-
Kamanda Mkuu wa Iran: Nchi za kanda hii zinazotumika kama ngao ya Marekani 'zitateketea katika moto wa vita'
Aug 01, 2026 11:32Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) amezionya nchi za kanda hii kuhusu kushirikiana na Marekani akisema: Nchi yoyote itakayotumika kama "ngao ya ulinzi" kwa Washington itaungua katika moto wa vita.
-
'Nchi yoyote inayopokea pesa kutoka kwenye mali za Iran hairuhusiwi kupita katika Mlango-Bahari wa Hormuz'
Jul 29, 2026 02:41Msemaji wa Makao Makuu ya Kijeshi ya Khatamul-Anbiyaa amesema: "Kampuni au nchi yoyote ile itakayopokea pesa kutoka kwenye mali za Iran haitaruhusiwa kupita kwenye Mlango-Bahari wa Hormuz."
-
Jeshi la Iran laapa kutoa jibu kali zaidi dhidi ya uchokozi wowote siku zijazo
Jul 28, 2026 03:58Jeshi la Iran limeapa kutoa jibu kali na la nguvu zaidi dhidi ya uchokozi wa nchi yoyote katika siku zijazo.
-
Jeshi la Iran: Karibu miundombinu yote ya Marekani huko Erbil imeharibiwa
Jul 26, 2026 13:16Msemaji wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza kuwa karibu miundombinu yote ya Marekani katika mji wa Erbil, kaskazini mwa Iraq imeharibiwa.
-
Kamanda mkuu wa Majeshi Iran asema wauaji wa Kiongozi Muadhamu watakabiliwa na adhabu
Jul 11, 2026 02:47Kamanda wa Makao Makuu ya Majeshi ya Iran maarufu kwa jina la Kamandi ya Khatamul-Anbiya (SAW) amesema wale waliohusika na mauaji ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, watakabiliwa na adhabu, akielezea mahudhurio makubwa ya watu katika mazishi yake kuwa ni dhihirisho lenye nguvu la imani, ukakamavu na mshikamano.
-
Iran: Chanzo cha uungaji mkono wowote kwa jeshi Marekani ni shabaha halali
Jul 08, 2026 14:10Makao Makuu ya Majeshi ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) yametangaza kuwa chanzo chochote cha uungaji mkono unaotolewa kwa "jeshi vamizi la Marekani" katika mashambulizi dhidi ya mamlaka ya kujitawala na ardhi nzima ya Iran ni shabaha halali ya vikosi vya ulinzi.
-
Mkuu wa Jeshi la Iran: Adui yeyote atakayefanya makosa atakabiliwa na ghadhabu kubwa
Jun 16, 2026 11:09Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran amesema adui alishindwa kufikia malengo yake yoyote kupitia vita viwili, akionya kwamba makosa yoyote ya kimahesabu yatakabiliwa na hasira kali ya Jeshi la Iran.
-
Kamanda wa Khatamul-Anbiya (SAW): Hivi karibuni ulimwengu utasikia mwangwi wa ushindi wa Iran
Jun 13, 2026 11:18Kamanda wa Makao Makuu ya Majeshi ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) amesema kuwa hivi karibuni ulimwengu utasikia mwangwi wa ushindi wa Iran, na ushindi wa muqawama dhidi ya adui mchokozi na gaidi.
-
Kamandi Kuu ya Jeshi la Iran yaamuru kufungwa Mlango Bahari wa Hormuz kwa meli zote baada ya mashambulizi mapya ya Marekani
Jun 11, 2026 03:18Kamandi Kuu ya Jeshi la Iran imeamuru kufungwa Mlango-Bahari wa Kistratejia wa Hormuz muda mfupi baada ya kuanza hujuma mpya ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran, licha ya Jamhuri ya Kiislamu kuonya juu ya chokochoko hizo.
-
Iran yaonya kuwa, ikishambuliwa tena jibu la litakuwa ‘kali zaidi’ kuliko vita vilivyopita
May 27, 2026 03:16Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa onyo kali kuhusu mashambulizi ya kulipiza kisasi yatakayokuwa “mazito na makali zaidi” iwapo tawala za Marekani na Israel zitafanya uchokozi mpya.