Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Ayatullah Khamenei: Taskhiri ametoa huduma kubwa kwa Ulimwengu wa Kiislamu

    Ayatullah Khamenei: Taskhiri ametoa huduma kubwa kwa Ulimwengu wa Kiislamu

    Aug 18, 2020 14:29

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametuma salamu za rambirambi kwa mnasaba wa kuaga dunia mwanazuoni, mujahid na mtetezi wa Uislamu, Hujjatul Islam Walmuslimin Muhammad Ali Taskhiri aliyekuwa kiongozi wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu na Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani katika kudondosha bomu la atomiki Hiroshima

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani katika kudondosha bomu la atomiki Hiroshima

    Aug 09, 2020 07:14

    Mwezi Agosti mwaka 1945 Marekani ilishambulia mji wa Hiroshima kwa bomu la nyuklia na kuua watu zaidi ya laki moja; hii ndio hulka ya kibeberu ya jeshi la Marekani, kutokuwa na dini, kutomwamini Mwenyezi Mungu na utovu wa maadili wa Marekani.

  • Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kufuatia tukio chungu la mlipuko wa Beirut Lebanon

    Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kufuatia tukio chungu la mlipuko wa Beirut Lebanon

    Aug 06, 2020 04:47

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kufuatia tukio la mlipuko katika bandari ya Beirut nchini Lebanon na kutangaza kuwa pamoja na serikali na wananchi wa nchi hiyo katika kipindi hiki kigumu.

  • Udharura wa mabadiliko katika Idara ya Mahakama kwa mtazamo wa  Kiongozi Muadhamu

    Udharura wa mabadiliko katika Idara ya Mahakama kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Jun 28, 2020 09:49

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumamosi alizungumza moja kwa moja kwa njia ya video na mkuu na maafisa wa ngazi za juu wa Idara ya Mahakama ya Iran ambapo alimuenzi shahidi madhulumu Ayatullah Baheshti, Shahidi Qodossi, Shahidi Ladjevardi na mashahidi wengine wa Idara ya Mahakama ya Iran.

  • Kiongozi Muadhamu atoa mkono wa pole kufuatia kifo cha mwanamuqawama wa Palestina

    Kiongozi Muadhamu atoa mkono wa pole kufuatia kifo cha mwanamuqawama wa Palestina

    Jun 08, 2020 12:14

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa mkono wa pole kufuatia kuaga dunia Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadu Islami ya Palestina, Ramadhan Abdullah Shalah.

  • Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa Bunge la Awamu ya 11; sisitizo kuhusu matarajio na stratijia muhimu

    Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa Bunge la Awamu ya 11; sisitizo kuhusu matarajio na stratijia muhimu

    May 27, 2020 10:23

    Awamu ya 11 ya Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, imeanza leo Jumatano kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Bunge la 11 la Iran lafunguliwa kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu

    Bunge la 11 la Iran lafunguliwa kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu

    May 27, 2020 08:02

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaka Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lililoanza shughuli zake leo Jumatano kuelekeza darubini na kujikita zaidi katika masuala ya uchumi wa kimuqawama na utamaduni.

  • PFLP: Hotuba ya Kiongozi Muadhamu imeainisha ramani ya njia ya kuikomboa Palestina

    PFLP: Hotuba ya Kiongozi Muadhamu imeainisha ramani ya njia ya kuikomboa Palestina

    May 23, 2020 08:06

    Afisa wa ngazi za juu wa Palestina amesema hotuba ya jana ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Quds imechora na kuanisha ramani ya njia ya ukombozi wa Palestina.

  • Kiongozi Muadhamu: Tutaliunga mkono taifa lolote linalopambana na utawala wa Kizayuni

    Kiongozi Muadhamu: Tutaliunga mkono taifa lolote linalopambana na utawala wa Kizayuni

    May 21, 2020 07:52

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran italiunga mkono taifa lolote lile linalosimama kidete dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Uzalishaji, msingi wa kujengea uchumi imara

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Uzalishaji, msingi wa kujengea uchumi imara

    May 07, 2020 08:07

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, uzalishaji ndio msingi unaowezesha kupatikana uchumi wa kitaifa na ulio imara.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS