Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Italia

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Nchi nne za Kiarabu zilizotuwekea vikwazo zina nia mbaya

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Nchi nne za Kiarabu zilizotuwekea vikwazo zina nia mbaya

    Aug 03, 2017 02:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar kwa mara nyingine tena amelaani kikao dhidi ya nchi yake kilichofanyika hivi karibuni huko Bahrain na kuendelea kuzingirwa nchi hiyo na Saudi Arabia na waitifaki wake.

  • Juhudi za Italia za kuwepo katika pwani ya Libya kwa ajili ya kuzuia wimbi la wahajiri

    Juhudi za Italia za kuwepo katika pwani ya Libya kwa ajili ya kuzuia wimbi la wahajiri

    Jul 30, 2017 07:46

    Italia imechukua uamuzi mpya wa kutuma kikosi cha Gadi ya Pwani ili kuwazuia wahajiri wanaotokea pwani ya Libya.

  • Libya yaialika Italia katika maji yake kupambana na magendo ya binadamu

    Libya yaialika Italia katika maji yake kupambana na magendo ya binadamu

    Jul 26, 2017 14:06

    Serikali ya Libya yenye makao yake huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo imezialika meli za kivita za Italia katika maji ya nchi hiyo ili kusaidia mapambano dhidi ya magendo ya binadamu. Hayo yamesemwa leo na Paolo Gentiloni Waziri Mkuu wa Italia.

  • Mawaziri wa Ulaya na Afrika wakutana Roma kujadili mgogoro wa wahajiri

    Mawaziri wa Ulaya na Afrika wakutana Roma kujadili mgogoro wa wahajiri

    Jul 06, 2017 14:00

    Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje na wa Masuala ya Wahajiri wa nchi za Ulaya na Afrika kimefanyika Roma mji mkuu wa Italia kujadili njia ya kupambamba na mgogoro wa sasa wa wahajiri katika bahari ya Mediterania.

  • Wahajiri 7 wafa maji, 484 waokolewa katika bahari ya Mediterania

    Wahajiri 7 wafa maji, 484 waokolewa katika bahari ya Mediterania

    May 14, 2017 07:38

    Gadi ya Pwani ya Italia imesema wahajiri saba wamepoteza maisha huku wengine zaidi ya 400 wakiokolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya jana Jumamosi.

  • Makabila ya kusini mwa Libya yatia saini makubaliano ya amani mjini Roma, Italia

    Makabila ya kusini mwa Libya yatia saini makubaliano ya amani mjini Roma, Italia

    Apr 03, 2017 04:40

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Italia imetangaza habari ya kutiwa saini makubaliano ya amani na makabila ya kusini mwa Libya mjini Roma, kwa lengo la kusimamia mpaka wa kusini mwa nchi hiyo wenye urefu wa kilometa 5000.

  • Wahajiri wengine 1,300 waokolewa katika bahari ya Mediterania

    Wahajiri wengine 1,300 waokolewa katika bahari ya Mediterania

    Feb 04, 2017 07:36

    Vikosi vya doria katika pwani ya Italia vimetangaza kuwa vimewaokoa wahajiri 1,300 katika bahari ya Mediterania.

  • Italia kuzisaidia kifedha nchi za Kiafrika ili ziwazuie wahajiri wasielekee Ulaya

    Italia kuzisaidia kifedha nchi za Kiafrika ili ziwazuie wahajiri wasielekee Ulaya

    Feb 02, 2017 02:52

    Italia imeanzisha mfuko wa fedha wa kuzisaidia nchi za Kiafrika ziimarishe zaidi mipaka yao ili kujaribu kuepusha wahajiri kusafiri kwa kutumia boti dhaifu na hatarishi za mipira kwa ajili ya kuelekea barani Ulaya.

  • Italia: Tuna matumaini mgogoro wa Syria utatatuliwa

    Italia: Tuna matumaini mgogoro wa Syria utatatuliwa

    Dec 04, 2016 07:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia amesema kuwa, ana matumaini njia za kidiplomasia zitautatua mgogoro wa Syria.

  • Kasisi wa Italia: Ushoga na ndoa za watu wa jinsia moja zimesababisha mabalaa ya mitetemeko

    Kasisi wa Italia: Ushoga na ndoa za watu wa jinsia moja zimesababisha mabalaa ya mitetemeko

    Nov 07, 2016 14:55

    Kasisi mmoja wa Kanisa Katoliki la Italia amesema kuwa ndoa za watu wenye jinsia moja ndiyo sababu za maafa na mitetemeko mtawalia ya ardhi iliyotokea hivi karibuni nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS