Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Italia

  • Juhudi za kurejesha amani nchini Libya

    Juhudi za kurejesha amani nchini Libya

    Nov 14, 2018 12:03

    Jitihada za kurejesha amani huko Libya zinaendelea kufanywa wakati huu ambapo nchi hiyo inasumbuliwa mgogoro na changamoto nyingi. Hadi sasa kumefanyika mikutano kadhaa ya kujadili njia za kurejesha amani nchini humo ukiwemo ule wa siku mbili nchini Italia uliodhuhuriwa na pande kuu husimu katika mgogoro wa ndani wa nchi hiyo na jumbe kutoka nchi 30 duniani.

  • Mkutano wa amani wa Libya wamalizika nchini Italia

    Mkutano wa amani wa Libya wamalizika nchini Italia

    Nov 14, 2018 03:18

    Mkutano wa siku mbili wa amani wa Libya ulimalizika jana usiku katika mji wa Palermo nchini Italia.

  • Hofu ya Waislamu Italia baada ya kuchaguliwa serikali ya mrengo wa kulia

    Hofu ya Waislamu Italia baada ya kuchaguliwa serikali ya mrengo wa kulia

    Sep 26, 2018 13:53

    Waislamu nchini Italia wameelezea wasiwasi wao kutokana na kuchaguliwa serikali yenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Roma wajiunga na walimwengu kulaani jinai za Saudia nchini Yemen

    Roma wajiunga na walimwengu kulaani jinai za Saudia nchini Yemen

    Sep 20, 2018 03:46

    Kundi moja la wananchi wa Italia limekusanyika mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Rome kulaani jinai za Aal Saud huko Yemen.

  • Italia yakata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya (EU)

    Italia yakata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya (EU)

    Aug 26, 2018 07:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia ametangaza kuwa nchi hiyo imekata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya kufuatia kuendelea mivutano kati ya umoja huo na Italia kuhusu suala la wahajiri waliokwama katika meli ya gadi ya pwani ya Italia kwa jina la Diciotti (Dichuti).

  • Umoja wa Mataifa wataka kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa wahajiri barani Ulaya

    Umoja wa Mataifa wataka kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa wahajiri barani Ulaya

    Aug 25, 2018 13:50

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limezitaka nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kutekeleza majukumu yao kuhusiana na wahajiri 150 wanaotangatanga katika meli ya Gadi ya Pwani ya Italia.

  • Italia yataka kutatuliwa haraka mgogoro wa wahajiri haramu waliokwama melini

    Italia yataka kutatuliwa haraka mgogoro wa wahajiri haramu waliokwama melini

    Aug 22, 2018 14:25

    Serikali ya Italia imetaka kutatuliwa suala la mamia ya wahajiri haramu waliokwama melini katika kisiwa cha Sicilian mjini Catania na kusema kuwa, viongozi wa nchi za Ulaya wanapaswa kuutatua haraka mgogoro huo.

  • Bunge la Libya lataka balozi wa Italia afukuzwe nchini humo

    Bunge la Libya lataka balozi wa Italia afukuzwe nchini humo

    Aug 10, 2018 03:59

    Bunge la Libya limemtuhumu balozi wa Italia mjini Tripoli kuwa anaingila masuala ya ndani ya nchi hiyo na kutaka afukuzwe mara moja.

  • Italia yatahadharisha kuhusu kushamiri utumwa

    Italia yatahadharisha kuhusu kushamiri utumwa

    Jul 31, 2018 07:52

    Rais wa Italia ametahadharisha kuhusu kuzidi kushamiri tatizo la utumwa na magendo ya binadamu.

  • Vita vya kuwania ngawira Libya vyapamba moto baina ya Ufaransa na Italia

    Vita vya kuwania ngawira Libya vyapamba moto baina ya Ufaransa na Italia

    Jul 22, 2018 03:28

    Mtandao wa habari wa Algeria umefichua kuwa Ufaransa na Italia zinachuana vikali kuwania ngawira zaidi huko Libya na kwamba wakati mwingine mchuano huo unafikia kiwango cha mapigano na vita vya kisiasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS