-
Nukta nne za kistratijia katika matamshi ya Kiongozi Muadhamu kuhusu Asia Magharibi na kadhia ya Palestina.
Dec 02, 2023 04:20Akizungumza siku ya Jumatano tarehe 29 Novemba katika kikao na askari wa kujitolea mashuhuri kama Basij kutoka pembe zote za nchi, Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amegusia nukta kadhaa muhimu kuhusu operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa na stratijia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na kadhia ya Palestina.
-
Wazayuni wakiri Kimbunga cha Al-Aqsa kimeangamiza askari na walowezi wao wengi
Nov 28, 2023 14:16Jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limekiri kuwa zaidi ya askari wake 1,000 wa walowezi wa utawala huo waliuawa wakati wa mapigano ya Kimbunga cha Al-Aqsa.
-
Kamanda Fadavi: Nguvu za wananchi wa Palestina zimeifanya dunia kuemewa
Nov 25, 2023 07:02Kaimu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa, nguvu zilizooneshwa na wananchi wa Palestina katika vita vya hivi sasa vya Ghaza zimeishangaza dunia na kuifanya iemewe, na ijiulize, nguvu hizi wamezitoa wapi wananchi hawa wa Palestina.
-
Meja Jenerali Salami: Matunda yote ya Magharibi yamesombwa na Kimbunga cha Al-Aqsa
Nov 21, 2023 13:13Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema matunda yote ya Marekani, nchi za Magharibi, na Wazayuni yameyoyoma na kusombwa na operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa.
-
Matokeo ya kiuchumi ya vita vya Gaza kwa utawala wa Kizayuni
Nov 19, 2023 11:24Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ya tarehe 7 Oktoba ambayo imeupelekea utawala haramu wa Israel kupata kipigo kikubwa kihistoria imeupelekea pia utawala huo kuendelea kushindwa katika nyanja nyingine hasa ikitiliwa maanani kwamba ungali unaendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Malengo ya utawala wa Kizayuni ya kuainisha muda wa kuondoka raia huko Gaza
Nov 08, 2023 10:29Daniel Hagari, msemaji wa jeshi la utawala wa Israel alitangaza Novemba 6 kuanza usitishwaji vita wa siku mbili kwa ajili ya kutoa fursa kwa wakazi wa kaskazini mwa Ghaza kuondoka katika eneo hilo.
-
Spika wa Bunge la Iran: Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa imebadilisha mlingano wa kimataifa
Nov 04, 2023 14:34Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema: Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ilibadilisha m mpangilio mlingano wa mfumo wa kimataifa.
-
Raisi: Kushindwa kwa Wazayuni katika operesheni ya nchi kavu ni kukubwa kuliko kushindwa katika operesheni ya Kimbunga ya Al-Aqsa
Oct 29, 2023 14:51Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutaja kushindwa kwa Wazayuni katika operesheni ya nchi kavu huko Ghaza kuwa ni kukubwa zaidi kuliko kipigo na kushindwa kwake katika operesheni ya Kimbunga ya Al-Aqsa.
-
Kubainishwa misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vita vya Gaza
Oct 25, 2023 07:49Siku 19 zimepita tangu kilipoanza Kimbunga cha Al-Aqsa na vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza. Suali muhimu la kujiuliza hapa ni je, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa na msimamo gani kuhusiana na vita hivi na imechukua hatua gani?
-
Kurejea mitaani waandamanaji kumpinga Netanyahu
Oct 23, 2023 04:34Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel, kwa mara nyingine wamemiminika mitaani kushinikiza kujiuzulu waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu.