Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Kadhi Mkuu wa Kenya Sheikh Abdulhalim aaga dunia, amezikwa leo

    Kadhi Mkuu wa Kenya Sheikh Abdulhalim aaga dunia, amezikwa leo

    Jul 10, 2025 13:13

    Kadhi Mkuu wa Kenya Sheikh Abdulhalim Hussein Athman amefariki dunia usiku wa manane wa kuamkia leo mjini Mombasa na maziko yake yamefanyika leo.

  • Mahakama Kenya yaiamuru polisi iache kufunga jiji la Nairobi wakati wa maandamano

    Mahakama Kenya yaiamuru polisi iache kufunga jiji la Nairobi wakati wa maandamano

    Jul 10, 2025 07:04

    Mahakama Kuu nchini Kenya imetoa amri ya kuwazuia polisi kuweka vizuizi au kuzuia raia kufika katikati mwa jiji la Nairobi wakati wa maandamano. Jaji wa mahakama hiyo Lawrence Mugambi alitoa amri hiyo jana Jumatano kufuatia kesi iliyowasilishwa na Katiba Institute baada ya jiji kufungwa wakati wa maandamano ya Saba Saba mnamo Jumatatu wiki hii.

  • Waendesha mashtaka Kenya: Waandamanaji 37 watafunguliwa mashtaka ya ugaidi

    Waendesha mashtaka Kenya: Waandamanaji 37 watafunguliwa mashtaka ya ugaidi

    Jul 09, 2025 08:05

    Serikali ya Kenya imetangaza kuwa itafungua mashtaka ya ugaidi dhidi ya watu 37 waliokamatwa kwenye maandamano ya kuipinga serikali mwishoni mwa mwezi Juni.

  • Umoja wa Mataifa 'washtushwa' na mauaji ya waandamanaji Kenya

    Umoja wa Mataifa 'washtushwa' na mauaji ya waandamanaji Kenya

    Jul 08, 2025 14:20

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi mkubwa juu ya vifo vya watu zaidi ya 10 nchini Kenya, ambapo polisi na waandamanaji walikabiliana wakati wa maandamano ya kupinga sera za serikali ya nchi hiyo Jumatatu.

  • 11 wauawa Kenya katika maandamano ya kumbukumbu ya vuguvugu la demokrasia

    11 wauawa Kenya katika maandamano ya kumbukumbu ya vuguvugu la demokrasia

    Jul 08, 2025 06:31

    Watu wasiopungua 11 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa wakati wa maandamano ya kuadhimisha miaka 35 ya kumbukumbu ya vuguvugu la kupigania demokrasia maarufu kama Saba Saba.

  • EACC: Wanafunzi Kenya wanatumiwa na viongozi kusajili kampuni hewa za kupora pesa

    EACC: Wanafunzi Kenya wanatumiwa na viongozi kusajili kampuni hewa za kupora pesa

    Jun 28, 2025 08:28

    Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi ya Kenya (EACC) imefichua mpango, ambapo maafisa wa juu wa serikali za Kaunti, wakiwemo magavana wanadaiwa kuwahusisha wanafunzi walioko kwenye mafunzo ya kazi kama njia ya kufuja mabilioni ya pesa za umma kupitia kampuni hewa.

  • Amnesty Kenya: Vifo 16 vimesajiliwa kufuatia ghasia zilizojiri nchini

    Amnesty Kenya: Vifo 16 vimesajiliwa kufuatia ghasia zilizojiri nchini

    Jun 26, 2025 15:50

    Watu 16 wameuawa na mamia wamejeruhiwa wakati wa maandamano ya kitaifa dhidi ya serikali nchini Kenya siku ya Jumatano, ambapo kwa mujibu wa Mkuu wa shirika la Amnest Kenya na Kamisheni ya Taifa ya Kenya ya Haki za Binadamu, wengi wao wameuawa na polisi.

  • Kenya yasimama na Morocco mgogoro wa Sahara Magharibi

    Kenya yasimama na Morocco mgogoro wa Sahara Magharibi

    May 27, 2025 06:33

    Kenya imesema inaunga mkono mpango wa Morocco wa kulipa eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi uhuru wa kujitawala chini ya mamlaka ya utawala wa kifalme wa nchi hiyo ya Afrika Kaskazini, ikiungana na idadi inayoongezeka ya nchi za Kiafrika, Kiarabu na Magharibi ambazo zimeelekeza uungaji mkono wao kwa Rabat katika mzozo huo wa miongo mitano.

  • WFP yaonya juu ya kupungua msaada wa chakula kwa wakimbizi Kenya

    WFP yaonya juu ya kupungua msaada wa chakula kwa wakimbizi Kenya

    May 23, 2025 02:59

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) jana Alkhamisi lilionya kwamba, wakimbizi nchini Kenya wanakabiliwa na hatari kubwa ya njaa huku uhaba mkubwa wa fedha ukilazimisha shirika hilo kupunguza msaada wa chakula hadi viwango vya chini zaidi.

  • Washukiwa wa al-Shabaab waua Wakenya watano Mandera

    Washukiwa wa al-Shabaab waua Wakenya watano Mandera

    Apr 30, 2025 02:33

    Wafanyakazi watano wa machimbo wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa wakati gari lao liliposhambuliwa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigadi la al-Shabaab kaskazini mashariki mwa Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS