-
Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran
Sep 12, 2020 02:54Baada ya kugonga mwamba hatua za kila aina ilizojaribu kuchukua Marekani ili kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran, Washington iliibua dai la kutaka kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tehran, ambavyo viliondolewa baada ya kufikiwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA;
-
Russia na China zapongeza kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA
Sep 02, 2020 03:31Russia na China zimepongeza mkutano wa Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA uliofanyika jana Jumanne huko Vienna, mji mkuu wa Austria.
-
Araqchi: Wanachama wa JCPOA hawaitambui Marekani kama mshirika wao
Sep 01, 2020 23:01Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema nchi zilizosalia katika makubaliano ya nyuklia ya Iran haziitambui Marekani kuwa mwanachama au mshirika wa mapatano hayo ya kimataifa.
-
Umbumbumbu wa Marekani katika masuala ya sheria, wameshindwa na sasa wanatoa vitisho
Aug 29, 2020 05:48Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amekosoa jitihada zinazofanywa na Marekani kwa ajili ya kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran kuanzia tarehe 20 Oktoba mwaka huu wa 2020 na kusema: Viongozi wa serikali ya Marekani ni mbumbumbu katika masuala ya sheria na hawajui lolote kuhusiana na tendaji wa Umoja wa Mataifa.
-
Taarifa ya pamoja ya Tehran; nia njema ya Iran na matarajio ya Tehran kwa IAEA
Aug 27, 2020 05:12Baada ya mazungumzo ya kina ya siku mbili ya Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) mjini Tehran, Iran na wakala huo wamefikia makubaliano kuhusu namna ya kutatua masuala mbalimbali kwa nia njema.
-
Upinzani wa wanachama 13 wa Baraza la Usalama kwa ombi la Marekani la kuanzisha utaratibu wa "Snapback Mechanism"
Aug 22, 2020 05:57Kushindwa Marekani katika njama zake za kulazimisha kukubaliwa pendekezo la kuiongezea Iran muda wa vikwazo vya silaha katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kumeipelekea Washington kuchukua hatua ya kukurupuka ya kuwasilisha ombi la kuanzisha utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran papo kwa hapo yaani "Snapback Mechanism." Ombi hilo la Marekani hata hivyo nalo limepingwa vikali ndani ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
JCPOA na utaratibu wa "Snapback Mechanism", Marekani katika mkwamo wa Baraza la Usalama
Aug 21, 2020 22:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepinga hatua inayokiukaji sheria ya Marekani ya kutaka kutumia vibaya taratibu zilizowekwa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA za kurejesha upya vikwazo vya silaha dhidi ya Iran.
-
Hillary Clinton: Marekani inapasa kurejea katika makubaliano ya JCPOA
Aug 18, 2020 02:26Waziri wa zamani wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amesisitiza kuwa serikali ijayo ya nchi hiyo inapasa kurejea katika mapatano ya JCPOA; kwa sababu hatua hiyo ni kwa maslahi ya Washington.
-
Onyo la Rouhani kuhusu JCPOA; Ulaya isitumbukie kwenye mtego wa Marekani
Aug 13, 2020 04:54Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa azimio lilopendekezwa na Marekani katika Barazala Usalama la Umoja wa Mataifa linakiuka moja kwa moja azimio nambari 2231 la baraza hilo na hivyo kuzitaka nchi zote na hasa zilizotia saini mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA, zilipinge.
-
Araqchi: Iran haitaacha haki yake isiyo na shaka kwa sababu tu ya ubabe wa Marekani
Jul 26, 2020 23:11Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema, kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani ni haki ya wazi na isiyo na shaka ya wananchi wa Iran na akasisitiza kuwa: Licha ya kuitolea gharama kubwa kutokana na vikwazo, Jamhuri ya Kiislamu haitaiacha haki yake hiyo ya wazi kabisa kwa sababu tu ya ubabe wa Marekani.