Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kamisheni

  • Kikao cha tano cha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Tanzania kimeshirikisha wanawake wengi

    Kikao cha tano cha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Tanzania kimeshirikisha wanawake wengi

    Oct 29, 2024 07:55

    Makamu wa Rais wa Iran anayehusika na Masuala ya Wanawake na Familia ametangaza kuwa kikao cha tano cha Kamisheni ya pamoja ya Iran na Tanzania kimefanyika kwa kushirikisha wanawake wengi na kwa lengo la kupanua uhusiano wa kiuchumi, kibiashara, kijamii na kiutamaduni kati ya nchi hizo mbili.

  • Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji

    Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji

    Jun 11, 2022 07:27

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema kuwa, nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa ujumla wanapaswa kuungana na kuwa kitu kimoja katika vita vya kuangamiza fikra potofu ya ukufurishaji.

  • Mauaji ya polisi wa Marekani dhidi ya raia weusi yatambuliwa kuwa ni jinai dhidi ya binadamu

    Mauaji ya polisi wa Marekani dhidi ya raia weusi yatambuliwa kuwa ni jinai dhidi ya binadamu

    Apr 29, 2021 02:21

    Uchunguzi uliofanywa na wataalamu mashuhuri wa haki za binadamu kote dunia kuhusiana na ukatili wa polisi wa Marekani umebaini kuwa, mauaji yanayofanywa kwa mpangilio maalumu na ya kimfumo, na vitendo vya polisi vya kuwapiga na kuwanyanyasa Wamarekani weusi ni sawa na jinai dhidi ya binadamu ambavyo vinapaswa kuchunguzwa kwa kina na kufuatiliwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa.

  • Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN

    Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN

    Feb 01, 2019 02:21

    Jarida la Marekani la Foreign Policy limefichua kwamba, kabla ya kuteuliwa Michelle Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Marekani ilifanya jitihada kubwa za kuzuia uteuzi huo lakini jitihada hizo zimeambulia patupu.

  • Kamisheni ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Burundi yaongezewa muda

    Kamisheni ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Burundi yaongezewa muda

    Sep 28, 2018 14:33

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limeiongezea muda wa mwaka mmoja mwingine kamisheni ya uchunguzi ya umoja huo kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Burundi.

  • Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika atembelea Algeria

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika atembelea Algeria

    Mar 11, 2018 16:20

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika yuko Algiers, mji mkuu wa Algeria kwa ajili ya kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo kuhusu masuala ya bara la Afrika.

  • Arab League yaitaka UN kufanya uchunguzi juu ya ukatili wanaofanyiwa wafungwa wa Kipalestina katika jela za Israel

    Arab League yaitaka UN kufanya uchunguzi juu ya ukatili wanaofanyiwa wafungwa wa Kipalestina katika jela za Israel

    May 05, 2017 04:01

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeutaka Umoja wa Mataifa kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na ukandamizaji wanaofanyiwa wafungwa wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS