Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ivory Coast

  • Ivory Coast yatangaza tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Ufaransa nchini humo

    Ivory Coast yatangaza tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Ufaransa nchini humo

    Feb 08, 2025 02:58

    Serikali ya Ivory Coast imeainisha tarehe ya kuondoka wanajeshi 'vamizi' wa Ufaransa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Rais wa Kenya akiri hadharani: Vyombo vya usalama vimejichukulia mamlaka kinyume cha sheria

    Rais wa Kenya akiri hadharani: Vyombo vya usalama vimejichukulia mamlaka kinyume cha sheria

    Jan 02, 2025 06:48

    Rais William Ruto wa Kenya kwa mara ya kwanza amekiri hadharani matumizi mabaya ya mamlaka yanayofanywa na vikosi vya usalama, kufuatia wimbi la utekaji nyara wenye utata ambao umezua maandamano makubwa ya upinzani nchini humo.

  • Ouattara: Ufaransa kuondoa wanajeshi wake Ivory Coast

    Ouattara: Ufaransa kuondoa wanajeshi wake Ivory Coast

    Jan 01, 2025 13:05

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast amesema kuwa wanajeshi wa Ufaransa wataondoka nchini humo mwezi huu wa Januari. Rais wa Ivory Coast alieleza haya jana Jumnanne katika hotuba yake ya mwisho wa mwaka kwa taifa.

  • Ivory Coast yasisitiza kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na Iran

    Ivory Coast yasisitiza kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na Iran

    Dec 01, 2024 04:12

    Balozi wa Ivory Coast nchini Iran amesisitiza azma ya nchi yake ya kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na Iran.

  • Jeshi la Mali 'lawasamehe' askari 49 wa Ivory Coast

    Jeshi la Mali 'lawasamehe' askari 49 wa Ivory Coast

    Jan 07, 2023 09:56

    Kiongozi wa kijeshi nchini Mali ametangaza habari ya kuwapa msamaha makumi ya wanajeshi wa Ivory Coast waliokamatwa nchini humo mwezi Julai mwaka uliomalizika 2022, wakituhumiwa kuwa mamluki.

  • Mali yawahukumu wanajeshi wa Ivory Coast miaka 20 jela

    Mali yawahukumu wanajeshi wa Ivory Coast miaka 20 jela

    Jan 01, 2023 07:34

    Mahakama moja huko Bamako, mji mkuu wa Mali imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela makumi ya wanajeshi wa Ivory Coast baada ya kuwapata na hatia ya 'kuhujumu' usalama wa taifa hilo jirani yake.

  • Ivory Coast imewahukumu watu 11 kifungo cha maisha jela kwa kuhusika katika shambulio la kigaidi mwaka 2016

    Ivory Coast imewahukumu watu 11 kifungo cha maisha jela kwa kuhusika katika shambulio la kigaidi mwaka 2016

    Dec 29, 2022 02:51

    Mahakama nchini Ivory Coast imewahukumu watu 11 kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika katika shambulio la kigaidi katika mji wa pwani wa Grand Bassam nchini humo mwezi Machi 2016.

  • Ivory Coast yataka kufanyika mkutano wa ECOWAS kujadili mzozo wa kidiplomasia na Mali

    Ivory Coast yataka kufanyika mkutano wa ECOWAS kujadili mzozo wa kidiplomasia na Mali

    Sep 15, 2022 08:13

    Ivory Coast imeituhumu Mali kwa kuidai fidia na kuamiliana na wanajeshi wake 46 kama wahalifu baada ya kutiwa nguvuni na serikali ya Bamako. Serikali ya Ivory Coast imewaomba viongozi wa jumuiya ya Ecowas kujadili hali hiyo ya mgogoro kati yake na Bamako haraka iwezekanavyo.

  • Kiongozi wa Mali ataka 'fidia' ili kuwaachia askari wa Ivory Coast

    Kiongozi wa Mali ataka 'fidia' ili kuwaachia askari wa Ivory Coast

    Sep 11, 2022 12:00

    Rais wa mpito wa Mali amesema anataka suluhu yenye maslahi ya pande mbili ili kuhitimisha mkwaruzano wa kidiplomasia baina ya nchi hiyo na Ivory Coast.

  • Mali yawaachia askari watatu wa Ivory Coast, 46 wangali wako kizuizini

    Mali yawaachia askari watatu wa Ivory Coast, 46 wangali wako kizuizini

    Sep 04, 2022 10:37

    Mali imewaachia huru askari watatu wanawake kati ya askari 49 wa Ivory Cooast waliokamatwa na kuwekwa kizuizini nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS