Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  •  Indhari ya nchi tano za Ulaya kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Indhari ya nchi tano za Ulaya kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Sep 10, 2018 23:47

    Nchi tano za Ulaya zimeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya utawala huo kuchukua uamuzi wa kubomoa kijiji cha Khan al Ahmar mashariki mwa mji mtakatifu wa Quds.

  • Maandamano ya Wapalestina mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani

    Maandamano ya Wapalestina mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani

    Sep 05, 2018 22:25

    Idadi kubwa ya Wapalestina wamefanya maandamano mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wakilalamikia hatua ya serikali ya Washington ya kukata misaada yake kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Ajili ya Wapalestina (UNRWA).

  • Kiwango cha matumizi ya dawa za kulevya kati ya askari wa Israel chaongezeka

    Kiwango cha matumizi ya dawa za kulevya kati ya askari wa Israel chaongezeka

    Sep 03, 2018 22:07

    Kufuatia ongezeko la matumizi ya dawa za kulevya miongoni mwa askari wa utawala haramu wa Israel, polisi ya utawala huo imelazimika kutia mbaroni idadi kadhaa ya askari hao kwa tuhuma za matumizi na ulanguzi wa mihadarati hiyo.

  • UAE ilitumia spyware ya Israel kuwafanyia ujasusi viongozi wa eneo

    UAE ilitumia spyware ya Israel kuwafanyia ujasusi viongozi wa eneo

    Sep 01, 2018 09:33

    Utawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu ulitumia programu ya kijasusi ya kudukua kompyuta au simu za mkononi (spyware) kuwafanyia ujasusi viongozi kadhaa wa nchi za Kiarabu akiwemo Amir wa Qatar, Waziri Mkuu wa Lebanon na mwanamfalme mmoja wa Saudia.

  • Zarif atoa jibu makini kwa vitisho vya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran

    Zarif atoa jibu makini kwa vitisho vya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran

    Aug 30, 2018 03:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, vitisho vya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kitendo kilichovuka mpaka wa utovu wa haya katika ulimwengu wa ufidhuli.

  • Taarifa ya HAMAS kwa mnasaba wa mwaka wa 49 tokea kuchomwa moto Msikiti wa al-Aqswa

    Taarifa ya HAMAS kwa mnasaba wa mwaka wa 49 tokea kuchomwa moto Msikiti wa al-Aqswa

    Aug 21, 2018 21:47

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, Wapalestina wataendeleza mapambano yao dhidi ya utawala ghasibu wa Israel yenye lengo la kukombolewa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa.

  • UN yatoa mapendekezo ya kuboresha hali ya Wapalestina

    UN yatoa mapendekezo ya kuboresha hali ya Wapalestina

    Aug 18, 2018 10:00

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mapendekezo kadhaa ya kuwasaidia watu wa Palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.

  • Onyo la maafisa wa zamani wa kijasusi wa Marekani kuhusu nyaraka bandia za Netanyahu dhidi ya Iran

    Onyo la maafisa wa zamani wa kijasusi wa Marekani kuhusu nyaraka bandia za Netanyahu dhidi ya Iran

    Aug 07, 2018 01:45

    Israel ambayo inahesabiwa kuwa mmoja wa maadui wakubwa wa Iran katika eneo la Mashariki ya Kati daima inafanya njama na kueneza madai ya uongo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu hususan katika mradi wake wa amani wa nyuklia lengo lake kuu likiwa ni kutaka kupoteza imani ya jamii ya kimataifa na kuifanya ichukue hatua dhidi ya Iran.

  • Israel yaizuia boti ya pili ya shehena ya misaada iliyokuwa ikielekea Gaza

    Israel yaizuia boti ya pili ya shehena ya misaada iliyokuwa ikielekea Gaza

    Aug 04, 2018 10:46

    Askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wameizuia boti ya pili iliyokuwa imebeba shehena ya misaada ya kibinadamu kwa ajili ya Wapalestina wa eneo la Ukanda wa Gaza lililozingirwa na utawala huo.

  • Vita vya fueli vya Israel dhidi ya Gaza katikati ya msimu wa joto kali

    Vita vya fueli vya Israel dhidi ya Gaza katikati ya msimu wa joto kali

    Aug 03, 2018 02:33

    Avigdor Lieberman, Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameliamuru jeshi la utawala huo lizuie kupelekwa fueli eneo la Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS