-
Warepublican waanza mchakato wa kumuondoa Ilhan Omar katika Kamati ya Mambo ya Nje ya Congresi kwa kuikosoa Israel
Feb 02, 2023 08:41Wanachama wa Republican katika Baraza la Wawakilishi la Marekani wanajiandaa kupigia kura muswada wa kumuondoa mwakilishi wa Kidemokrati, Ilhan Omar kwenye Kamati ya Masuala ya Kigeni, siku chache baada ya kuondolewa katika Kamati ya Masuala ya Afrika, kutokana na kukosoa ukatili na mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya raia wa Palestina.
-
HAMAS yatwaa droni ya kijasusi ya utawala haramu wa Israel
Jan 31, 2023 03:30Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imefanikiwa kutwaa ndege isiyo na rubani ya kijasusi ya utawala haramu wa Israel iliyokuwa ikiruka katika anga ya Ukanda wa Gaza.
-
Wapalestina wapongeza operesheni ya al-Quds, wasema ni kulipiza kisasi kwa mauaji ya Jenin
Jan 28, 2023 08:20Makundi ya muqawama na mapambano ya ukombozi wa Palestina yamepongeza operesheni ya kulipiza kisasi karibu na sinagogi katika makazi haramu ya walowezi wa Kizayuni kwenye eneo la al- Quds (Jerusalem) Mashariki linalokaliwa kwa mabavu na Israel, na kueleza kuwa oparesheni hiyo ni 'jibu la moja kwa moja' kwa uvamizi mbaya zaidi wa kijeshi wa Israel katika Ukingo wa Magharibi
-
Israel yaufyata baada ya onyo la Russia, yakataa ombi la US la kuipa Ukraine makombora
Jan 26, 2023 23:18Utawala haramu wa Israel umepinga ombi la Marekani la kuutaka uipe Ukraine makombora na silaha nyinginezo, baada ya Russia kuonya vikali dhidi ya kupewa Kiev misaada ya kijeshi na zana za vita.
-
Maelfu waandamana tena dhidi ya serikali yenye misimamo mikali ya Netanyahu
Jan 22, 2023 04:12Kwa mara nyingine, makumi ya maelfu ya wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina na kupachikwa jina la Israel wameandamana dhidi ya serikali yenye misimamo ya kuchupa mipaka ya Benjamin Netanyahu.
-
ICJ yapokea rasmi ombi la UN juu ya kughusubiwa ardhi za Wapalestina na Israel
Jan 21, 2023 23:01Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imepokea rasmi ombi la Umoja wa Mataifa la kutaka maoni ya ushauri kutoka kwa chombo hicho juu ya taathira za Israel kughusubu na kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Israel yashadidisha ukatili wake dhidi ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jan 19, 2023 06:56Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia kambi ya wakimbizi ya Wapalestina katika mji wa Jenin, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, na kuua shahidi Wapalestina wawili.
-
HAMAS: Jinai za kila uchao za Israel hazitapita hivi hivi
Jan 14, 2023 00:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) sambamba na kusema kuwa imesikitishwa na kitendo cha kuuawa shahidi vijana wawili wa Kipalestina na utawala haramu wa Israel, imeonya kuwa, jinai za kila uchao za utawala huo wa Kizayuni hazitapita hivi hivi.
-
Imarati yajikomba zaidi kwa Israel, shule za nchi hiyo kufunza 'Holocaust'
Jan 10, 2023 03:47Umoja wa Falme za Kiarabu unaendelea kujidhalilisha na kujipendekeza kwa utawala haramu wa Israel, na sasa shule za nchi hiyo zinazatamiwa kuanza kufundisha 'ngano ya Holocaust' yaani mauaji ya halaiki ya Wayahudi yanayodaiwa kufanywa na utawala wa Kinazi wa Ujerumani chini ya uongozi wa Adolf Hitler.
-
Iran yalitaka Baraza la Usalama la UN lilaani jinai, hujuma za Israel dhidi ya al-Aqsa
Jan 07, 2023 07:58Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani vikali kitendo cha Waziri wa Usalama wa Israel mwenye misimamo ya kuchupa mipaka cha kuuvunjia heshima Msikiti mtukufu wa al-Aqsa.