Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Yemen: Israel inastahili kusambaratishwa na kufutwa katika eneo

    Yemen: Israel inastahili kusambaratishwa na kufutwa katika eneo

    Jan 05, 2023 03:30

    Balozi wa Yemen mjini Tehran amesema kila mtu ana jukumu na nafasi katika harakati ya muqawama, na jukumu lenyewe ni kutia nguvu jitihada za kuitimua Marekani katika eneo hili la Asia Magharibi, na kuufuta utawala haramu wa Israel katika eneo.

  • Netanyahu: Azimio la UN dhidi ya Israel halina umuhimu, linakirihisha

    Netanyahu: Azimio la UN dhidi ya Israel halina umuhimu, linakirihisha

    Jan 01, 2023 03:54

    Waziri Mkuu wa Israel amesema azimio jipya lililopitishwa dhidi ya utawala huo haramu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa halina maana wala umuhimu wowote.

  • Israel yawaweka mamia ya watoto wa Kipalestina katika kifungo cha nyumbani

    Israel yawaweka mamia ya watoto wa Kipalestina katika kifungo cha nyumbani

    Dec 27, 2022 04:02

    Kamisheni ya Wafungwa wa Kipalestina imesema utawala haramu wa Israel umewaweka watoto zaidi ya 600 wa Kipalestina katika kifungo cha nyumbani, tokea mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa, huku utawala huo wa Kizayuni ukiendelea na kampeni yake ya kuwanyanyasa na kuwatia mbaroni Wapalestina.

  • Pigo jingine kwa Israel; Chile kufungua ubalozi wake Palestina

    Pigo jingine kwa Israel; Chile kufungua ubalozi wake Palestina

    Dec 22, 2022 23:42

    Rais wa Chile, Gabriel Boric amesema nchi hiyo inapanga kufungua ubalozi wake huko Palestina kwa shabaha ya kuongeza kiwango cha uwakilishwaji wake rasmi katika taifa hilo linalokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Muqawama: Tutalipiza kisasi cha mauaji ya Wapalestina Nablus

    Muqawama: Tutalipiza kisasi cha mauaji ya Wapalestina Nablus

    Dec 18, 2022 07:10

    Makundi ya muqawama ya Palestina yamelaani mauaji ya mandugu wawili wa Kipalestina katika mji wa Nablus, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Israel yawakatia maji Wapalestina wa Ukingo wa Magharibi

    Israel yawakatia maji Wapalestina wa Ukingo wa Magharibi

    Dec 15, 2022 22:55

    Utawala haramu wa Israel umewafungia maji mamia ya Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Mbunge wa Kizayuni afichua: 2023 Saudia na Israel zitasaini mkataba wa kuanzisha uhusiano rasmi

    Mbunge wa Kizayuni afichua: 2023 Saudia na Israel zitasaini mkataba wa kuanzisha uhusiano rasmi

    Dec 13, 2022 22:56

    Mbunge wa chama cha Likud katika Bunge la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema, kwa kuzingatia mazungumzo yaliyofanyika, inatarajiwa kuwa makubaliano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya utawala huo na Saudi Arabia yatasainiwa mwaka ujao wa 2023.

  • Hamas: Wapalestina hawataiacha Israel itekeleze njama zake

    Hamas: Wapalestina hawataiacha Israel itekeleze njama zake

    Dec 12, 2022 23:24

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema Wapalestina katu hawatouruhusu utawala haramu wa Israel utekeleza njama na mipango yake michafu dhidi ya mji mtakatifu wa Quds na Masjidul Aqsa.

  • Wazayuni wawashambulia Wapalestina wakisherehekea ushindi wa Morocco

    Wazayuni wawashambulia Wapalestina wakisherehekea ushindi wa Morocco

    Dec 11, 2022 07:40

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewashambulia wananchi wa Palestina waliokuwa wamekusanyika kusherehekea ushindi wa Morocco katika mchuano wa robo fainali ya mechi za Kombe la Dunia zinazoendelea kushuhudiwa nchini Qatar.

  • Juhudi za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa za kutokomeza silaha za nyuklia za Israel

    Juhudi za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa za kutokomeza silaha za nyuklia za Israel

    Dec 11, 2022 05:29

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeanza kuchukua hatua kwa lengo la kutokomeza silaha za atomiki za utawala haramu wa Israel baada ya nchi 149 wanachama wa umoja huo kuunga mkono azimio linaloutaka utawala huo wa Kizayuni "uache kufuatilia uzalishaji, uundaji, majaribio au kutaka kuwa na silaha za nyuklia" na "kuachana na mpango wa kumiliki silaha za nyuklia".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS