Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Jenerali Hatami ateuliwa kuwa Kamanda mpya wa Majeshi ya Iran

    Jenerali Hatami ateuliwa kuwa Kamanda mpya wa Majeshi ya Iran

    Jun 14, 2025 07:04

    Brigedia Jenerali Amir Hatami ameteuliwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kuwa Kamanda Mkuu mpya wa Majeshi ya Iran.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Israel akiri juu ya uhaba mkubwa wa askari jeshini

    Waziri Mkuu wa zamani wa Israel akiri juu ya uhaba mkubwa wa askari jeshini

    Apr 27, 2025 07:30

    Naftali Bennet Waziri Mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni amekiri kuwa jeshi la utawala huo linakabiliwa na uhaba mkubwa wa askari jeshini.

  • Iran: Hatutaki vita, lakini tutajihami kwa nguvu zote

    Iran: Hatutaki vita, lakini tutajihami kwa nguvu zote

    Mar 05, 2025 04:14

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa: Hatufurahishwi na vita na machafuko na wala hatupendi, lakini iwapo adui ataanzisha vita dhidi yetu basi bila ya shaka tutailinda Iran kwa nguvu zetu zote na kutoa jibu kali kwa maadui.

  • Makamanda wengi wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa Ghaza

    Makamanda wengi wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa Ghaza

    Jan 13, 2025 03:30

    Brigedia Jenerali mstaafu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amefichua kuwa asilimia 80 ya makamanda wa Brigedi ya Givati wameuawa au kujeruhiwa katika vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Hatimaye utawala wa Kizayuni wakiri kuwa umeua mateka wake Ghaza

    Hatimaye utawala wa Kizayuni wakiri kuwa umeua mateka wake Ghaza

    Jul 23, 2024 06:32

    Baada ya siku 290 za vita, hatimaye jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limekiri kuwa makumi ya mateka wa Kizayuni wameuliwa katika ukanda wa Ghaza na askari wa utawala huo.

  • Makaburi 121 ya watu weusi yagunduliwa katika kambi ya anga ya Marekani

    Makaburi 121 ya watu weusi yagunduliwa katika kambi ya anga ya Marekani

    Jan 24, 2024 03:36

    Jeshi la Anga la Marekani limetangaza kugundua makaburi 121 ya watu weusi katika kambi ya jeshi hilo ya MacDill huko Tampa.

  • Ombi la Italia la kuunda jeshi la Ulaya

    Ombi la Italia la kuunda jeshi la Ulaya

    Jan 09, 2024 02:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Antonio Tajani, amesema kwamba Umoja wa Ulaya unapaswa kuunda jeshi lake la pamoja ambalo linaweza kuwa na jukumu la kudumisha amani na kuzuia migogoro.

  • Idadi ya wanajeshi wa Israel walioangamizwa wafikia 501

    Idadi ya wanajeshi wa Israel walioangamizwa wafikia 501

    Jan 04, 2024 03:10

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza kuwa, idadi ya askarii wake waliouawa hadi sasa tangu ilipototekkelezwa operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa imefikia 501.

  • Mkuu wa Intelijinsia wa jeshi la Kizayuni: Tumeshindwa

    Mkuu wa Intelijinsia wa jeshi la Kizayuni: Tumeshindwa

    Nov 02, 2023 02:31

    Kufuatia utawala wa Kizayuni kukiri kushindwa mbele ya wanamapambano wa Palestina, Mkuu wa Idara ya Ujasusi katika jeshi la utawala huo ghasibu pia amesisitiza akisema:" Sisi tumeshindwa."

  • Juhudi za kufanya mapinduzi nchini Sudan

    Juhudi za kufanya mapinduzi nchini Sudan

    Apr 16, 2023 13:23

    Nchini Sudan hali si shwari ambapo habari kutoka nchini humo zinaonyesha kuendelea mapigano kati ya jeshi la Sudan na vikosi vya radiamali ya haraka na kuzusha wasiwasi wa kutokea mapinduzi katika nchi hiyo ya Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS