-
Hali ya wasiwasi yashtadi katika kukaribia uchaguzi mkuu Kenya
Aug 02, 2017 09:57Hali ya wasiwasi imeongezeka huko Kenya ikiwa zimesalia siku chache hadi kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo tarehe 8 Agosti.
-
Wawili waliuawa katika shambulio nyumbani kwa Makamu wa Rais wa Kenya
Jul 31, 2017 10:52Watu wawili waliuawa juzi katika shambulio lililofanywa katika makazi ya Makamu wa Rais wa Kenya, William Rutto. Hayo yameelezwa na polisi siku kadhaa kabla ya nchi hiyo ya Kiafrika kuendesha uchaguzi wa Rais tarehe nane Agosti.
-
SAUTI, Ripoti ya matukio ya Kiislamu kuanzia kilio cha Waislamu Kenya, Uganda na ongezeko la talaka za kiholela Zanzibar
Jul 29, 2017 10:54Ripoti ya matukio ya Kiislamu kuanzia malalamiko ya Waislamu kwa ofisi ya uhamiaji nchini Kenya ambayo inatajwa kufanya makusudi kuchelewesha kuwapatia pasi za kusafiria Waislamu zaidi ya 100 wanaotaka kwenda kushiriki ibada ya Hijja ya mwaka huu huo Saudia.
-
Makazi ya Makamu wa Rais Kenya, William Ruto yavamiwa na watu wenye silaha
Jul 29, 2017 09:03Watu wenye silaha wasiojulikana wamevamia leo nchana nyumba ya Makamu wa Rais nchini Kenya William Ruto katika eneo la Sugoi, Kaunti ya Uasin Gishu.
-
SAUTI, Waislamu nchini Kenya wakosoa vikali hatua ya Baraza la CIPK kujihusisha na siasa kwa kumpigia debe Rais Kenyatta
Jul 28, 2017 11:31Waumini wa dini ya Kiislamu nchini Kenya wamekosoa na kulaani kitendo cha Baraza la Maimamu na Wahubiri nchini Kenya CIPK kujitosa hadharani na kutangaza kumpigia debe Rais Uhuru Kenyetta wa nchi hiyo.
-
Tanzania yakanusha kupendelea upinzani katika uchaguzi wa Kenya
Jul 18, 2017 11:31Serikali ya Tanzania imekanusha madai ya kuunga mkono muungano wa upinzani nchini Kenya katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 8.
-
Kenya na Iran zaafikiana kutotoza ushuru mara mbili
Jul 15, 2017 23:46Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kenya zimetiliana saini mapatano ya kutotozana ushuru mara mbili na pia kuzuia watu au mashirika ya nchi mbili kukwepa kulipa ushuru unaotokana na mapato na uwekezaji.
-
Rais Kenyatta asema kisiwa cha Migingo ni milki ya Kenya, Uganda bado inadai inakimiliki
Jul 12, 2017 10:28Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kisiwa cha Migingo katika Ziwa Viktoria ni milki ya Kenya.
-
Jaji Mkuu Kenya amuonya Rais Uhuru, usivunje imani ya wananchi
Jul 10, 2017 03:43Jaji Mkuu wa Kenya amemuonya Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo akimtaka kuacha kuvunja imani ya wananchi kwa mahakama za nchi hiyo.
-
Magaidi wachinja watu 9 Lamu, Kenya
Jul 08, 2017 12:14Watu wanaodhaniwa kuwa magaidi wa kundi la la Shabab wamewachinja kwa kuwakata vichwa watu 9 katika shambulizi lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika kijiji kimoja cha Kaunti ya Lamu huko pwani mwa Kenya.