-
Lawama kali za Russia kwa azimio lililopendekezwa na Marekani la kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran
Jul 03, 2020 07:02Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za kukabiliana na nguvu za kiulinzi na kijeshi za Jamhuri ya Kiislamu zinazozidi kuongezeka siku hadi siku, serikali ya Donald Trump huko Marekani imeanzisha kampeni kubwa ya kimataifa ya kuzuia kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Naibu Katibu Mkuu wa UN aunga mkono mapatano ya JCPOA
Jul 01, 2020 07:50Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu hatima isiyofahamika ya mapatano ya JCPOA kutokana na ukwamishaji wa Marekani na kuunga mkono mapatano hayo.
-
Zarif: Nchi tatu za Ulaya zisishiriki katika jinai zinazofanywa na maadui wa JCPOA
Jun 19, 2020 03:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameutaka Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki usiwaruhusu maadui wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kuhatarisha maslahi ya Iran na kushirikiana nao.
-
Iran: Badala ya kuwa na wasi wasi usio na msingi, Troika ya Ulaya itekeleze ahadi zake JCPOA
Jun 17, 2020 22:58Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa taarifa ya Troika ya Ulaya, yaani Ujerumani, Uingereza na Ufaransa, kuhusu mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na shughuli za nyuklia za Iran zenye malengo ya amani.
-
Russia: Kuna ulazima wa kulindwa mapatano ya JCPOA mkabala na chokochoko za Marekani
Jun 17, 2020 22:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ametoa wito wa kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA mkabala na chokochoko za Marekani.
-
Sisitizo la Borell la kuondoka Marekani JCPOA na madai yasiyo na msingi ya serikali ya Trump
Jun 11, 2020 00:16Rais Donald Trump wa Marekani ni mmoja wa wapinzani wakubwa wa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na ambaye aliitoa nchi hiyo katika mapatano hayo ya kimataifa tarehe 8 mwezi Mei 2018.
-
Javad Zarif ajibu ujumbe wa Trump aliyeitaka Iran kuketi kwenye meza ya mazungumzo Marekani
Jun 05, 2020 22:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu pendekezo la Rais Donald Trump wa Marekani kwa Tehran kwa ajili ya kufanya mazungumzo mapya akisema kuwa, Iran au pande nyingine za mapatano ya nyuklia ya JCPOA, hazijawahi kuondokwa kwenye meza ya mazungumzo.
-
Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu, zichukue hatua za kivitendo
Jun 02, 2020 07:01Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani, bali zitekeleze kivitendo majukumu yao.
-
Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya Iran
May 28, 2020 21:52Baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mnamo Mei 8 2018, ilianza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran. Vikwazo hivyo vya upande mmoja ni ukiukwaji wa wazi wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Russia: Wapinzani wa JCPOA wanakusudia kudunisha ushirikiano wa Iran na IAEA
May 25, 2020 21:56Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao mjini Vienna nchini Austria amesema wapinzani wa makubaliano ya nyuklia yaliyosainiwa baina ya Iran na madola makubwa duniani mwaka 2015 wanalenga kudunisha na kudhalilisha muamana na ushirikiano baina ya Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).