Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Italia

  • Mwanamke Mtaliano aliyesilimu akiwa Somalia atumiwa jumbe za chuki

    Mwanamke Mtaliano aliyesilimu akiwa Somalia atumiwa jumbe za chuki

    May 13, 2020 03:45

    Mwanamke mmoja raia wa Italia aliyekuwa ametekwa nyara nchini Somalia kwa karibu mwaka mmoja na nusu ameshambuliwa vikali na kutumiwa jumbe za chuki na vitisho baada ya kubainika kuwa aliukubali Uislamu akiwa mateka.

  • Mtihani wa Corona na sisitizo la Italia la kutokuwepo mshikamano ndani ya Umoja wa Ulaya

    Mtihani wa Corona na sisitizo la Italia la kutokuwepo mshikamano ndani ya Umoja wa Ulaya

    Apr 22, 2020 05:47

    Kuenea kwa kiasi kikubwa virusi vya Corona barani Ulaya na mgogoro unaotokana na janga hilo, kumezifanya nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya EU kukosoa baadhi ya sheria zake na kusema kuwa haujakuwa na radiamali wala kuonyesha mshikamano uliotarajiwa kuhusiana na janga hilo.

  • Baada ya janga la corona Wataliano wataka kujiondoa Umoja wa Ulaya

    Baada ya janga la corona Wataliano wataka kujiondoa Umoja wa Ulaya

    Apr 20, 2020 03:30

    Uchunguzi mpya wa maoni nchini Italia umebaini kuwa aghalabu ya watu wa nchi hiyo wanataka nchi yao iondoke katika Umoja wa Ulaya kutokana na utendaji mbovu wa umoja huo katika kipindi hiki cha janga la corona nchini humo.

  • Tahadhari ya maafisa wa Italia kuhusu uwezekano wa kusambaratika EU

    Tahadhari ya maafisa wa Italia kuhusu uwezekano wa kusambaratika EU

    Apr 14, 2020 01:59

    Maambukizi ya virusi vya corona na kutokuwepo ushirikiano kwa ajili ya kudhibiti kasi ya maambukizi ya virusi hivyo katika nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) vimetia mashakani mustakbali wa umoja huo na malengo ya kuasisiwa kwake.

  • Italia yaonya kusambaratika EU, Brussels hatimaye yapasisha fedha za kupambana na corona

    Italia yaonya kusambaratika EU, Brussels hatimaye yapasisha fedha za kupambana na corona

    Apr 09, 2020 22:03

    Waziri Mkuu wa Italia ameonya kuhusu hatari ya kusambaratika Umoja wa Ulaya (EU) baada ya mgogoro wa corona kutokana na utendaji dhaifu sana wa umoja huo.

  • Italia yaripoti kesi mpya 3500 za maambukizo  ya corona

    Italia yaripoti kesi mpya 3500 za maambukizo ya corona

    Mar 14, 2020 23:37

    Italia imetangaza kuwa karibu watu 3500 wameambukizwa virusi vya codiv-19 nchini humo yaliyopita huku 175 wakiaga dunia katika muda wa masaa 24 yaliyopita.

  • Putin asisitiza ulazima wa kutatuliwa kwa amani mgogoro wa Libya

    Putin asisitiza ulazima wa kutatuliwa kwa amani mgogoro wa Libya

    Dec 27, 2019 03:55

    Rais wa Russia amemhutubu na kumsisitizia Waziri Mkuu wa Italia kuwa mgogoro wa Libya unapasa kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani.

  • Kituo cha jeshi cha Marekani na msafara wa askari wa Italia washambuliwa Somalia; Al Shabab latangaza kuhusika

    Kituo cha jeshi cha Marekani na msafara wa askari wa Italia washambuliwa Somalia; Al Shabab latangaza kuhusika

    Sep 30, 2019 10:03

    Mashambulio mawili tofauti yamelenga kituo cha jeshi cha Marekani kilichoko kwenye mji wa Baledogle na msafara wa askari wa Italia katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Papa atahadharisha kuhusu kushadidi mielekeo ya kufurutu mpaka ya mrengo wa kulia barani Ulaya

    Papa atahadharisha kuhusu kushadidi mielekeo ya kufurutu mpaka ya mrengo wa kulia barani Ulaya

    Aug 10, 2019 10:32

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ametoa indhari ya kushadidi hisia na mielekeo ya kufurutu mpaka ya mrengo wa kulia barani Ulaya.

  • Raia wa Italia waandamana kuupinga utawala wa Kizayuni Israel na kuiunga mkono Palestina

    Raia wa Italia waandamana kuupinga utawala wa Kizayuni Israel na kuiunga mkono Palestina

    Apr 26, 2019 03:31

    Sambamba na kusherehekea mwaka wa 74 wa kuwa huru nchi ya Italia na utawala wa Kifashisti, raia wa nchi hiyo mjini Roma, mji mkuu wa Italia wamefanya maandamano kuliunga mkono taifa madhlumu la Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS