-
Italia kuzisaidia kifedha nchi za Kiafrika ili ziwazuie wahajiri wasielekee Ulaya
Feb 01, 2017 23:22Italia imeanzisha mfuko wa fedha wa kuzisaidia nchi za Kiafrika ziimarishe zaidi mipaka yao ili kujaribu kuepusha wahajiri kusafiri kwa kutumia boti dhaifu na hatarishi za mipira kwa ajili ya kuelekea barani Ulaya.
-
Italia: Tuna matumaini mgogoro wa Syria utatatuliwa
Dec 04, 2016 03:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia amesema kuwa, ana matumaini njia za kidiplomasia zitautatua mgogoro wa Syria.
-
Kasisi wa Italia: Ushoga na ndoa za watu wa jinsia moja zimesababisha mabalaa ya mitetemeko
Nov 07, 2016 11:25Kasisi mmoja wa Kanisa Katoliki la Italia amesema kuwa ndoa za watu wenye jinsia moja ndiyo sababu za maafa na mitetemeko mtawalia ya ardhi iliyotokea hivi karibuni nchini humo.
-
Italia yakanusha tuhuma za kuwatesa wahajiri wa Kiafrika
Nov 04, 2016 04:17Polisi ya Italia imepinga ripoti iliyotolewa na shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International kwamba, askari usalama wa nchi hiyo walitumia mabavu na mateso dhidi ya wakimbizi wa Kiafrika.
-
Mamia ya wahajiri haramu waokolewa katika fukwe za Libya
Sep 15, 2016 02:57Maafisa wa gadi ya ulinzi wa fukwe za Italia wametangaza habari ya kuokolewa amia ya wahajiri haramu katika fukwe za Libya.
-
Italia yatangaza maombolezo ya kitaifa baada ya tetemeko la ardhi; walioaga dunia wafikia 281
Aug 27, 2016 03:22Serikali ya Italia imetangaza siku moja ya maombolezo ya kitaifa huku idadi ya wahanga wa tetemeko la ardhi lililotokea Jumatano iliyopita ikiongezeka na kufikia 281.
-
Idadi ya waliofariki katika tetemeko la ardhi Italia yafikia watu 247
Aug 25, 2016 03:38Huku timu za uokoaji zikiendelea na kazi ya kuwatafuta majeruhi na manusura wa tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.2 kwa kipimo cha rishta lililotokea katikati mwa Italia, hadi sasa imethibitishwa kuwa watu wasiopungua 247 wamepoteza maisha katika janga hilo la kimaumbile.
-
Watu 37 wapoteza maisha katika tetemeko la ardhi Italia; idadi huenda ikaongezeka
Aug 24, 2016 03:12Watu 37 wanaripotiwa kuaga dunia nchini Italia kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo ingawa kuna uwezekano wa kuongezeka wahanga wa janga hilo la kimaumbile.
-
EU: Idadi ya wahajiri wanaoingia Italia imeongezeka kwa 12%
Aug 13, 2016 03:00Shirika la Umoja wa Ulaya la Frontex linaloshughulikia masuala ya mipaka limesema idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Italia imeongezeka kwa asilimia 12.
-
Miili 217 ya wahajiri yapatikana Italia
Jul 07, 2016 09:43Miili zaidi ya 200 ya wahajiri imepatika katika mabaki ya boti iliyozama katika Bahari ya Mediterranean Aprili mwaka jana 2015.