Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Rais mteule wa Brazil akosolewa kwa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi yake Quds

    Rais mteule wa Brazil akosolewa kwa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi yake Quds

    Nov 02, 2018 04:34

    Rais mteule wa Brazil amekosolewa vikali ndani na nje ya nchi kwa kusema kuwa nchi hiyo inatathmini mpango wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel kutoka Tel Aviv.

  • Netanyahu: Ni kweli Israel imehusika na njama za kuvuruga uhusiano wa Iran na EU

    Netanyahu: Ni kweli Israel imehusika na njama za kuvuruga uhusiano wa Iran na EU

    Nov 02, 2018 04:11

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, Tel Aviv imehusika katika wimbi la hivi karibuni la upotoshaji, hadaa na tuhuma za urongo zinazozushwa na baadhi ya nchi za Ulaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • PLO yapiga kura kutaka kusimamishwa uamuzi wa kuitambua Israel na kuhitimishwa makubaliano yote ya pande mbili

    PLO yapiga kura kutaka kusimamishwa uamuzi wa kuitambua Israel na kuhitimishwa makubaliano yote ya pande mbili

    Oct 30, 2018 03:52

    Baraza Kuu la Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO limepiga kura kupitisha uamuzi wa kusimamisha kuitambua rasmi Israel na kuhitimisha makubaliano yote iliyofikia harakati hiyo na Tel Aviv hadi utawala huo wa Kizayuni utakapoitambua nchi ya Palestina kulingana na mipaka ya mwaka 1967, na kuitambua Baitul Muqaddas Mashariki kuwa mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 5 Ghaza

    Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 5 Ghaza

    Oct 27, 2018 02:22

    Kwa akali Wapalestina watano wameuawa shahidi huku mamia ya wengine wakijeruhiwa baada ya jeshi la Israel kuwamiminia risasi na kuvurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Kuugawanya kimatumizi Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa kwa mahali na wakati kwa lengo la kuuyahudisha

    Kuugawanya kimatumizi Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa kwa mahali na wakati kwa lengo la kuuyahudisha

    Oct 25, 2018 04:47

    Wazayuni wenye misimamo ya kufurutu mpaka wanaounga mkono njama za kuubomoa msikiti mtukufu wa Al-Asqa na kujenga mahali pake hekalu bandia la Kiyahudi wamependekeza mpango hatari na wa ubaguzi wa kimbari kwa madhumuni ya kupagawanya mahali hapo patakatifu.

  • Wahka, khofu na kuchanganyikiwa baraza la mawaziri la Israel

    Wahka, khofu na kuchanganyikiwa baraza la mawaziri la Israel

    Oct 23, 2018 11:04

    Waziri wa Zamani wa Vita wa Utawala Haramu wa Israel, Ehud Barak amesema kuwa siasa za kupenda vita za Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo, zinaonyesha wahka, khofu na kuchanganyikiwa kwa baraza lake la mawaziri.

  • Wazayuni waendelea kuiba viungo vya miili ya watoto Wapalestina

    Wazayuni waendelea kuiba viungo vya miili ya watoto Wapalestina

    Oct 21, 2018 11:03

    Kwa mara nyingine tena utawala haramu wa Israel umetuhumiwa kuiba viungo vya miili ya watoto wa Kipalestina.

  • Watawala wa nchi za Kiarabu na ushirikiano wao wa kijasusi na Israel

    Watawala wa nchi za Kiarabu na ushirikiano wao wa kijasusi na Israel

    Oct 21, 2018 10:03

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika: Bahrain, Imarati (UAE) na Saudi Arabia zimesaini mikataba ya kitita kikubwa cha fedha na Israel kwa ajili ya kununua vifaa vya ujasusi kwa utawala huo.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Marekani na Israel zinatumia silaha ya elimu kuzidhalilisha nchi nyingine

    Sayyid Hassan Nasrullah: Marekani na Israel zinatumia silaha ya elimu kuzidhalilisha nchi nyingine

    Oct 20, 2018 12:15

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, Marekani na utawala haramu wa Kizayuni zinatumia elimu na teknolojia kuyadhalilisha mataifa mengine duniani.

  • Arab League yaitaka jamii ya kimataifa iisaidie Palestina

    Arab League yaitaka jamii ya kimataifa iisaidie Palestina

    Oct 14, 2018 03:34

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imelaani kushtadi wimbi la mauaji na jinai za kutisha dhidi ya Wapalestina zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel, huku ikiitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura kukabiliana na jinai hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS