-
Kustawi sekta ya nyuklia ya Iran yenye malengo ya amani, bila kujali mapatano ya JCPOA
Jan 30, 2021 08:22Sekta ya miradi ya nyuklia ya Iran inaendelea kuimarishwa kwa malengo ya amani licha ya kuwepo shaka na madai yasiyo na msingi ya Marekani na nchi tatu za Ulaya zilizosalia katika mapatano ya JCPOA, jambo linalothibitisha wazi kwamba miradi hiyo itaendelea kuimarika iwe ni kwa msingi wa mapatano ya JCPOA au la.
-
Iran: Ni Marekani ndiyo yenye wajibu wa kurudi kwenye JCPOA
Jan 29, 2021 09:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, hivi sasa ni Marekani ndiyo yenye wajibu wa kurejea kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kutekeleza ahadi na majukumu yake.
-
EU na US kufanya mkutano wa kujaribu kuinusuru JCPOA
Jan 29, 2021 04:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema mazungumzo baina ya nchi za Ulaya na Marekani kuhusu kurejea Washington katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yataanza hivi karibuni.
-
Iran yasema huenda ikapunguza kiwango cha ushirikiano wake na IAEA
Jan 28, 2021 23:22Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao Vienna amesema yumkini Tehran itatazama upya kiwango cha ushirikiano wake na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA.
-
Kujitakia makuu serikali ya Biden kuhusu Iran na mapatano ya JCPOA
Jan 28, 2021 07:23Maafisa wa serikali mpya ya Joe Biden nchini Marekani ambao huko nyuma walikuwa wakitoa matamshi kinyume na msimamo wa serikali ya wakati huo ya nchi hiyo, hivi sasa wanaonyesha kuwa na mitazamo sawa, bali hata kutumia lugha ile ile ya serikali ya Donald Trump kuhusu Iran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Balozi wa Iran UN: Rais wa Marekani achukue hatua ya kwanza
Jan 26, 2021 04:05Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu haina mpango wowote wa kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Marekani Joe Biden, lakini inasubiri serikali mpya ya Washington ichukue hatua ya kwanza ya kuliondolea taifa hili vikwazo na kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
EU yaitaka serikali ya Biden isipoteze muda, iokoe JCPOA
Jan 21, 2021 01:01Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ameutaka utawala ujao nchini Marekani wa Joe Biden uokoe muda kwa kujiunga upya na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, badala ya kutaka kufanyike mazungumzo mapya juu ya mapatano hayo ya kimataifa.
-
Misimamo ya maafisa wa serikali ya Biden kuhusu Iran; kurudiwa misamiati ile ile ya zamani
Jan 20, 2021 23:40Sherehe za kutawazwa Joseph Robinette Biden Jr. kuwa rais wa 46 wa Marekani zimefanyika katika hali ambayo, Jumanne, tarehe 19 Januari 2021, maafisa wa ngazi za juu wa serikali yake walitumia kikao cha Baraza la Sanate la nchi hiyo kutangaza misimamo yao kuhusu Tehran na masuala yanayohusiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Zarif: Nchi za Ulaya katika JCPOA hazijafanya lolote la maana kuyalinda maafikiano hayo ya kimataifa
Jan 18, 2021 01:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: viongozi wa nchi tatu wanachama wa JCPOA (Ujerumani, Uingereza na Ufaranasa) hazifanya lolote la maana kuyalinda maafikiano hayo ya kimataifa.
-
Israel yatishia kuishambulia Iran iwapo Biden atairejesha US katika JCPOA
Jan 15, 2021 10:34Mpambe wa karibu wa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ametishia kuwa huenda Israel ikaishambulia kijeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iwapo serikali ijayo ya Marekani itarejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.