Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Bunge la 11 la Iran lafunguliwa kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu

    Bunge la 11 la Iran lafunguliwa kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu

    May 27, 2020 03:32

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaka Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lililoanza shughuli zake leo Jumatano kuelekeza darubini na kujikita zaidi katika masuala ya uchumi wa kimuqawama na utamaduni.

  • PFLP: Hotuba ya Kiongozi Muadhamu imeainisha ramani ya njia ya kuikomboa Palestina

    PFLP: Hotuba ya Kiongozi Muadhamu imeainisha ramani ya njia ya kuikomboa Palestina

    May 23, 2020 03:36

    Afisa wa ngazi za juu wa Palestina amesema hotuba ya jana ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Quds imechora na kuanisha ramani ya njia ya ukombozi wa Palestina.

  • Kiongozi Muadhamu: Tutaliunga mkono taifa lolote linalopambana na utawala wa Kizayuni

    Kiongozi Muadhamu: Tutaliunga mkono taifa lolote linalopambana na utawala wa Kizayuni

    May 21, 2020 03:22

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran italiunga mkono taifa lolote lile linalosimama kidete dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Uzalishaji, msingi wa kujengea uchumi imara

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Uzalishaji, msingi wa kujengea uchumi imara

    May 07, 2020 03:37

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, uzalishaji ndio msingi unaowezesha kupatikana uchumi wa kitaifa na ulio imara.

  • Kiongozi Muadhamu asisitiza kuhusu umuhimu wa wafanyakazi katika uchumi salama

    Kiongozi Muadhamu asisitiza kuhusu umuhimu wa wafanyakazi katika uchumi salama

    May 06, 2020 07:02

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuhusu nafasi na umuhimu wa wafanyakazi na majukumu ya mwajiri na mwajiriwa katika kuimarisha ubora na wingi wa uzalishaji na utajiri katika uchumi salama.

  • Kiongozi Muadhamu atuma salamu za kuenzi Siku ya Mwalimu nchini Iran

    Kiongozi Muadhamu atuma salamu za kuenzi Siku ya Mwalimu nchini Iran

    May 01, 2020 09:16

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu za mkono wa kheri na baraka kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Mwalimu nchini Iran na kusema kuwa walimu wote, maskulini, vyuoni na katika Hawza (Chuo Kikuu cha Kidini) wanafanya kazi kubwa ya kulea vipaji vya watoto na mabarobaro katika njia ya matukufu ya Kiislamu na Kimapinduzi kwa shabaha ya kuunda jamii ya kidini, yenye uadilifu na yenye malengo makuu matukufu.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran ina nafasi muhimu katika kudhamini usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Kiongozi Muadhamu: Iran ina nafasi muhimu katika kudhamini usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Apr 30, 2020 03:46

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina nafasi muhimu katika kuhakikisha kuwa usalama unakuwepo katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kuhusu udharura wa kutowaogopa maadui wa Uislamu na madola dhalimu

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kuhusu udharura wa kutowaogopa maadui wa Uislamu na madola dhalimu

    Apr 26, 2020 02:51

    Njia pekee ya kuinusuru jamii ya wanadamu kuondokana na dhulma, ubaguzi, maonevu, vita, ukosefu wa usalama, na kutoheshimiwa thamani za kiutu ambako kumeshuhudiwa katika kipindi chote cha historia, ni kufuata kivitendo mafundisho ya Qurani Tukufu.

  • Kiongozi Muadhamu: Hitajio la mwanadamu wa leo kwa mkombozi ni nadra kuwahi kushuhudiwa katika historia

    Kiongozi Muadhamu: Hitajio la mwanadamu wa leo kwa mkombozi ni nadra kuwahi kushuhudiwa katika historia

    Apr 09, 2020 08:41

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hitajio la kina na pana la mwanadamu wa leo la kuwa na mkombozi ni nadra kushuhudiwa katika historia. Amesisitiza kuwa, maana halisi na yenye manufaa ya kusubiri mwokozi ni kuwa na matumaini na itikadi kuhusu faraja sambamba na kuchukua hatua za kufikia mustakbali mwema na akaongeza kuwa: "Taifa la Iran limefaulu vizuri katika mtihani wa ugonjwa wa hivi karibuni; na mwenendo na nidhamu ya umma ni nzuri katika kufuata maelekezo."

  • Kiongozi Muadhamu alipongeza taifa la Iran kwa kukabiliana na janga la corona

    Kiongozi Muadhamu alipongeza taifa la Iran kwa kukabiliana na janga la corona

    Apr 09, 2020 03:53

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelipongeza taifa la Iran kwa jitihada zake za dhati za kupambana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona, huku akilitaja janga hilo kama mtihani unaoikabili dunia nzima.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS