Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Italia

  • Italia kutonunua tena ndege za kivita za F-35 kutoka Marekani

    Italia kutonunua tena ndege za kivita za F-35 kutoka Marekani

    Jul 07, 2018 08:01

    Katika kile kinachoonekana ni mgogoro katika uhusiano wa kijeshi wa Rome na Washington, Wizara ya Ulinzi ya Italia imesema haitanunua tena ndege za kivita aina ya F-35 za Marekani.

  • Wahajiri wa Nigeria waishtaki Italia kwa kukanyaga haki zao

    Wahajiri wa Nigeria waishtaki Italia kwa kukanyaga haki zao

    May 09, 2018 02:58

    Kundi la wahajiri raia wa Nigeria ambao ni manusura wa ajali za boti zilizoshuhudiwa mwaka jana wameifungulia mashitaka serikali ya Italia kwa kukiuka haki zao za binadamu.

  • Ripoti: Kinara wa upinzani Congo alichukua uraia wa Italia

    Ripoti: Kinara wa upinzani Congo alichukua uraia wa Italia

    Apr 04, 2018 14:59

    Ripoti kutoka Italia zimefichua kuwa, kinara wa kambi ya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Moise Katumbi alichukua uraia wa Italia kuanzia mwaka 2000 hadi 2017.

  • Hatua za chuki dhidi ya Waislamu zazidi kushika kasi Italia, Waislamu wajawa na khofu

    Hatua za chuki dhidi ya Waislamu zazidi kushika kasi Italia, Waislamu wajawa na khofu

    Mar 29, 2018 04:34

    Duru za habari nchini Italia zimeripoti juu ya ongezeko la mashambulizi yanayosukumwa na chuki dhidi ya dini ya Uislamu nchini humo.

  • Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo

    Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo

    Mar 11, 2018 07:17

    Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika pamoja na raia wengi wa Italia wameandamana katika mji wa Florence kaskazini mwa Italia kupinga vitendo vya ubaguzi wa rangi nchini humo.

  • Wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga mauaji ya Mwafrika

    Wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga mauaji ya Mwafrika

    Mar 07, 2018 04:57

    Wahajiri wa Kiafrika wamefanya maandamano katika mji wa Florence nchini Italia wakipiga nara za kulaani ubaguzi wa rangi na kupinga mauaji ya mhajiri wa Kiafrika yaliyofanywa na raia wa Italia.

  • Niger yapinga kutumwa wanajeshi wa Italia nchini humo

    Niger yapinga kutumwa wanajeshi wa Italia nchini humo

    Jan 27, 2018 12:52

    Katika hali ambayo Italia imetangaza habari ya kutumwa vikosi vyake vya kijeshi huko Niger kufuatia ombi la serikali ya Niamey, viongozi wa nchi hiyo ya Kiafrika wametangaza kuwa wanapinga kuweko wanajeshi wa Italia katika ardhi ya nchi hiyo na kwamba hawajawahi kuzungumzia suala hilo na wenzao wa Roma.

  • Italia yataka kusaidiwa nchi za Kiafrika ili zitatue tatizo la uhajiri

    Italia yataka kusaidiwa nchi za Kiafrika ili zitatue tatizo la uhajiri

    Jan 25, 2018 06:52

    Waziri Mkuu wa Italia amesisitiza juu ya udharura wa kusaidiwa nchi za Kiafrika kwa ajili ya kulipatia ufumbuzi tatizo la uhajiri linalozikabili nchi za bara hilo.

  • Italia yaidhinisha kutuma wanajeshi Niger, na vikosi zaidi kaskazini mwa Afrika

    Italia yaidhinisha kutuma wanajeshi Niger, na vikosi zaidi kaskazini mwa Afrika

    Jan 18, 2018 07:55

    Bunge la Italia jana liliidhinisha kuongezwa idadi ya wanajeshi wake huko Libya na kutumwa wanajeshi wa nchi hiyo hadi 470 huko Niger kwa ajili ya kukomesha harakati za wahajiri na magendo ya binadamu kuelekea Ulaya.

  • Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania

    Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania

    Jan 17, 2018 07:59

    Kikosi cha gadi ya pwani ya Italia kimetangaza kuokoa wahajiri 1400 katika maji ya bahari ya Mediterrania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS