Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jinai za kivita

  • Baghaei: Israel imevunja rekodi zote za mauaji ya watoto duniani

    Baghaei: Israel imevunja rekodi zote za mauaji ya watoto duniani

    Apr 19, 2025 13:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mauaji ya watoto yanayofanywa na Israel huko Ghaza yamevunja rekodi zote duniani na kwamba huo ni uhalifu wa kivita, ni jinai dhidi ya ubinadamu na ni mauaji ya umati kwa mujibu wa sheria za kimataifa.

  • Kimya cha dunia mkabala wa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza

    Kimya cha dunia mkabala wa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza

    Apr 11, 2025 02:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa Gaza imekuwa machinjioni, na zaidi ya mwezi mmoja sasa hakuna msaada wowote uliopelekwa eneo hilo na kwamba wakazi wa Gaza hawana mafuta, dawa na bidhaa nyingine zinazohitajika.

  • Mashirika ya haki za binadamu ya Poland: Mkamateni waziri mhalifu wa Israel

    Mashirika ya haki za binadamu ya Poland: Mkamateni waziri mhalifu wa Israel

    Jan 28, 2025 07:59

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini Poland yametoa wito wa kukamatwa Waziri wa Elimu wa Israel ambaye yuko safarini nchini humo.

  • Ansarullah ya Yemen yalaani operesheni ya kigaidi ya utawala katili wa Israel dhidi ya Lebanon

    Ansarullah ya Yemen yalaani operesheni ya kigaidi ya utawala katili wa Israel dhidi ya Lebanon

    Sep 19, 2024 06:32

    Ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali operesheni ya kigaidi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na kuitaja kuwa ni jinai ya kivita.

  • Gaza: Israel imevunja kabisa misikiti 31 na kuharibu vibaya makanisa 3

    Gaza: Israel imevunja kabisa misikiti 31 na kuharibu vibaya makanisa 3

    Oct 22, 2023 14:57

    Ofisi ya Vyombo ya Habari vya Serikali ya Ukanda wa Gaza imetangaza leo Jumapili kwamba idadi ya misikiti iliyovunjwa kabisa katika mashambulizi ya jeshi la Israel katika Ukanda wa Gaza imeongezeka na kufikia misikiti 31, na uharibifu mkubwa umerekodiwa katika makanisa 3.

  • Wabunge wa Kenya: Wanajeshi watenda jinai wa Uingereza wahukumiwe nchini

    Wabunge wa Kenya: Wanajeshi watenda jinai wa Uingereza wahukumiwe nchini

    Apr 13, 2023 03:29

    Wanajeshi wa Jeshi la Uingereza wanaotoa mafunzo nchini Kenya wanaofanya mauaji nchini humo huenda wakakabiliwa na mashtaka katika mahakama za Kenya iwapo mapendekezo yaliyopendekezwa bungeni na Kamati ya Ulinzi na Mahusiano ya Kigeni yatapitishwa.

  • Undumakuwili wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusu jinai za kivita

    Undumakuwili wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusu jinai za kivita

    Mar 19, 2023 07:41

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, ambayo inajiona kuwa mahakama ya kwanza ya kudumu ya kimataifa inayoshughulikia uhalifu wa mauaji ya halaiki, jinai dhidi ya binadamu, jinai za kivita na uchokozi, Ijumaa iliyopita ilitoa waranti wa kimataifa wa kukamatwa Rais Vladmir Putin wa Russia.

  • Kufichuliwa jinai za kivita za jeshi la Marekani nchini Syria

    Kufichuliwa jinai za kivita za jeshi la Marekani nchini Syria

    Nov 14, 2021 11:12

    Gazeti la New York Times limetoa ripoti inayoonyesha kuwa, jeshi la Marekani limetenda uhalifu wa kivita kwa kuua makumi ya wanawake na watoto katika mashambulio ya anga liliyofanya nchini Syria kwa kisingizio cha kile kinachoitwa mapambano dhidi ya kundi la DAESH (ISIS).

  • Wasichana wahajiri wa Kiafrika wananajisiwa na hata kupewa ujauzito katika kambi ya EU, Libya

    Wasichana wahajiri wa Kiafrika wananajisiwa na hata kupewa ujauzito katika kambi ya EU, Libya

    Jun 21, 2021 12:42

    Kundi la wasichana wahamiaji waliowekwa katika kituo kinachosimamiwa na serikali ya Libya wamewashutumu walinzi wa kituo hicho, kinachofadhiliwa na Umoja wa Ulaya, kwamba wanawabaka na kuwanyanyasa kingono.

  • UN: Kundi la Daesh lilifanya jitihada za kuangamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia

    UN: Kundi la Daesh lilifanya jitihada za kuangamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia

    May 12, 2021 00:47

    Mkuu wa timu ya Umoja wa Mataifa iliyopewa jukumu la kuchunguza jinai na uhalifu uliofanywa na kundi la kiwahabi la Daesh amesema kuwa, kundi hilo la kigaidi lilifanya jitihada za kuangamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS