Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kimbunga cha al Aqsa

  • Kamanda Fadavi: Nguvu za wananchi wa Palestina zimeifanya dunia kuemewa

    Kamanda Fadavi: Nguvu za wananchi wa Palestina zimeifanya dunia kuemewa

    Nov 25, 2023 07:02

    Kaimu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa, nguvu zilizooneshwa na wananchi wa Palestina katika vita vya hivi sasa vya Ghaza zimeishangaza dunia na kuifanya iemewe, na ijiulize, nguvu hizi wamezitoa wapi wananchi hawa wa Palestina.

  • Meja Jenerali Salami: Matunda yote ya Magharibi yamesombwa na Kimbunga cha Al-Aqsa

    Meja Jenerali Salami: Matunda yote ya Magharibi yamesombwa na Kimbunga cha Al-Aqsa

    Nov 21, 2023 13:13

    Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema matunda yote ya Marekani, nchi za Magharibi, na Wazayuni yameyoyoma na kusombwa na operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa.

  • Matokeo ya kiuchumi ya vita vya Gaza kwa utawala wa Kizayuni

    Matokeo ya kiuchumi ya vita vya Gaza kwa utawala wa Kizayuni

    Nov 19, 2023 11:24

    Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ya tarehe 7 Oktoba ambayo imeupelekea utawala haramu wa Israel kupata kipigo kikubwa kihistoria imeupelekea pia utawala huo kuendelea kushindwa katika nyanja nyingine hasa ikitiliwa maanani kwamba ungali unaendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Malengo ya utawala wa Kizayuni ya kuainisha muda wa kuondoka raia huko Gaza

    Malengo ya utawala wa Kizayuni ya kuainisha muda wa kuondoka raia huko Gaza

    Nov 08, 2023 10:29

    Daniel Hagari, msemaji wa jeshi la utawala wa Israel alitangaza Novemba 6 kuanza usitishwaji vita wa siku mbili kwa ajili ya kutoa fursa kwa wakazi wa kaskazini mwa Ghaza kuondoka katika eneo hilo.

  • Spika wa Bunge la Iran: Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa imebadilisha mlingano wa kimataifa

    Spika wa Bunge la Iran: Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa imebadilisha mlingano wa kimataifa

    Nov 04, 2023 14:34

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema: Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ilibadilisha m mpangilio mlingano wa mfumo wa kimataifa.

  • Raisi: Kushindwa kwa Wazayuni katika operesheni ya nchi kavu ni kukubwa kuliko kushindwa katika operesheni ya Kimbunga ya Al-Aqsa

    Raisi: Kushindwa kwa Wazayuni katika operesheni ya nchi kavu ni kukubwa kuliko kushindwa katika operesheni ya Kimbunga ya Al-Aqsa

    Oct 29, 2023 14:51

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutaja kushindwa kwa Wazayuni katika operesheni ya nchi kavu huko Ghaza kuwa ni kukubwa zaidi kuliko kipigo na kushindwa kwake katika operesheni ya Kimbunga ya Al-Aqsa.

  • Kubainishwa misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vita vya Gaza

    Kubainishwa misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vita vya Gaza

    Oct 25, 2023 07:49

    Siku 19 zimepita tangu kilipoanza Kimbunga cha Al-Aqsa na vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza. Suali muhimu la kujiuliza hapa ni je, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa na msimamo gani kuhusiana na vita hivi na imechukua hatua gani?

  • Kurejea mitaani waandamanaji kumpinga Netanyahu

    Kurejea mitaani waandamanaji kumpinga Netanyahu

    Oct 23, 2023 04:34

    Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel, kwa mara nyingine wamemiminika mitaani kushinikiza kujiuzulu waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu.

  • Mauaji ya umati ya Wapalestina, mkakati wa utawala wa Kizayuni wa kufunika kushindwa kubwa

    Mauaji ya umati ya Wapalestina, mkakati wa utawala wa Kizayuni wa kufunika kushindwa kubwa

    Oct 18, 2023 12:17

    Utawala wa Kizayuni ambao ulipata mshtuko mkubwa kwa kushindwa na kufedheheshwa kijeshi katika operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa, unatekeleza mauaji ya umati dhidi ya Wapalestina ili kufidia kushindwa huko.

  • Kuendelea uungaji mkono wa jamii ya kimataifa hususan nchi za Kiislamu kwa wananchi wa Gaza

    Kuendelea uungaji mkono wa jamii ya kimataifa hususan nchi za Kiislamu kwa wananchi wa Gaza

    Oct 18, 2023 02:28

    Sambamba na kupita zaidi ya siku kumi tangu utawala wa Kizayuni wa Israel uanze kufanya jinai dhidi ya wananchi wa Gaza, himaya na uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza na wanamapambano wa Palestina nao unaendelea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS