Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Hamas: Israel ndiyo itakayobeba lawama za lolote baya litakalomtokea Mahmoud Abbas

    Hamas: Israel ndiyo itakayobeba lawama za lolote baya litakalomtokea Mahmoud Abbas

    Dec 12, 2018 12:49

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ndio utakaobeba jukumu na lawama za jambo lolote baya litakalomtokea Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.

  • Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds

    Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds

    Dec 11, 2018 03:45

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeitahadharisha Brazil dhidi ya mpango wake wa kuuhamishia ubalozi katika mji wa Quds kutoka Tel Aviv, ikisisitiza kwamba hatua hiyo itakuwa na athari mbaya katika uhusiano wa nchi hiyo na nchi za Kiarabu.

  • Hizbullah: Hakuna hata sehemu moja ya Israel itakayosalimika na makombora yetu

    Hizbullah: Hakuna hata sehemu moja ya Israel itakayosalimika na makombora yetu

    Dec 09, 2018 11:41

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, hakuna hata sehemu moja ya Israel ambayo haiwezi kufikiwa na makombora ya harakati hiyo ya muqawama.

  • Hadashot TV: Israel na Saudia kutangaza rasmi uhusiano wao ndani miezi michache ijayo

    Hadashot TV: Israel na Saudia kutangaza rasmi uhusiano wao ndani miezi michache ijayo

    Dec 09, 2018 03:54

    Kanali mashuhuri ya televisheni ya Hadashot ya utawala haramu wa Israel imefichua kuwa, Tel Aviv ipo mbioni kuwa na uhusiano wa kidiplomasia na Saudi Arabia, na kwamba uhusiano wa tawala mbili hizo utafanywa wa kawaida na rasmi ndani ya miezi michache ijayo.

  • Makundi ya Muqawama Palestina: Marekani, Israel zimepata pigo kubwa UN

    Makundi ya Muqawama Palestina: Marekani, Israel zimepata pigo kubwa UN

    Dec 07, 2018 11:07

    Makundi ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina ya Hamas na Jihadu Islami yamesema kupigwa mweleka katika Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa muswada wa kuilaani Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na kuitaja kama kundi la kigaidi ni pigo kubwa kwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Umuhimu wa mkutano wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni

    Umuhimu wa mkutano wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni

    Dec 06, 2018 02:39

    Mkutano wa 92 wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni umefanyika katika makao makuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu mjini Cairo Misri na kushirikishwa wawakilishi kutoka nchi za Kiarabu na wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC.

  • Lieberman akiri, maandamano ya Haki ya Kurejea yametoa pigo kwa Israel

    Lieberman akiri, maandamano ya Haki ya Kurejea yametoa pigo kwa Israel

    Dec 05, 2018 03:41

    Waziri wa Vita aliyejiuzulu wa Israel amekiri kwamba, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa mashinikizo makubwa kwa utawala huo kupitia maandamano yanayofanywa kila siku ya Ijumaa na raia wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Wanawake wa Israel waandamana kulalamikia ukatili wa kingono

    Wanawake wa Israel waandamana kulalamikia ukatili wa kingono

    Dec 04, 2018 21:38

    Maelfu ya wanawake wa Israel walifanya maandamano jana Jumanne katika kila kona ya utawala huo haramu, wakilalamikia unyanyasaji wa kingono, mateso dhidi yao na udhalilishaji wa kijinsia.

  • Hamas yaiomba Afrika Kusini kusadia mapambano ya ukombozi ya Wapalestina

    Hamas yaiomba Afrika Kusini kusadia mapambano ya ukombozi ya Wapalestina

    Dec 04, 2018 11:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeiomba Afrika Kusini izidishe uungaji mkono na misaada yake kwa taifa la Palestina katika mapambano yake ya ukombozi dhidi ya utawala haramu wa Israel.

  • Israel ilitoa msaada wa kijasusi kwa Saudia katika mauaji ya Khashoggi

    Israel ilitoa msaada wa kijasusi kwa Saudia katika mauaji ya Khashoggi

    Dec 03, 2018 03:19

    Imebainika kuwa shirika moja la kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel lilitoa msaada mkubwa kwa ufalme Saudi Arabia ili kufanikisha mauaji ya mwandishi habari Jamal Khashoggi ambaye alikuwa mkosoaji mkubwa wa ufalme huo wa kiimla.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS