-
"Nchi za Ulaya hazina muamana, zinashirikiana na Marekani kuishinikiza Iran"
Oct 20, 2019 04:16Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema nchi za Ulaya hazina muamana na zimeshindwa kutekeleza wajibu wao kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
"Iran haitakuwa mtekelezaji pekee wa makubaliano ya nyuklia"
Oct 17, 2019 23:56Naibu Balozi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Tehran haipaswi kuwa mtekelezaji pekee wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iwapo upande wa pili hautatekeleza wajibu wake.
-
Kujitoa Trump katika JCPOA; ni katika kuiunga mkono Israel
Oct 13, 2019 08:40Rais wa Marekani amekiri kuwa alijitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa sababu ya kuiunga mkono Israel.
-
Iran kuendelea kupunguza uwajibikaji wake kwa JCPOA
Oct 06, 2019 04:34Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema kuwa, awamu ya nne ya kupunguza Iran kutekeleza ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA itaanza kutekelezwa mwezi ujao kama ilivyopangwa na kwamba kwa sasa hakuna kituo chochote kilichobadilika.
-
JCPOA haina maana iwapo haiwafaidi na chochote wananchi wa Iran
Sep 29, 2019 23:06Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hayana faida yoyote iwapo wananchi wa Iran hawastafidi chochote kutokana na mapatano hayo ya kimataifa.
-
Ukosoaji mkali wa Sergey Lavrov kuhusiana na miamala haribifu ya Marekani dhidi ya mapatano ya JCPO na Ghuba ya Uajemi
Sep 29, 2019 23:06Hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana na kisha kuiwekea Iran vikwazo vikali ambavyo vilikuwa havijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, na baada ya hapo kuzidisha uwepo wake wa kijeshi katika Ghuba ya Uajemi ambao umeshadidisha mizozo katika eneo hilo la kistratijia, ni mambo ambayo yameizidishia wasi wasi serikali ya Russia.
-
Nchi za Ulaya zatishia kujiondoa kwenye makubaliano ya JCPOA
Sep 28, 2019 08:06Nchi za Ulaya zimetishia kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iwapo Iran eti haitafungamana kikamilifu na mapatano hayo.
-
Zarif na Mogherini wajadili njia za kuinusuru JCPOA
Sep 24, 2019 04:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javaad Zarif amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini na wawili hao wamejadili njia za kulinda na kudumisha makubaliano ya JCPOA.
-
Katika mtazamo wa Kansela wa Ujerumani; Mwarubaini wa kupunguza mivutano Magharibi ya Asia ni kurejea kwenye JCPOA
Sep 18, 2019 07:25Kwa mtazamo wa Umoja wa Ulaya na Troika ya umoja huo inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza, makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yana mchango muhimu sana katika kulinda amani na usalama katika eneo la Magharibi ya Asia na katika uga wa kimataifa. Kwa mtazamo wa nchi za Ulaya, kujitoa Marekani katika JCPOA kumekuwa chanzo cha kujitokeza mivutano na hali ya wasiwasi katika Ghuba ya Uajemi na Magharibi ya Asia.
-
Mousavi: Kupunguza Iran uwajibikaji wake katika JCPOA kunaendelea katika fremu ya makubaliano hayo ya kimataifa
Sep 16, 2019 09:05Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuendelea Tehran kupunguza uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kunafanyika katika fremu ya makubaliano hayo ya kimataifa.