Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kamanda shahidi Qassem Soleimani

  • Iran yakiongezea Kikosi cha Quds cha IRGC Yuro milioni 200

    Iran yakiongezea Kikosi cha Quds cha IRGC Yuro milioni 200

    Jan 07, 2020 08:03

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametangaza kuwa, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameidhinisha kukiongeza Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Yuro milioni 200.

  • Vitisho vya Trump vya kuiwekea vikwazo Iraq, kushindwa kwingine kwa Washington

    Vitisho vya Trump vya kuiwekea vikwazo Iraq, kushindwa kwingine kwa Washington

    Jan 07, 2020 07:44

    Jinai kubwa ya Marekani ya kumuua kigaidi Meja Jenerali Qassem Soleimani na Abu Mahdi Al-Muhandis, Naibu Mkuu wa Harakati ya Kujitolea ya Wananchi wa Iraq ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq, imeibua radiamali kali ya bunge la nchi hiyo ya Kiarabu na kuipelekea kupitisha sheria ya kuvitimua vikosi vya muungano vamizi wa eti kupambana na Daesh (ISIS) unaojumuisha askari wa Marekani.

  • Netanyahu apatwa na kiwewe cha jibu kali la muuqawama kufuatia jinai dhidi ya Luteni Soleimani

    Netanyahu apatwa na kiwewe cha jibu kali la muuqawama kufuatia jinai dhidi ya Luteni Soleimani

    Jan 07, 2020 05:00

    Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala Haramu wa Kizayuni wa Israel, amelegeza msimamo kunako msimamo wake wa awali wa kuunga mkono jinai ya kigaidi iliyofanywa na Marekani ya kuwaua shahidi viongozi wa mrengo wa muqawama, ambapo sasa amesema kuwa Israel haikuhusika katika shambulizi hilo la Marekani katika uwanja wa ndege wa Baghdad, Iraq.

  • Rais Hassan Rouhani ajibu vitisho vya Trump asema: 'Kamwe usilitishe taifa kubwa la Iran'

    Rais Hassan Rouhani ajibu vitisho vya Trump asema: 'Kamwe usilitishe taifa kubwa la Iran'

    Jan 07, 2020 04:52

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa radiamali yake kufuatia vitsiho vya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu kuyalenga baadhi ya maeneo ya Iran kupitia ujumbe alioutuma kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter, ambapo amemuonya kwa kusema: "Kamwe usilitishe taifa kubwa la Iran."

  • Harakati ya Hizbullah ya Iraq yampa onyo kali Rais Donald Trump wa Marekani

    Harakati ya Hizbullah ya Iraq yampa onyo kali Rais Donald Trump wa Marekani

    Jan 07, 2020 04:41

    Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Iraq imemuonya Rais Donald Trump wa Marekani kwamba iwapo ataiwekea vikwazo nchi hiyo, basi harakati hiyo itazuia usafirishaji mafuta ya kwenda soko la nchi hiyo.

  • Zarif: Uwepo wa kishetani wa Marekani Asia Magharibi unaelekea kufika ukingoni

    Zarif: Uwepo wa kishetani wa Marekani Asia Magharibi unaelekea kufika ukingoni

    Jan 07, 2020 04:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria kujitokeza mamilioni ya Wairani katika mazishi ya mashahidi wa jinai ya hivi karibuni ya Marekani na kusema: "Uwepo wa kishetani wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi unaelekea kufika ukingoni."

  • Wamarekani waendeleza maandamano kupinga ugaidi wa Washington wa kuwaua mashujaa wa vita dhidi ya  ugaidi

    Wamarekani waendeleza maandamano kupinga ugaidi wa Washington wa kuwaua mashujaa wa vita dhidi ya ugaidi

    Jan 07, 2020 04:28

    Katika mwendelezo wa maandamano ya raia wa Marekani ya kupinga kuuawa kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC na Naibu Mkuu wa Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi ya Iraq, wanaharakati mbalimbali wa kupinga vita wamefanya maandamano katika maeneo tofauti ya jimbo la Massachusetts.

  • ANC yailaani Marekani kwa kumuua Lt. Jen. Qassem Soleimani

    ANC yailaani Marekani kwa kumuua Lt. Jen. Qassem Soleimani

    Jan 07, 2020 04:28

    Chama tawala cha ANC cha Afrika Kusini kimetoa taarifa na kulaani hujuma ya Jeshi la Marekani ambayo ilipelekea kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Qods cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC)

  • Sisitizo la Erdogan la kutoyumkinika mauaji ya kigaidi ya shakhsia kama Kamanda Soleimani kuachwa bila ya jibu

    Sisitizo la Erdogan la kutoyumkinika mauaji ya kigaidi ya shakhsia kama Kamanda Soleimani kuachwa bila ya jibu

    Jan 07, 2020 04:27

    Wimbi kubwa la kauli, matamko na misimamo ya viongozi na shakhasia mbali mbali wa kimataifa pamoja na maandamano ya upinzani ya wananchi, vinaendelea kushuhudiwa katika nchi za eneo na zingine duniani kuhusiana na mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali shahidi Qassem Soleimani, kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Bintiye Shahidi Soleimani: Jina la Haj Qassem Soleimani linawatia kiwewe Wazayuni, Wakufurishaji na Mabeberu

    Bintiye Shahidi Soleimani: Jina la Haj Qassem Soleimani linawatia kiwewe Wazayuni, Wakufurishaji na Mabeberu

    Jan 06, 2020 13:43

    Bintiye Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: "Baba yangu aliwakosesha usingizi madhalimu wote, madikteta na wakufurishaji. Jina la Haj Qassem Soleimani sasa pia linawatia kiwewe Wazayuni, wakufurishaji na mabeberu."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS