Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • "Nchi za Ulaya hazina muamana, zinashirikiana na Marekani kuishinikiza Iran"

    Oct 20, 2019 04:16

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema nchi za Ulaya hazina muamana na zimeshindwa kutekeleza wajibu wao kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • "Iran haitakuwa mtekelezaji pekee wa makubaliano ya nyuklia"

    Oct 17, 2019 23:56

    Naibu Balozi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Tehran haipaswi kuwa mtekelezaji pekee wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iwapo upande wa pili hautatekeleza wajibu wake.

  • Kujitoa Trump katika JCPOA; ni katika kuiunga mkono Israel

    Kujitoa Trump katika JCPOA; ni katika kuiunga mkono Israel

    Oct 13, 2019 08:40

    Rais wa Marekani amekiri kuwa alijitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa sababu ya kuiunga mkono Israel.

  • Iran kuendelea kupunguza uwajibikaji wake kwa JCPOA

    Iran kuendelea kupunguza uwajibikaji wake kwa JCPOA

    Oct 06, 2019 04:34

    Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema kuwa, awamu ya nne ya kupunguza Iran kutekeleza ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA itaanza kutekelezwa mwezi ujao kama ilivyopangwa na kwamba kwa sasa hakuna kituo chochote kilichobadilika.

  • JCPOA haina maana iwapo haiwafaidi na chochote wananchi wa Iran

    JCPOA haina maana iwapo haiwafaidi na chochote wananchi wa Iran

    Sep 29, 2019 23:06

    Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hayana faida yoyote iwapo wananchi wa Iran hawastafidi chochote kutokana na mapatano hayo ya kimataifa.

  • Ukosoaji mkali wa Sergey Lavrov kuhusiana na miamala haribifu ya Marekani dhidi ya mapatano ya JCPO na Ghuba ya Uajemi

    Ukosoaji mkali wa Sergey Lavrov kuhusiana na miamala haribifu ya Marekani dhidi ya mapatano ya JCPO na Ghuba ya Uajemi

    Sep 29, 2019 23:06

    Hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana na kisha kuiwekea Iran vikwazo vikali ambavyo vilikuwa havijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, na baada ya hapo kuzidisha uwepo wake wa kijeshi katika Ghuba ya Uajemi ambao umeshadidisha mizozo katika eneo hilo la kistratijia, ni mambo ambayo yameizidishia wasi wasi serikali ya Russia.

  • Nchi za Ulaya zatishia kujiondoa kwenye makubaliano ya JCPOA

    Nchi za Ulaya zatishia kujiondoa kwenye makubaliano ya JCPOA

    Sep 28, 2019 08:06

    Nchi za Ulaya zimetishia kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iwapo Iran eti haitafungamana kikamilifu na mapatano hayo.

  • Zarif na Mogherini wajadili njia za kuinusuru JCPOA

    Zarif na Mogherini wajadili njia za kuinusuru JCPOA

    Sep 24, 2019 04:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javaad Zarif amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini na wawili hao wamejadili njia za kulinda na kudumisha makubaliano ya JCPOA.

  • Katika mtazamo wa Kansela wa Ujerumani; Mwarubaini wa kupunguza mivutano Magharibi ya Asia ni kurejea kwenye JCPOA

    Katika mtazamo wa Kansela wa Ujerumani; Mwarubaini wa kupunguza mivutano Magharibi ya Asia ni kurejea kwenye JCPOA

    Sep 18, 2019 07:25

    Kwa mtazamo wa Umoja wa Ulaya na Troika ya umoja huo inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza, makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yana mchango muhimu sana katika kulinda amani na usalama katika eneo la Magharibi ya Asia na katika uga wa kimataifa. Kwa mtazamo wa nchi za Ulaya, kujitoa Marekani katika JCPOA kumekuwa chanzo cha kujitokeza mivutano na hali ya wasiwasi katika Ghuba ya Uajemi na Magharibi ya Asia.

  • Mousavi: Kupunguza Iran uwajibikaji wake katika JCPOA kunaendelea katika fremu ya makubaliano hayo ya kimataifa

    Mousavi: Kupunguza Iran uwajibikaji wake katika JCPOA kunaendelea katika fremu ya makubaliano hayo ya kimataifa

    Sep 16, 2019 09:05

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuendelea Tehran kupunguza uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kunafanyika katika fremu ya makubaliano hayo ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS