-
Ugomvi washadidi Umoja wa Ulaya, Ufaransa yamwita nyumbani balozi wake wa Italia
Feb 07, 2019 19:06Mzozo na mgogoro umeongezeka baina ya Ufaransa na Italia kiasi kwamba Paris imeamua kumwita nyumbani balozi wake wa mjini Rome.
-
Kharrazi: Kitendo cha nchi za Ulaya cha kuchelewesha utekelezaji wa SPV hakikubaliki
Jan 19, 2019 13:07Mkuu wa Baraza la Kiistratijia la Uhusiano wa Kigeni la Iran amezilaumu nchi za Ulaya kwa kuchelewa kutekeleza mfumo maalumu wa kubadilishana fedha na Iran maarufu kwa jina la SPV na kusema kuwa, kisingizio kinachotolewa na nchi hizo cha kwamba haziwezi kuyalazimisha mashirika ya nchi zao, hakikubaliki kabisa.
-
Iran: Hatutafanya mazungumzo mengine ya nyuklia na Marekani
Nov 23, 2018 01:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, licha ya Tehran kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), haitafanya mazungumzo mengine ya nyuklia na Marekani.
-
Juhudi za kurejesha amani nchini Libya
Nov 14, 2018 08:33Jitihada za kurejesha amani huko Libya zinaendelea kufanywa wakati huu ambapo nchi hiyo inasumbuliwa mgogoro na changamoto nyingi. Hadi sasa kumefanyika mikutano kadhaa ya kujadili njia za kurejesha amani nchini humo ukiwemo ule wa siku mbili nchini Italia uliodhuhuriwa na pande kuu husimu katika mgogoro wa ndani wa nchi hiyo na jumbe kutoka nchi 30 duniani.
-
Mkutano wa amani wa Libya wamalizika nchini Italia
Nov 13, 2018 23:48Mkutano wa siku mbili wa amani wa Libya ulimalizika jana usiku katika mji wa Palermo nchini Italia.
-
Hofu ya Waislamu Italia baada ya kuchaguliwa serikali ya mrengo wa kulia
Sep 26, 2018 10:23Waislamu nchini Italia wameelezea wasiwasi wao kutokana na kuchaguliwa serikali yenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Roma wajiunga na walimwengu kulaani jinai za Saudia nchini Yemen
Sep 19, 2018 23:16Kundi moja la wananchi wa Italia limekusanyika mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Rome kulaani jinai za Aal Saud huko Yemen.
-
Italia yakata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya (EU)
Aug 26, 2018 02:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia ametangaza kuwa nchi hiyo imekata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya kufuatia kuendelea mivutano kati ya umoja huo na Italia kuhusu suala la wahajiri waliokwama katika meli ya gadi ya pwani ya Italia kwa jina la Diciotti (Dichuti).
-
Umoja wa Mataifa wataka kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa wahajiri barani Ulaya
Aug 25, 2018 09:20Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limezitaka nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kutekeleza majukumu yao kuhusiana na wahajiri 150 wanaotangatanga katika meli ya Gadi ya Pwani ya Italia.
-
Italia yataka kutatuliwa haraka mgogoro wa wahajiri haramu waliokwama melini
Aug 22, 2018 09:55Serikali ya Italia imetaka kutatuliwa suala la mamia ya wahajiri haramu waliokwama melini katika kisiwa cha Sicilian mjini Catania na kusema kuwa, viongozi wa nchi za Ulaya wanapaswa kuutatua haraka mgogoro huo.