-
Kamanda Fadavi: Nguvu za wananchi wa Palestina zimeifanya dunia kuemewa
Nov 25, 2023 07:02Kaimu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa, nguvu zilizooneshwa na wananchi wa Palestina katika vita vya hivi sasa vya Ghaza zimeishangaza dunia na kuifanya iemewe, na ijiulize, nguvu hizi wamezitoa wapi wananchi hawa wa Palestina.
-
Meja Jenerali Salami: Matunda yote ya Magharibi yamesombwa na Kimbunga cha Al-Aqsa
Nov 21, 2023 13:13Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema matunda yote ya Marekani, nchi za Magharibi, na Wazayuni yameyoyoma na kusombwa na operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa.
-
Matokeo ya kiuchumi ya vita vya Gaza kwa utawala wa Kizayuni
Nov 19, 2023 11:24Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ya tarehe 7 Oktoba ambayo imeupelekea utawala haramu wa Israel kupata kipigo kikubwa kihistoria imeupelekea pia utawala huo kuendelea kushindwa katika nyanja nyingine hasa ikitiliwa maanani kwamba ungali unaendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Malengo ya utawala wa Kizayuni ya kuainisha muda wa kuondoka raia huko Gaza
Nov 08, 2023 10:29Daniel Hagari, msemaji wa jeshi la utawala wa Israel alitangaza Novemba 6 kuanza usitishwaji vita wa siku mbili kwa ajili ya kutoa fursa kwa wakazi wa kaskazini mwa Ghaza kuondoka katika eneo hilo.
-
Spika wa Bunge la Iran: Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa imebadilisha mlingano wa kimataifa
Nov 04, 2023 14:34Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema: Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ilibadilisha m mpangilio mlingano wa mfumo wa kimataifa.
-
Raisi: Kushindwa kwa Wazayuni katika operesheni ya nchi kavu ni kukubwa kuliko kushindwa katika operesheni ya Kimbunga ya Al-Aqsa
Oct 29, 2023 14:51Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutaja kushindwa kwa Wazayuni katika operesheni ya nchi kavu huko Ghaza kuwa ni kukubwa zaidi kuliko kipigo na kushindwa kwake katika operesheni ya Kimbunga ya Al-Aqsa.
-
Kubainishwa misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vita vya Gaza
Oct 25, 2023 07:49Siku 19 zimepita tangu kilipoanza Kimbunga cha Al-Aqsa na vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza. Suali muhimu la kujiuliza hapa ni je, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa na msimamo gani kuhusiana na vita hivi na imechukua hatua gani?
-
Kurejea mitaani waandamanaji kumpinga Netanyahu
Oct 23, 2023 04:34Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel, kwa mara nyingine wamemiminika mitaani kushinikiza kujiuzulu waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu.
-
Mauaji ya umati ya Wapalestina, mkakati wa utawala wa Kizayuni wa kufunika kushindwa kubwa
Oct 18, 2023 12:17Utawala wa Kizayuni ambao ulipata mshtuko mkubwa kwa kushindwa na kufedheheshwa kijeshi katika operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa, unatekeleza mauaji ya umati dhidi ya Wapalestina ili kufidia kushindwa huko.
-
Kuendelea uungaji mkono wa jamii ya kimataifa hususan nchi za Kiislamu kwa wananchi wa Gaza
Oct 18, 2023 02:28Sambamba na kupita zaidi ya siku kumi tangu utawala wa Kizayuni wa Israel uanze kufanya jinai dhidi ya wananchi wa Gaza, himaya na uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza na wanamapambano wa Palestina nao unaendelea.