Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Lawama kali za Russia kwa azimio lililopendekezwa na Marekani la kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Lawama kali za Russia kwa azimio lililopendekezwa na Marekani la kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jul 03, 2020 07:02

    Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za kukabiliana na nguvu za kiulinzi na kijeshi za Jamhuri ya Kiislamu zinazozidi kuongezeka siku hadi siku, serikali ya Donald Trump huko Marekani imeanzisha kampeni kubwa ya kimataifa ya kuzuia kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Naibu Katibu Mkuu wa UN aunga mkono mapatano ya JCPOA

    Naibu Katibu Mkuu wa UN aunga mkono mapatano ya JCPOA

    Jul 01, 2020 07:50

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu hatima isiyofahamika ya mapatano ya JCPOA kutokana na ukwamishaji wa Marekani na kuunga mkono mapatano hayo.

  • Zarif: Nchi tatu za Ulaya zisishiriki katika jinai zinazofanywa na maadui wa JCPOA

    Zarif: Nchi tatu za Ulaya zisishiriki katika jinai zinazofanywa na maadui wa JCPOA

    Jun 19, 2020 03:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameutaka Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki usiwaruhusu maadui wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kuhatarisha maslahi ya Iran na kushirikiana nao.

  • Iran: Badala ya kuwa na wasi wasi usio na msingi, Troika ya Ulaya itekeleze ahadi zake JCPOA

    Iran: Badala ya kuwa na wasi wasi usio na msingi, Troika ya Ulaya itekeleze ahadi zake JCPOA

    Jun 17, 2020 22:58

    Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa taarifa ya Troika ya Ulaya, yaani Ujerumani, Uingereza na Ufaransa, kuhusu mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na shughuli za nyuklia za Iran zenye malengo ya amani.

  • Russia: Kuna ulazima wa kulindwa mapatano ya JCPOA mkabala na chokochoko za Marekani

    Russia: Kuna ulazima wa kulindwa mapatano ya JCPOA mkabala na chokochoko za Marekani

    Jun 17, 2020 22:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ametoa wito wa kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA mkabala na chokochoko za Marekani.

  • Sisitizo la Borell la kuondoka Marekani JCPOA na madai yasiyo na msingi ya serikali ya Trump

    Sisitizo la Borell la kuondoka Marekani JCPOA na madai yasiyo na msingi ya serikali ya Trump

    Jun 11, 2020 00:16

    Rais Donald Trump wa Marekani ni mmoja wa wapinzani wakubwa wa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na ambaye aliitoa nchi hiyo katika mapatano hayo ya kimataifa tarehe 8 mwezi Mei 2018.

  • Javad Zarif ajibu ujumbe wa Trump aliyeitaka Iran kuketi kwenye meza ya mazungumzo Marekani

    Javad Zarif ajibu ujumbe wa Trump aliyeitaka Iran kuketi kwenye meza ya mazungumzo Marekani

    Jun 05, 2020 22:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu pendekezo la Rais Donald Trump wa Marekani kwa Tehran kwa ajili ya kufanya mazungumzo mapya akisema kuwa, Iran au pande nyingine za mapatano ya nyuklia ya JCPOA, hazijawahi kuondokwa kwenye meza ya mazungumzo.

  • Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu, zichukue hatua za kivitendo

    Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu, zichukue hatua za kivitendo

    Jun 02, 2020 07:01

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani, bali zitekeleze kivitendo majukumu yao.

  • Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya Iran

    Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya Iran

    May 28, 2020 21:52

    Baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mnamo Mei 8 2018, ilianza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran. Vikwazo hivyo vya upande mmoja ni ukiukwaji wa wazi wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Russia: Wapinzani wa JCPOA wanakusudia kudunisha ushirikiano wa Iran na IAEA

    Russia: Wapinzani wa JCPOA wanakusudia kudunisha ushirikiano wa Iran na IAEA

    May 25, 2020 21:56

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao mjini Vienna nchini Austria amesema wapinzani wa makubaliano ya nyuklia yaliyosainiwa baina ya Iran na madola makubwa duniani mwaka 2015 wanalenga kudunisha na kudhalilisha muamana na ushirikiano baina ya Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS