Aug 13, 2017 23:05

    Qasim al-Araji, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iraq amesema mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na mwana wa mfalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman amemuomba awe mpatanishi katika mgogoro kati ya Saudia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kuendelea huduma za Hashdu sh-Sha'abi, udharura wa operesheni iliyojengeka juu ya msingi wa sheria

    Kuendelea huduma za Hashdu sh-Sha'abi, udharura wa operesheni iliyojengeka juu ya msingi wa sheria

    Aug 13, 2017 07:47

    Naibu Mkuu wa harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq, Abu Mahdi al-Muhandis, amesema Jumamosi ya jana kwamba, Iraq ingali inaihitajia harakati hiyo kwani kukombolewa mji wa Mosul, hakumaanishi kuwa ndio mwisho wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS).

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria nchini Iraq, kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria nchini Iraq, kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Aug 10, 2017 06:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria, Abdul Qader al-Masahel jana tarehe 8 Agosti aliwasili Baghdad nchini Iraq na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo.

  • Iran, muungaji mkono wa umoja na kulindwa ardhi yote ya Iraq

    Iran, muungaji mkono wa umoja na kulindwa ardhi yote ya Iraq

    Aug 09, 2017 22:30

    Sambamba na familia ya Masoud Barzani kushikilia iitishwe kura ya maoni katika eneo la Kurdistan nchini Iraq, maulama na shakhsia wa kidini pamoja na mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya nchi hiyo wamekutana na viongozi wa Iran hapa mjini Tehran na kujadili matukio yanayojiri hivi sasa nchini Iraq.

  • Iraq yataka iundwe kamati kukabiliana na uvunjaji sheria unaofanywa US nchini humo

    Iraq yataka iundwe kamati kukabiliana na uvunjaji sheria unaofanywa US nchini humo

    Aug 08, 2017 22:08

    Makamu wa Rais wa Iraq Nouri al-Maliki ametaka iundwe kamati maalumu kukabiliana na uvunjaji sheria unaofanywa na wanajeshi wa Marekani nchini humo.

  • Usalama warejea Mosul, Iraq baada ya kufurushwa magaidi wa Daesh mjini hapo

    Usalama warejea Mosul, Iraq baada ya kufurushwa magaidi wa Daesh mjini hapo

    Aug 06, 2017 23:45

    Kufuatia kukombolewa kikamilifu mji wa Mosul, Iraq na jeshi la nchi hiyo kutoka mikononi mwa magaidi na wakufurishaji wa Daesh, usalama umerejea mjini hapo baada ya kuwepo polisi wa kusimamia amani wapatao elfu 15.

  • Haider al-Abadi: Hashdu sh-Sha'abi Iraq haitovunjwa, itaendelea kuwepo

    Haider al-Abadi: Hashdu sh-Sha'abi Iraq haitovunjwa, itaendelea kuwepo

    Aug 05, 2017 22:39

    Waziri Mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi amesema kuwa, harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi kamwe haitovunjwa na itaendelea kuwepo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS