-
Al Shabab waua Polisi 2 katika hujuma huko Lamu, Kenya
Jul 05, 2017 10:08Maafisa wawili wa polisi nchini Kenya wameuawa baada ya magaidi wanaoaminika kuwa wa kundi la Al Shabab kushambulia kituo cha polisi katika eneo la Pandanguo katika Kaunti ya Lamu.
-
EU yaonya uwezekano wa kutokea machafuko ya uchaguzi nchini Kenya
Jul 03, 2017 10:48Umoja wa Ulaya umeonya kuhusu uwezekano wa kutokea machafuko ya uchaguzi nchini Kenya na kusema kuwa, umetuma timu yake ya kwanza ya wasimamiaji wa uchaguzi nchini humo.
-
Wakenya ni watu wa kwanza Afrika kupata jenisi ya dawa mpya za Ukimwi
Jun 28, 2017 10:31Kenya ni nchi ya kwanza ya Kiafrika kuanza kutumia jenisi (generic) ya dawa mpya za ugonjwa wa Ukimwi ambazo zinaweza kuboresha na kurefusha maisha ya makumi ya maelfu ya watu wanaotaabika na madhara makubwa na kushindwa kwenda sambamba na dawa nyingine.
-
Watu watano wauawa aktika hujuma ya kigaidi Mandera, Kenya
Jun 23, 2017 09:54Watu watano wanaripotiwa kuuawa nchini Kenya katika mji wa El Wak kaunti ya Mandera eneo la kaskazini mashariki kufuatia hujuma ya kundi la kigaidi la al-Shabab.
-
SUPKEM Kenya yataka kuweko mfumo mmoja wa masomo kwa shule za Kiislamu
Jun 22, 2017 09:29Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya SUPKEM limetoa wito wa kuandaliwa mfumo mmoja wa masomo kwa ajili ya shule za Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
SAUTI, Muungano wa upinzani nchini Kenya waionya serikali kumkamata kiongozi wake, wasema utamlinda
Jun 19, 2017 12:35Mrengo wa upinzani nchini Kenya umejitokeza na kuishutumu serikali inayoongozwa na muungano wa Jubilee kwa kuendeleza sera za undumakuwili kuhusiana na sakata la matamshi ya kiongozi wake Raila Odinga aliyoyatoa hivi karibuni.
-
Kenya na Iran zajadili mgogoro kati ya Qatar, Saudia na wapambe wake
Jun 14, 2017 03:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuwa, mgogoro unaoshuhudiwa hivi sasa katika eneo hili la Mashariki ya Kati yumkini ukapelekea madola fulani kuongeza kiwango cha ununuzi wa silaha.
-
Watu 15 watoweka baada ya jengo kuporomoka Nairobi
Jun 13, 2017 09:36Watu 15 hadi sasa hawajulikano waliko baada ya jengo la ghorofa saba kuporomoka katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi Jumatatu usiku.
-
Rais wa Kenya awakabidhi Waislamu wa jamii ya Nubi hati miliki ya ardhi Nairobi
Jun 02, 2017 09:58Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo amewakabidhi Waislamu wa jamii ya Wanubi hati miliki ya ardhi yao ya jadi yenye ukubwa wa ekari 288 katika eneo la Kibra mjini Nairobi.
-
Kenya na Iran kuimarisha mahusiano ya pande zote
Jun 01, 2017 23:53Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya, Hadi Farajvand amesema kuwa, mahusiano ya Kenya na Iran hususan katika uga wa uchumi, yamestawi sana katika miaka ya hivi karibuni.