-
Araqchi: JCPOA haina maana yoyote iwapo vikwazo dhidi ya Iran havitaondolewa
Feb 13, 2021 05:10Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema makubaliano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA hayatakuwa na maana wala thamani yoyote iwapo vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu havitaondolewa.
-
Iran: Ni Marekani ndiyo iliyojitoa katika JCPOA na ndiyo yenye wajibu wa kurejea
Feb 11, 2021 23:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza tena kwamba ni Marekani ndiyo iliyojitoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA na ndiyo yenye wajibu wa kuchukua hatua za kwanza za kurejea kwenye makubaliano hayo, amesema, serikali ya Biden huko Marekani bado haijajua ifuate siasa zipi wakati siasa za Iran ziko wazi kabisa.
-
"Mlango wa fursa kwa Marekani kurekebisha makosa ya Trump unakaribia kujifunga"
Feb 10, 2021 20:06Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema iwapo Marekani na nchi za Ulaya zitaendelea kujikokota katika utekelezaji na kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, basi Jamhuri ya Kiislamu karibuni hivi itachukua hatua nyingine mpya za kupunguza uwajibikaji wake katika mapatano hayo.
-
Iran: Marekani ingali inakiuka azimio 2231 kwa vikwazo haramu
Feb 05, 2021 09:00Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Marekani inaendelea kukanyaga azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la umoja huo kwa kuliwekea taifa hili vikwazo kinyume cha sheria.
-
EU: Diplomasia ichukue nafasi ya mashinikizo ya kiwango cha juu
Feb 05, 2021 08:18Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema 'diplomasia ya kiwango cha juu' inapaswa kuchukua nafasi ya 'mashinikizo ya kiwango cha juu.'
-
EU: Matamshi ya rais wa Ufaransa kuhusu JCPOA ni 'misimamo yake binafsi'
Feb 02, 2021 04:01Umoja wa Ulaya umesema, matamshi aliyotoa rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwamba Saudi Arabia ishirikishwe katika mazungumzo ya nyuklia ya Iran ya JCPOA ni 'misimamo yake binafsi'.
-
Zarif: Marekani sharti itekeleze wajibu wake kwa kurejea katika JCPOA
Feb 02, 2021 00:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani haina budi kutekeleza wajibu na majukumu yake kwa kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Blinken na madai mapya kwa ajili ya kurejea katika JCPOA
Feb 01, 2021 23:31Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kwa mara nyingine tena amekariri hamu ya Washington ya kutaka kurejea katika mapatano ya JCPOA na kisha akatoa madai mapya kama sharti la kurejea katika mapatano hayo.
-
Kuchaguliwa Robert Malley kama mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Iran na kelele zisizo na maana zilizofuata
Jan 31, 2021 06:41Baada ya kuingia madarakani serikali mpya ya Joe Biden nchini Marekani na kutangazwa msimamo wake kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran ambayo ni maarufu kama JCPOA, ilikuwa inatarajiwa kuwa kungekuwa na mabadiliko maalumu katika uga huu.
-
Iran yajibu bwabwaja za Ufaransa juu ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Jan 30, 2021 23:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema silaha za Ufaransa na nchi nyingine za Magharibi ndilo chimbuko kuu la ukosefu wa uthabiti katika eneo la Ghuba ya Uajemi.