Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kimarekani

  • Askari watatu wa Marekani wauawa Iraq katika shambulio dhidi ya kituo cha anga cha Ainul-Asad

    Askari watatu wa Marekani wauawa Iraq katika shambulio dhidi ya kituo cha anga cha Ainul-Asad

    Mar 03, 2021 13:47

    Vyombo vya habari vyenye mfungamano na makundi ya muqawama ya Iraq vimetangaza kuwa, askari watatu wa Marekani wameuawa katika shambulio dhidi ya kituo cha anga cha Ainul-Asad kilichoko mkoani Al Anbar magharibi mwa nchi hiyo.

  • Uchaguzi wa rais wa 2020; nembo ya demokrasia bandia ya Marekani

    Uchaguzi wa rais wa 2020; nembo ya demokrasia bandia ya Marekani

    Nov 07, 2020 10:14

    Kama ilivyokuwa imetabiriwa awali, uchaguzi wa mwaka huu wa rais wa Marekani ambao ulifanyika tarehe 3 mwezi huu wa Novemba umekuwa moja ya chaguzi zenye utata mkubwa zaidi katika historia ya nchi hiyo, uchaguzi ambao taathriza zake bila shaka zitabakia kwa muda mrefu katika uwanja wa siasa za nchi hiyo.

  • Helikopta za Marekani zanaswa zikiwasafirisha magaidi wa DAESH (ISIS) kutoka Syria na kuwapeleka Iraq

    Helikopta za Marekani zanaswa zikiwasafirisha magaidi wa DAESH (ISIS) kutoka Syria na kuwapeleka Iraq

    May 04, 2020 14:09

    Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya An-Nujabaa ya Iraq imetoa mkanda wa vidio unaoonyesha jinsi helikopta za jeshi la Marekani zinavyowahamisha kutoka Syria na kuwapeleka Iraq magaidi wa kundi la ukufurishaji la DAESH (ISIS).

  • Maelfu ya wanawake kuandama baada ya kuapishwa Donald Trump

    Maelfu ya wanawake kuandama baada ya kuapishwa Donald Trump

    Nov 14, 2016 15:30

    Wanawake zaidi ya 66,000 wa Marekani wametangaza kuwa wapo tayari kushiriki katika maandamano makubwa yaliyopangwa kufanyika Januari 21 mwakani, siku moja baada ya kuanza kazi rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump katika Ikulu ya White House.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS