Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Italia

  • Gadi ya Pwani nchini Italia yaokoa mamia ya wahajiri katika bahari ya Mediterranea

    Gadi ya Pwani nchini Italia yaokoa mamia ya wahajiri katika bahari ya Mediterranea

    Dec 27, 2017 07:23

    Askari wa Gadi ya Pwani ya Italia wametangaza habari ya kuwaokoa wahajiri 250 katika bahari ya Mediterranea.

  • Wanajeshi wa Italia walio Iraq kupelekwa Niger

    Wanajeshi wa Italia walio Iraq kupelekwa Niger

    Dec 25, 2017 06:51

    Waziri Mkuu wa Italia Paolo Gentilon amesema atapendekeza katika bunge la nchi hiyo kuwa baadhi ya wanajeshi wa Italia walio Iraq wapelekwe Niger kupambana na biashara haramu ya usafirishaji binadamu na ugaidi.

  • 7 wakamatwa Italia kwa magendo ya wanawake wa Nigeria

    7 wakamatwa Italia kwa magendo ya wanawake wa Nigeria

    Dec 19, 2017 13:36

    Polisi nchini Italia imewatia mbaroni watu saba wanaotuhumiwa kuhusika na magendo ya wanawake wa Nigeria kwa ajili ya kuwaingiza katika biashara haramu ya ukahaba katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Libya na Italia zakubaliana kuanzisha oparesheni za kukabiliana na magendo ya wahajiri

    Libya na Italia zakubaliana kuanzisha oparesheni za kukabiliana na magendo ya wahajiri

    Dec 11, 2017 03:29

    Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imekubaliana na Italia kuanzisha vyumba vya pamoja vya oparesheni ili kukabiliana na magendo ya wahajiri kama sehemu ya juhudi za kukomesha wimbi la wahajiri kuelekea Ulaya.

  • Askari wa gadi ya pwani nchini Italia waokoa wahajiri 700

    Askari wa gadi ya pwani nchini Italia waokoa wahajiri 700

    Nov 04, 2017 07:48

    Askari wa gadi ya pwani nchini Italia wametangaza kwamba Ijumaa ya jana waliwaokoa wahajiri 700 katika bahari ya Mediterranea.

  • Maelfu ya raia wa Italia wasio na makazi wafanya maandamano wakiilalamikia serikali

    Maelfu ya raia wa Italia wasio na makazi wafanya maandamano wakiilalamikia serikali

    Oct 25, 2017 04:01

    Maelfu ya raia wa Italia wasio na makazi kwa kushirikiana na baadhi ya wageni wasio na mahala pa kuishi, wamemiminika mabarabarani wakiitaka serikali ya nchi hiyo kuwadhaminia makazi na masuala mengine ya kijamii nchini humo.

  • Italia yasisitiza ulazima wa Libya kuwa na amani ili kupambana na ugaidi katika eneo

    Italia yasisitiza ulazima wa Libya kuwa na amani ili kupambana na ugaidi katika eneo

    Sep 05, 2017 07:01

    Italia imesema kuna ulazima kwa nchi ya Libya kuwa na uthabiti ili kuzuia ugaidi na kuendesha mapambano dhidi ya tishio hilo.

  • Kansela wa Ujerumani aunga mkono siasa za kuwapokea wakimbizi

    Kansela wa Ujerumani aunga mkono siasa za kuwapokea wakimbizi

    Aug 27, 2017 14:36

    Kansela wa Ujerumani bi Angela Merkel ameunga mkono siasa zinazotekelezwa na serikali yake za kuwapokea wakimbizi nchini humo.

  • Italia: Vitisho vya Khalifa Haftar havitazuia operesheni zetu katika Bahari ya Mediterania

    Italia: Vitisho vya Khalifa Haftar havitazuia operesheni zetu katika Bahari ya Mediterania

    Aug 05, 2017 13:20

    Balozi wa Italia nchini Libya, Giuseppe Perrone amesema kuwa vitisho vilivyotolewa na kamanda wa Jeshi la Taifa la nchi hiyo Khalifa Haftar, havitazuia majukumu ya Italia katika maji ya eneo hilo.

  • Al Mijabri akosoa makubaliano yaliyofikiwa kati ya serikali ya umoja wa kitaifa na Italia

    Al Mijabri akosoa makubaliano yaliyofikiwa kati ya serikali ya umoja wa kitaifa na Italia

    Aug 04, 2017 08:56

    Kamanda Mkuu wa jeshi la Libya mwenye mfungamano na serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya yenye makao yake katika mji mkuu Tripoli amekosoa makubaliano yaliyofikiwa kati ya Waziri Mkuu wa serikali hiyo na na Italia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS