-
World Vision International: Njaa inaendelea kuongezeka miongoni mwa watoto Kenya
Jul 27, 2022 11:51Shirika lisilo la kiserikali la misaada ya kibinadamu la World Vision International limetahadharisha kuhusu ongezeko la njaa na vifo miongoni mwa watoto nchini Kenya.
-
Kongamano la kubainisha fikra za Imam Hussein AS lafanyika Kenya
Jul 25, 2022 02:50Kongamano la kubainisha Harakati ya Imam Hussein AS, Imamu wa Tatu wa Mashia limefanyika katika mji wa Mombasa nchini Kenya na kuhudhuriwa na wasomi wa Kiislamu kutoka pembe zote za nchi hiyo na pia nchi jirani.
-
Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali
Jul 19, 2022 12:31Wakenya wamefurahia hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi. Baadhi ya Wakenya wamejitokeza kwenye mitandao ya kijamii kushukuru hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi.
-
Wakenya milioni 14 wanasumbulia na njaa huku mgogoro wa chakula ukishtadi
Jul 11, 2022 11:09Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema Kenya ni miongoni mwa nchi 63 duniani zenye idadi kubwa ya watu wanaokabiliwa na lishe duni kutokana na uhaba wa chakula.
-
Watu 18 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Pwani ya Kenya
Jul 09, 2022 07:31Watu 18 wamepoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa katika ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha gari dogo la abiria na lori katika kaunti ya Kwale, Pwani ya Kenya.
-
Wakenya waijia juu Fox News ya Marekani kwa upotoshaji
Jul 08, 2022 10:03Viongozi na wananchi wa Kenya wameishutumu na kuikosoa vikali kanali ya televisheni ya Fox News ya Marekani kwa kueneza madai ya upotoshaji.
-
EAC yataka waasi wa M23 waondoke mara moja mashariki mwa DRC
Jun 21, 2022 08:02Jumuiya ya Afrika Mashariki imelitaka kundi la waasi la M23 liondoke mara moja katika mji wa Bunagana unaodhibitiwa na wanamgambo hao, huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Abdollahian: Iran iko tayari kuipatia Kenya misaada ya kibinadamu zikiwemo chanjo cha Covid-19
Jun 03, 2022 07:17Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran iko tayari kuIpatia Kenya misaada ya kibinadamu katika uga wa tiba zikiwemo chanjo za Covid-19.
-
UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame
May 21, 2022 12:30Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa dharura wa kupatikana fedha ili kusaidia mataifa ya Pembe ya Afrika ambayo kwa miezi yameshuhudia hali ya ukame inayotishia kuwa mbaya zaidi.
-
Maoni: Raila amempiku Ruto katika urais Kenya kwa kuteua mgombea mwenza mwanamke
May 18, 2022 12:50Umaarufu wa kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais umeongezeka kwa asilimia tatu na kufikia asilimia 39 dhidi ya mpinzani wake mkuu naibu rais wa taifa hilo, William Ruto, ambaye umaarufu wake umepungua kutoka asilimia 39 na kufikia asilimia 35.