-
Hamas: Israel ndiyo itakayobeba lawama za lolote baya litakalomtokea Mahmoud Abbas
Dec 12, 2018 12:49Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ndio utakaobeba jukumu na lawama za jambo lolote baya litakalomtokea Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.
-
Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds
Dec 11, 2018 03:45Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeitahadharisha Brazil dhidi ya mpango wake wa kuuhamishia ubalozi katika mji wa Quds kutoka Tel Aviv, ikisisitiza kwamba hatua hiyo itakuwa na athari mbaya katika uhusiano wa nchi hiyo na nchi za Kiarabu.
-
Hizbullah: Hakuna hata sehemu moja ya Israel itakayosalimika na makombora yetu
Dec 09, 2018 11:41Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, hakuna hata sehemu moja ya Israel ambayo haiwezi kufikiwa na makombora ya harakati hiyo ya muqawama.
-
Hadashot TV: Israel na Saudia kutangaza rasmi uhusiano wao ndani miezi michache ijayo
Dec 09, 2018 03:54Kanali mashuhuri ya televisheni ya Hadashot ya utawala haramu wa Israel imefichua kuwa, Tel Aviv ipo mbioni kuwa na uhusiano wa kidiplomasia na Saudi Arabia, na kwamba uhusiano wa tawala mbili hizo utafanywa wa kawaida na rasmi ndani ya miezi michache ijayo.
-
Makundi ya Muqawama Palestina: Marekani, Israel zimepata pigo kubwa UN
Dec 07, 2018 11:07Makundi ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina ya Hamas na Jihadu Islami yamesema kupigwa mweleka katika Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa muswada wa kuilaani Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na kuitaja kama kundi la kigaidi ni pigo kubwa kwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Umuhimu wa mkutano wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni
Dec 06, 2018 02:39Mkutano wa 92 wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni umefanyika katika makao makuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu mjini Cairo Misri na kushirikishwa wawakilishi kutoka nchi za Kiarabu na wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC.
-
Lieberman akiri, maandamano ya Haki ya Kurejea yametoa pigo kwa Israel
Dec 05, 2018 03:41Waziri wa Vita aliyejiuzulu wa Israel amekiri kwamba, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa mashinikizo makubwa kwa utawala huo kupitia maandamano yanayofanywa kila siku ya Ijumaa na raia wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
Wanawake wa Israel waandamana kulalamikia ukatili wa kingono
Dec 04, 2018 21:38Maelfu ya wanawake wa Israel walifanya maandamano jana Jumanne katika kila kona ya utawala huo haramu, wakilalamikia unyanyasaji wa kingono, mateso dhidi yao na udhalilishaji wa kijinsia.
-
Hamas yaiomba Afrika Kusini kusadia mapambano ya ukombozi ya Wapalestina
Dec 04, 2018 11:15Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeiomba Afrika Kusini izidishe uungaji mkono na misaada yake kwa taifa la Palestina katika mapambano yake ya ukombozi dhidi ya utawala haramu wa Israel.
-
Israel ilitoa msaada wa kijasusi kwa Saudia katika mauaji ya Khashoggi
Dec 03, 2018 03:19Imebainika kuwa shirika moja la kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel lilitoa msaada mkubwa kwa ufalme Saudi Arabia ili kufanikisha mauaji ya mwandishi habari Jamal Khashoggi ambaye alikuwa mkosoaji mkubwa wa ufalme huo wa kiimla.