Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • World Vision International: Njaa inaendelea kuongezeka miongoni mwa watoto Kenya

    World Vision International: Njaa inaendelea kuongezeka miongoni mwa watoto Kenya

    Jul 27, 2022 11:51

    Shirika lisilo la kiserikali la misaada ya kibinadamu la World Vision International limetahadharisha kuhusu ongezeko la njaa na vifo miongoni mwa watoto nchini Kenya.

  • Kongamano la kubainisha fikra za Imam Hussein AS lafanyika Kenya

    Kongamano la kubainisha fikra za Imam Hussein AS lafanyika Kenya

    Jul 25, 2022 02:50

    Kongamano la kubainisha Harakati ya Imam Hussein AS, Imamu wa Tatu wa Mashia limefanyika katika mji wa Mombasa nchini Kenya na kuhudhuriwa na wasomi wa Kiislamu kutoka pembe zote za nchi hiyo na pia nchi jirani.

  • Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali

    Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali

    Jul 19, 2022 12:31

    Wakenya wamefurahia hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi. Baadhi ya Wakenya wamejitokeza kwenye mitandao ya kijamii kushukuru hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi.

  • Wakenya milioni 14 wanasumbulia na njaa huku mgogoro wa chakula ukishtadi

    Wakenya milioni 14 wanasumbulia na njaa huku mgogoro wa chakula ukishtadi

    Jul 11, 2022 11:09

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema Kenya ni miongoni mwa nchi 63 duniani zenye idadi kubwa ya watu wanaokabiliwa na lishe duni kutokana na uhaba wa chakula.

  • Watu 18 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Pwani ya Kenya

    Watu 18 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Pwani ya Kenya

    Jul 09, 2022 07:31

    Watu 18 wamepoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa katika ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha gari dogo la abiria na lori katika kaunti ya Kwale, Pwani ya Kenya.

  • Wakenya waijia juu Fox News ya Marekani kwa upotoshaji

    Wakenya waijia juu Fox News ya Marekani kwa upotoshaji

    Jul 08, 2022 10:03

    Viongozi na wananchi wa Kenya wameishutumu na kuikosoa vikali kanali ya televisheni ya Fox News ya Marekani kwa kueneza madai ya upotoshaji.

  • EAC yataka waasi wa M23 waondoke mara moja mashariki mwa DRC

    EAC yataka waasi wa M23 waondoke mara moja mashariki mwa DRC

    Jun 21, 2022 08:02

    Jumuiya ya Afrika Mashariki imelitaka kundi la waasi la M23 liondoke mara moja katika mji wa Bunagana unaodhibitiwa na wanamgambo hao, huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Abdollahian: Iran iko tayari kuipatia Kenya misaada ya kibinadamu zikiwemo chanjo cha Covid-19

    Abdollahian: Iran iko tayari kuipatia Kenya misaada ya kibinadamu zikiwemo chanjo cha Covid-19

    Jun 03, 2022 07:17

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran iko tayari kuIpatia Kenya misaada ya kibinadamu katika uga wa tiba zikiwemo chanjo za Covid-19.

  • UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame

    UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame

    May 21, 2022 12:30

    Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa dharura wa kupatikana fedha ili kusaidia mataifa ya Pembe ya Afrika ambayo kwa miezi yameshuhudia hali ya ukame inayotishia kuwa mbaya zaidi.

  • Maoni: Raila amempiku Ruto katika urais Kenya kwa kuteua mgombea mwenza mwanamke

    Maoni: Raila amempiku Ruto katika urais Kenya kwa kuteua mgombea mwenza mwanamke

    May 18, 2022 12:50

    Umaarufu wa kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais umeongezeka kwa asilimia tatu na kufikia asilimia 39 dhidi ya mpinzani wake mkuu naibu rais wa taifa hilo, William Ruto, ambaye umaarufu wake umepungua kutoka asilimia 39 na kufikia asilimia 35.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS