Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Italia

  • Italia yataka kusaidiwa nchi za Kiafrika ili zitatue tatizo la uhajiri

    Italia yataka kusaidiwa nchi za Kiafrika ili zitatue tatizo la uhajiri

    Jan 25, 2018 03:22

    Waziri Mkuu wa Italia amesisitiza juu ya udharura wa kusaidiwa nchi za Kiafrika kwa ajili ya kulipatia ufumbuzi tatizo la uhajiri linalozikabili nchi za bara hilo.

  • Italia yaidhinisha kutuma wanajeshi Niger, na vikosi zaidi kaskazini mwa Afrika

    Italia yaidhinisha kutuma wanajeshi Niger, na vikosi zaidi kaskazini mwa Afrika

    Jan 18, 2018 04:25

    Bunge la Italia jana liliidhinisha kuongezwa idadi ya wanajeshi wake huko Libya na kutumwa wanajeshi wa nchi hiyo hadi 470 huko Niger kwa ajili ya kukomesha harakati za wahajiri na magendo ya binadamu kuelekea Ulaya.

  • Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania

    Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania

    Jan 17, 2018 04:29

    Kikosi cha gadi ya pwani ya Italia kimetangaza kuokoa wahajiri 1400 katika maji ya bahari ya Mediterrania.

  • Gadi ya Pwani nchini Italia yaokoa mamia ya wahajiri katika bahari ya Mediterranea

    Gadi ya Pwani nchini Italia yaokoa mamia ya wahajiri katika bahari ya Mediterranea

    Dec 27, 2017 03:53

    Askari wa Gadi ya Pwani ya Italia wametangaza habari ya kuwaokoa wahajiri 250 katika bahari ya Mediterranea.

  • Wanajeshi wa Italia walio Iraq kupelekwa Niger

    Wanajeshi wa Italia walio Iraq kupelekwa Niger

    Dec 25, 2017 03:21

    Waziri Mkuu wa Italia Paolo Gentilon amesema atapendekeza katika bunge la nchi hiyo kuwa baadhi ya wanajeshi wa Italia walio Iraq wapelekwe Niger kupambana na biashara haramu ya usafirishaji binadamu na ugaidi.

  • 7 wakamatwa Italia kwa magendo ya wanawake wa Nigeria

    7 wakamatwa Italia kwa magendo ya wanawake wa Nigeria

    Dec 19, 2017 10:06

    Polisi nchini Italia imewatia mbaroni watu saba wanaotuhumiwa kuhusika na magendo ya wanawake wa Nigeria kwa ajili ya kuwaingiza katika biashara haramu ya ukahaba katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Libya na Italia zakubaliana kuanzisha oparesheni za kukabiliana na magendo ya wahajiri

    Libya na Italia zakubaliana kuanzisha oparesheni za kukabiliana na magendo ya wahajiri

    Dec 10, 2017 23:59

    Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imekubaliana na Italia kuanzisha vyumba vya pamoja vya oparesheni ili kukabiliana na magendo ya wahajiri kama sehemu ya juhudi za kukomesha wimbi la wahajiri kuelekea Ulaya.

  • Askari wa gadi ya pwani nchini Italia waokoa wahajiri 700

    Askari wa gadi ya pwani nchini Italia waokoa wahajiri 700

    Nov 04, 2017 04:18

    Askari wa gadi ya pwani nchini Italia wametangaza kwamba Ijumaa ya jana waliwaokoa wahajiri 700 katika bahari ya Mediterranea.

  • Maelfu ya raia wa Italia wasio na makazi wafanya maandamano wakiilalamikia serikali

    Maelfu ya raia wa Italia wasio na makazi wafanya maandamano wakiilalamikia serikali

    Oct 25, 2017 00:31

    Maelfu ya raia wa Italia wasio na makazi kwa kushirikiana na baadhi ya wageni wasio na mahala pa kuishi, wamemiminika mabarabarani wakiitaka serikali ya nchi hiyo kuwadhaminia makazi na masuala mengine ya kijamii nchini humo.

  • Italia yasisitiza ulazima wa Libya kuwa na amani ili kupambana na ugaidi katika eneo

    Italia yasisitiza ulazima wa Libya kuwa na amani ili kupambana na ugaidi katika eneo

    Sep 05, 2017 02:31

    Italia imesema kuna ulazima kwa nchi ya Libya kuwa na uthabiti ili kuzuia ugaidi na kuendesha mapambano dhidi ya tishio hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS