Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Hamas: Tutakubali kubadilishana wafungwa na Israel kwa masharti

    Hamas: Tutakubali kubadilishana wafungwa na Israel kwa masharti

    Apr 09, 2020 03:51

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema harakati hiyo imeazimia kuhakikisha kuwa wafungwa wa Kipalestina walioko katika jela za Israel wanaachiwa huru katika mpango wa kubadilishana wafungwa na utawala huo wa Kizayuni.

  • Arab League yatahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kulitumia vibaya janga la Corona

    Arab League yatahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kulitumia vibaya janga la Corona

    Apr 08, 2020 03:33

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amezungumza kwa simu na Katibu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) na kutahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kutumia vibaya janga la virusi vya corona.

  • Matokeo ya uchaguzi wa bunge wa utawala haramu wa Kizayuni na mpasuko mkubwa wa ndani

    Matokeo ya uchaguzi wa bunge wa utawala haramu wa Kizayuni na mpasuko mkubwa wa ndani

    Mar 06, 2020 04:07

    Matokeo ya uchaguzi wa tatu wa bunge la utawala haramu wa Israel katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, kabla ya jambo jingine lolote yanaonyesha kuwepo mpasuko mkubwa ndani ya utawala huo.

  • EU yakosoa mpango wa Israel wa kujenga vitongoji vipya Ukingo wa Magharibi

    EU yakosoa mpango wa Israel wa kujenga vitongoji vipya Ukingo wa Magharibi

    Feb 29, 2020 09:50

    Umoja wa Ulaya umekosoa vikali mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kujenga maelfu ya vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.

  • Sanders: Nikichaguliwa kuwa rais nitaurejesha ubalozi wa US Tel Aviv

    Sanders: Nikichaguliwa kuwa rais nitaurejesha ubalozi wa US Tel Aviv

    Feb 26, 2020 22:55

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani anayeongoza katika mbio za kuwakilisha chama cha Democratic katika uchaguzi ujao wa rais nchini humo amemtaja Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu kama mbaguzi asiyependa ustawi wa kisiasa na kijamii.

  • Baraza la Usalama la UN launga mkono suala la kuundwa nchi huru ya Palestina

    Baraza la Usalama la UN launga mkono suala la kuundwa nchi huru ya Palestina

    Feb 26, 2020 01:03

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza uungaji mkono wake kamili kwa suala la kuundwa nchi huru ya Palestina na kuendelezwa "mazungumzo yenye itibari" baina ya pande mbili.

  • Rais wa Tunisia: Quds ni mji mkuu wa Palestina, si bidhaa ya kuuzwa

    Rais wa Tunisia: Quds ni mji mkuu wa Palestina, si bidhaa ya kuuzwa

    Feb 25, 2020 04:18

    Rais Kais Saied wa Tunisia amesema Palestina ni milki ya Wapalestina na Quds tukufu inapaswa kuwa mji mkuu wa taifa hilo la Kiarabu.

  • Papa Francis akosoa mpango wa Trump wa Muamala wa Karne

    Papa Francis akosoa mpango wa Trump wa Muamala wa Karne

    Feb 24, 2020 01:10

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, kwa njia isiyo ya moja kwa moja amekosoa mpango wa Rais Donald Trump wa Muamala wa Karne ambapo ameonya kuwa, mipango ya namna hiyo inayoegemea upande mmoja haiwezi kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Palestina na Israel.

  • Wapalestina kadhaa wauawa shahidi na wanajeshi wa Israel Ukanda wa Gaza

    Wapalestina kadhaa wauawa shahidi na wanajeshi wa Israel Ukanda wa Gaza

    Feb 23, 2020 09:58

    Askari wa jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua shahidi Wapalestina wawili katika uzio unaotenganisha Ukanda wa Gaza na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.

  • Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya njama ya Trump ya

    Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya njama ya Trump ya "Muamala wa Karne"

    Feb 20, 2020 04:45

    Baraza la Seneti la Pakistan limepasisha kwa sauti moja azimio linalopinga mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne" likisema kuwa unawataka Wapalestina wasalimu amri kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS