-
Italia kutonunua tena ndege za kivita za F-35 kutoka Marekani
Jul 07, 2018 08:01Katika kile kinachoonekana ni mgogoro katika uhusiano wa kijeshi wa Rome na Washington, Wizara ya Ulinzi ya Italia imesema haitanunua tena ndege za kivita aina ya F-35 za Marekani.
-
Wahajiri wa Nigeria waishtaki Italia kwa kukanyaga haki zao
May 09, 2018 02:58Kundi la wahajiri raia wa Nigeria ambao ni manusura wa ajali za boti zilizoshuhudiwa mwaka jana wameifungulia mashitaka serikali ya Italia kwa kukiuka haki zao za binadamu.
-
Ripoti: Kinara wa upinzani Congo alichukua uraia wa Italia
Apr 04, 2018 14:59Ripoti kutoka Italia zimefichua kuwa, kinara wa kambi ya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Moise Katumbi alichukua uraia wa Italia kuanzia mwaka 2000 hadi 2017.
-
Hatua za chuki dhidi ya Waislamu zazidi kushika kasi Italia, Waislamu wajawa na khofu
Mar 29, 2018 04:34Duru za habari nchini Italia zimeripoti juu ya ongezeko la mashambulizi yanayosukumwa na chuki dhidi ya dini ya Uislamu nchini humo.
-
Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo
Mar 11, 2018 07:17Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika pamoja na raia wengi wa Italia wameandamana katika mji wa Florence kaskazini mwa Italia kupinga vitendo vya ubaguzi wa rangi nchini humo.
-
Wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga mauaji ya Mwafrika
Mar 07, 2018 04:57Wahajiri wa Kiafrika wamefanya maandamano katika mji wa Florence nchini Italia wakipiga nara za kulaani ubaguzi wa rangi na kupinga mauaji ya mhajiri wa Kiafrika yaliyofanywa na raia wa Italia.
-
Niger yapinga kutumwa wanajeshi wa Italia nchini humo
Jan 27, 2018 12:52Katika hali ambayo Italia imetangaza habari ya kutumwa vikosi vyake vya kijeshi huko Niger kufuatia ombi la serikali ya Niamey, viongozi wa nchi hiyo ya Kiafrika wametangaza kuwa wanapinga kuweko wanajeshi wa Italia katika ardhi ya nchi hiyo na kwamba hawajawahi kuzungumzia suala hilo na wenzao wa Roma.
-
Italia yataka kusaidiwa nchi za Kiafrika ili zitatue tatizo la uhajiri
Jan 25, 2018 06:52Waziri Mkuu wa Italia amesisitiza juu ya udharura wa kusaidiwa nchi za Kiafrika kwa ajili ya kulipatia ufumbuzi tatizo la uhajiri linalozikabili nchi za bara hilo.
-
Italia yaidhinisha kutuma wanajeshi Niger, na vikosi zaidi kaskazini mwa Afrika
Jan 18, 2018 07:55Bunge la Italia jana liliidhinisha kuongezwa idadi ya wanajeshi wake huko Libya na kutumwa wanajeshi wa nchi hiyo hadi 470 huko Niger kwa ajili ya kukomesha harakati za wahajiri na magendo ya binadamu kuelekea Ulaya.
-
Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania
Jan 17, 2018 07:59Kikosi cha gadi ya pwani ya Italia kimetangaza kuokoa wahajiri 1400 katika maji ya bahari ya Mediterrania.