-
Maazimio 15 dhidi ya Israel katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa katika kipindi cha wiki mbili
Dec 02, 2018 04:07Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mnamo Novemba 30 lilipitisha maazimio 6 dhidi ya utawala wa Israel kwa lengo la kuunga mkono Palestine.
-
Hizbullah: Israel itajuta iwapo itaivamia tena Lebanon
Dec 02, 2018 00:11Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeonesha mkanda wa video ikiutahadharisha utawala haramu wa Israel kwamba, utajuta iwapo utaivamia ardhi ya Lebanon.
-
HAMAS: Kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel ni jinai na uhaini
Dec 01, 2018 04:42Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kutaka kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel ni jinai.
-
UN yaitaka Israel iondoke kwenye Miinuko ya Golan ya Syria
Dec 01, 2018 04:35Kwa mara nyingine tena Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa wingi wa kura azimio la kuutaka utawala ghasibu wa Israel kuondoka katika eneo la Miinuko ya Golan la Syria ambalo umelikalia kwa mabavu kwa karibu nusu karne sasa.
-
'Bin Salman, El Sisi wanawashawishi viongozi wa nchi za Kiarabu waanzishe uhusiano na Israel'
Nov 30, 2018 23:10Gazeti la Al-Araby Al-Jadeed linalochapishwa nchini Uingereza limeripoti kuwa Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia Muhammad bin Salman na Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri wamekuwa wakiendesha kampeni ya pamoja ya kuwashawishi viongozi wa nchi zingine za Kiarabu waanzishe uhusiano wa karibu na Israel, huku wakiendelea kutatua tofauti za kisiasa na utawala huo haramu wa Kizayuni.
-
CNN yamfuta kazi mwandishi wake kwa kukosoa siasa za kikatili za Israel
Nov 30, 2018 11:39Televisheni ya CNN ya Marekani imemfuta kazi mwandishi na mchambuzi wake kwa sababu ya kukosoa siasa za kikatili za utawala haramu wa Israel na kutoa wito wa kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Trump: Israel ni 'sababu moja' ya wanajeshi wa Marekani kuendelea kubaki Mashariki ya Kati
Nov 28, 2018 23:36Rais Donald Trump wa Marekani amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vitaendelea kuwepo katika eneo la Mashariki kuhakikisha usalama wa muitifaki wake mkuu na wa karibu, Israel.
-
Uungaji mkono wa Facebook kwa siasa za kigaidi za Israel
Nov 27, 2018 04:43Mtandao wa kijami wa Facebook umepiga marufuku kusambazwa picha za kikosi maalumu cha ugaidi cha utawala wa Kizayuni katika oparesheni iliyofanywa hivi karibuni huko Ukanda wa Ghaza.
-
Jeshi la Israel: Kuuawa Nasrullah kutatoa pigo kubwa kwa Hizbullah
Nov 27, 2018 04:12Kamanda wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa mwito wa kuuawa Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah akisisitiza kuwa, kuuawa kwake kutatoa pigo kubwa kwa harakati hiyo ya muqawama.
-
Vitisho vya kigaidi vya Israel dhidi ya viongozi wa muqawama wa Palestina
Nov 23, 2018 12:26Yoav Galant, waziri wa nyumba na ujenzi wa vitongoji wa utawala wa Kizayuni ametishia kumuua kigaidi Yahya Sinwar mmoja wa viongozi waandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) huko Ghaza. Naye Eli Cohen, waziri wa uchumi na viwanda wa utawala wa Kizayuni ametishia kuwaua kigaidi viongozi wote wa HAMAS na kuvunja nyumba zao.