-
Uhuru Kenyatta aongoza katika uchaguzi wa rais Kenya, upinzani wapinga matokeo
Aug 08, 2017 22:58Kinara wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amepinga matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais uliofanyika jana Jumanne, yanayoonyesha kuwa Rais wa sasa Uhuru Kenyatta anaongoza.
-
SAUTI, Matukio ya uchaguzi mkuu nchini Kenya
Aug 08, 2017 12:38Mamilioni ya Wakenya leo wameshiriki kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, madiwani, maseneta, wabunge, magavana na wawakilishi wa wanawake.
-
Uchaguzi mkuu wa Kenya wafanyika katika hali ya msisimko wa kipekee
Aug 08, 2017 11:59Mamilioni ya Wakenya leo wameshiriki kwenye uchaguzi mkuu wa kumchagua Rais, madiwani, maseneta, wabunge, magavana na wawakilishi wa wanawake.
-
UN: Tunafuatilia kwa karibu uchaguzi wa Kenya
Aug 08, 2017 03:21Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema umoja huo unafuatilia kwa karibu zoezi la uchaguzi mkuu linalofanyika hii leo nchini Kenya.
-
Igad yataka kufanyika uchaguzi wa amani Kenya
Aug 08, 2017 00:09Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiserikali wa Nchi za Mashariki na Pembe ya Afrika (Igad) imewatolea wito washika dau wote katika uchaguzi mkuu wa Kenya kuhakikisha kuwa uchaguzi wa leo unafanyika kwa amani na utulivu.
-
Wakenya wakusanya akiba ya chakula kabla ya uchaguzi mkuu kesho Jumanne
Aug 07, 2017 12:11Wananchi wa Kenya ambao wamejawa na wasiwasi leo wamekuwa wakikusanya na kujiwekea akiba ya chakula huku polisi wakiwa tayari wameandaa masanduku ya huduma ya kwanza siku moja kabla ya uchaguzi mku wa kesho ambao wengi wanahofu kwamba huwenda ukaitumbukiza tena nchi hiyo katika hali ya mchafukoge.
-
Le Monde: Baadhi ya Wakenya wanakimbia makazi yao kwa kuogopa machafuko ya uchaguzi
Aug 05, 2017 23:16Kumbukumbu chungu na mbaya za uchaguzi wa rais wa mwaka 2007 nchini Kenya zinawalazimisha baadhi ya raia wa nchi hiyo kukimbia makazi na miji yao.
-
Kenya yamtimua mtaalamu wa data za uchaguzi wa Marekani, alifanya kazi na NASA
Aug 05, 2017 09:58Polisi ya Kenya uimemtia nguvuni na kumtimua nchini humo mtaalamu wa data za uchaguzi wa Marekani na mwenzake wa Canada waliokuwa wakifanya kazi na muungano wa upinzani wa Nasa, zikiwa zimesalia siku kadhaa kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 8.
-
AU: Wakenya wanataka uchaguzi huru, wa haki na wenye uwazi
Aug 05, 2017 03:41Rais wa zamani wa Afrika Kusini ambaye anaongoza timu ya waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Afrika AU nchini Kenya amesema wananchi wa taifa hilo la Afrika Mashariki wanataka kuona zoezi hilo la Jumanne ijayo linafanyika katika mazingira huru, yenye haki na uwazi.
-
Al-Shabaab washadidisha hujuma kabla ya uchaguzi, waua watu 4 Kenya
Aug 03, 2017 02:52Huku uchaguzi mkuu wa Agosti 8 ukizidi kujongea nchini Kenya, kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linaonekana kushadidisha mashambulizi yake dhidi ya raia na maafisa usalama wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.