Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Italia

  • Italia yakanusha madai ya kutaka kuimarisha uwepo wa askari wake Libya

    Italia yakanusha madai ya kutaka kuimarisha uwepo wa askari wake Libya

    Jun 27, 2021 03:04

    Wizara ya Ulinzi ya Italia imekadhibisha madai ya baadhi ya vyombo vya habari kuwa Rome ina mpango wa kuongeza idadi ya wanajeshi wake nchini Libya.

  • Maandamano ya kuunga mkono Palestina yafanyika Italia

    Maandamano ya kuunga mkono Palestina yafanyika Italia

    Jun 06, 2021 08:14

    Watu wa Italia wameshiriki katika maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Roma kwa lengo la kutangaza uungaji mkono wao kwa taifa linalodhulumiwa la Palestina sambamba na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Safari ya mawaziri watatu wa mambo ya nje wa Ulaya nchini Libya

    Safari ya mawaziri watatu wa mambo ya nje wa Ulaya nchini Libya

    Mar 26, 2021 22:00

    Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Ufaransa, Ujerumani na Italia Alkhamisi iliyopita walikwenda Tripoli mji mkuu wa Libya kwa shabaha ya kujadili mustakbali wa uhusiano wa nchi za Ulaya na Libya. Mawaziri hao pia wamesisitiza udharura wa kuondoka vikosi vya majeshi ya kigeni katika ardhi ya Libya.

  • Italia: Tunaunga mkono juhudi za kuleta amani na utulivu nchini Libya

    Italia: Tunaunga mkono juhudi za kuleta amani na utulivu nchini Libya

    Mar 12, 2021 08:32

    Serikali ya Italia imesema kuwa inaunga mkono kikamilifu juhudi za kurejesha amani na utulivu katika nchi ya kaskazini mwa Afrika ya Libya.

  • Italia pia yasitisha mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati

    Italia pia yasitisha mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati

    Jan 30, 2021 04:22

    Serikali ya Italia imesimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, baada ya wanaharakati na wabunge wa nchi hiyo ya Ulaya kuonya kuwa, silaha hizo zinatumika kukanyaga haki za binadamu nchini Yemen.

  • Uchumi wa Italia warejea miaka 20 nyuma kutokana na janga la COVID-19

    Uchumi wa Italia warejea miaka 20 nyuma kutokana na janga la COVID-19

    Aug 31, 2020 22:29

    Muungano wa mashirika na jumuiya za kiuchumi za Italia umezungumzia athari mbaya za janga la corona yaani COVID-19 katika uchumi wa nchi hiyo na kusema kuwa, uchumi wa Italia umeporomoka vibaya na umerejea katika hali uliyokuwa nayo miaka 20 iliyopita.

  • Taasisi ya kijamii ya Italia: Idadi kamili ya wahanga wa firusi vya Corona ni zaidi ya iliyotangazwa

    Taasisi ya kijamii ya Italia: Idadi kamili ya wahanga wa firusi vya Corona ni zaidi ya iliyotangazwa

    May 22, 2020 07:01

    Taasisi ya Usalama wa Kijamii nchini Italia imesema kuwa, idadi kamili ya watu waliopoteza maisha kutokana na virusi vya Corona kati ya mwezi Machi na Aprili mwaka huu ni zaidi ya watu elfu 19 waliotangazwa rasmi na serikali.

  • Mwanamke Mtaliano aliyesilimu akiwa Somalia atumiwa jumbe za chuki

    Mwanamke Mtaliano aliyesilimu akiwa Somalia atumiwa jumbe za chuki

    May 13, 2020 03:45

    Mwanamke mmoja raia wa Italia aliyekuwa ametekwa nyara nchini Somalia kwa karibu mwaka mmoja na nusu ameshambuliwa vikali na kutumiwa jumbe za chuki na vitisho baada ya kubainika kuwa aliukubali Uislamu akiwa mateka.

  • Mtihani wa Corona na sisitizo la Italia la kutokuwepo mshikamano ndani ya Umoja wa Ulaya

    Mtihani wa Corona na sisitizo la Italia la kutokuwepo mshikamano ndani ya Umoja wa Ulaya

    Apr 22, 2020 05:47

    Kuenea kwa kiasi kikubwa virusi vya Corona barani Ulaya na mgogoro unaotokana na janga hilo, kumezifanya nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya EU kukosoa baadhi ya sheria zake na kusema kuwa haujakuwa na radiamali wala kuonyesha mshikamano uliotarajiwa kuhusiana na janga hilo.

  • Baada ya janga la corona Wataliano wataka kujiondoa Umoja wa Ulaya

    Baada ya janga la corona Wataliano wataka kujiondoa Umoja wa Ulaya

    Apr 20, 2020 03:30

    Uchunguzi mpya wa maoni nchini Italia umebaini kuwa aghalabu ya watu wa nchi hiyo wanataka nchi yao iondoke katika Umoja wa Ulaya kutokana na utendaji mbovu wa umoja huo katika kipindi hiki cha janga la corona nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS