Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Ujumbe wa jumuiya za Mayahudi watembelea Saudia kwa siri na kufanya mazungumzo katika kasri la Mfalme Salman

    Ujumbe wa jumuiya za Mayahudi watembelea Saudia kwa siri na kufanya mazungumzo katika kasri la Mfalme Salman

    Feb 15, 2020 23:20

    Kanali ya Kwanza ya televisheni ya Israel imetangaza kuwa ujumbe uliojumuisha viongozi wa jumuiya za Kiyahudi za Marekani ulitembelea Saudi Arabia siku za hivi karibuni na kupokewa katika kasri la Mfalme Salman bin Abdul Azizi Aal Saud mjini Riyadh.

  • Rais Abbas kwa Baraza la Usalama: Muamala wa Karne unakiuka maazimio ya UN

    Rais Abbas kwa Baraza la Usalama: Muamala wa Karne unakiuka maazimio ya UN

    Feb 12, 2020 04:10

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa, mbali na mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani uliopewa jina la Muamala wa Karne kukanyaga maazimio ya umoja huo, pia unakiuka mamlaka na uhuru wa kujitawala Palestina.

  • Wajumbe zaidi ya 100 wa Baraza la Wawakilishi Marekani waukataa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Wajumbe zaidi ya 100 wa Baraza la Wawakilishi Marekani waukataa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Feb 08, 2020 09:27

    Wajumbe 107 wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemwandikia barua rais wa nchi hiyo Donald Trump wakiupinga vikali mpango wake alioupa jina la "Muamala wa Karne".

  • Ndege za kivita za Israel zatumia ndege ya abiria kama ngao Syria

    Ndege za kivita za Israel zatumia ndege ya abiria kama ngao Syria

    Feb 07, 2020 23:28

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema ndege za kijeshi za utawala haramu wa Israel zimetumia ndege ya abiria kama ngao ya kujikinga katika uvamizi wake mpya dhidi ya Syria.

  • Waziri Mkuu wa Sudan aghadhabishwa na mkutano wa Burhan na Netanyahu

    Waziri Mkuu wa Sudan aghadhabishwa na mkutano wa Burhan na Netanyahu

    Feb 05, 2020 21:49

    Waziri Mkuu wa Sudan amekosoa vikali mkutano wa Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan, Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

    Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

    Feb 05, 2020 04:23

    Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

  • Mkutano wa siri wa Marekani, UAE na Israel kujadili njama dhidi ya Iran

    Mkutano wa siri wa Marekani, UAE na Israel kujadili njama dhidi ya Iran

    Feb 05, 2020 04:19

    Kumefanyika mkutano wa siri kati ya Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa lengo la kujadili njama dhidi ya Iran.

  • Juhudi za utawala haramu wa Israel za kutafuta washirika barani Afrika

    Juhudi za utawala haramu wa Israel za kutafuta washirika barani Afrika

    Feb 05, 2020 03:25

    Ikiwa ni katika kuendeleza juhudi zake za kuwa na ushawishi na kutafuta washirika kwa minajili ya kutekeleza siasa zake za kivamizi, Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala haramu amekutana na kufanya mazungumzo mjini Entebe Uganda na Luteni Jenerali Abdul-Fattah al-Burhan, Kiongozi wa Baraza la Utawala la Sudan.

  • EU yapinga njama za Trump dhidi ya Wapalestina

    EU yapinga njama za Trump dhidi ya Wapalestina

    Feb 05, 2020 01:16

    Umoja wa Ulaya umepinga mpango uliopendekezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambao unakandamiza haki za taifa la Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne" ukisisitiza kuwa, mpango huo unakanyaga sheria za kimataifa.

  • Arab League yapinga

    Arab League yapinga "Muamala wa Karne", yatoa onyo kali kwa Israel

    Feb 02, 2020 07:28

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) wamepinga mpango eti wa amani uliopendekelezwa na Marekani kwa ajili ya mgogoro wa Wapalestina na utawala wa kizayuni wa Israel maarufu kwa jina la "Muamala wa Karne".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS