Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Kiongozi wa Mapinduzi atoa mwito wa kuboreshwa hati ya maendeleo inayofuata kigezo cha Uislamu na Iran

    Kiongozi wa Mapinduzi atoa mwito wa kuboreshwa hati ya maendeleo inayofuata kigezo cha Uislamu na Iran

    Oct 14, 2018 16:18

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa mwito wa kuboreshwa na kukamilishwa hati ya malengo ya maendeleo inayofuata misingi ya Uislamu na Iran.

  • Kiongozi Muadhamu: Hakuna mkwamo wala tatizo lolote nchini lisiloweza kutatuliwa

    Kiongozi Muadhamu: Hakuna mkwamo wala tatizo lolote nchini lisiloweza kutatuliwa

    Oct 11, 2018 16:06

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa hakuna mkwamo wala tatizo lolote nchini lisiloweza kutatuka.

  • Sifa za kipekee za kituo cha ulinzi wa anga Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Sifa za kipekee za kituo cha ulinzi wa anga Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Sep 03, 2018 10:50

    "Kituo cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran, ni sehemu muhimu ya majeshi kwani iko katika mstari wa mbele wa kukabiliana na maadui wa Iran."

  • Kiongozi: Jeshi la Iran lijiimarishe hata kama hakuna uwezekano wa vita

    Kiongozi: Jeshi la Iran lijiimarishe hata kama hakuna uwezekano wa vita

    Sep 02, 2018 13:11

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesema uwezekano wa kuanzishwa vita vya kijeshi dhidi ya Iran ni mdogo sana kwa kuzingaita hali ya hivi sasa ya kisiasa, lakini pamoja na hayo Majeshi ya Iran yanapaswa kuendelea kujiimarisha kwa mtazamo wa nguvu kazi na zana za kivita.

  • Mtazamo wa Kiongozi; Mustakabali wa Mafanikio wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Mtazamo wa Kiongozi; Mustakabali wa Mafanikio wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Aug 09, 2018 07:50

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu hivi karibuni alitembelewa na ujumbe wa wanaharakati wa kiutamaduni walioko nje ya nchi. Akizungumzia wasiwasi uliobainishwa na ujumbe huo kuhusu mustakabali wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyed Ali Khamenei alisema:"Hawathubutu kufanya upuuzi wowote ule; waambieni hili watu wote."

  • Ayatullah Khamenei:

    Ayatullah Khamenei: "Siasa za Kishetani' za Marekani kuhusiana na Palestina katu hazitafanikiwa

    Jul 16, 2018 14:30

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, siasa za kishetani za Marekani kuhusiana na Palestina kamwe hazitafanikiwa.

  • Utambulisho halisi wa Marekani kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Utambulisho halisi wa Marekani kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Jun 21, 2018 07:10

    Kingozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, Jumatano asubuhi alikutana na Spika wa Majlisi ya Kiislamu, Bunge la Iran, wabunge na wafanyakazi wa bunge ambapo alibainisha utambulisho na malengo halisi ya Marekani katika eneo.

  • Kiongozi Muadhamu: Sharti Wapalestina wenyewe waamue hatima ya Palestina

    Kiongozi Muadhamu: Sharti Wapalestina wenyewe waamue hatima ya Palestina

    Jun 11, 2018 07:45

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hatima ya Palestina inapaswa kuamuliwa na Wapalestina wenyewe, wakiwemo Waislamu, Wakristo na Mayahudi ambao wana asili na waliishi katika ardhi ya jadi ya Palestina.

  • Kiongozi Muadhamu: Ndoto ya maadui kuhusu JCPOA kamwe haitoaguliwa

    Kiongozi Muadhamu: Ndoto ya maadui kuhusu JCPOA kamwe haitoaguliwa

    Jun 04, 2018 16:43

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa ndoto waliyo nayo maadui kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA kamwe haitotimia. Amesema hayo leo katika kumbukumbu za mwaka wa 29 wa kufariki dunia Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na huku akigusia mazungumzo ya nchi za Ulaya na Iran kuhusu mapatano ya hayo ya nyuklia amesema, taifa na serikali ya Iran haiwezi kukubaliana na vikwazo vya nyuklia na kwamba njozi ya maadui kuhusu JCPOA haitaaguliwa kwamwe.

  • Kiongozi Muadhamu: Ikiwa Ulaya itazembea,  lran ina haki ya kuanzisha shughuli zake za nyuklia

    Kiongozi Muadhamu: Ikiwa Ulaya itazembea, lran ina haki ya kuanzisha shughuli zake za nyuklia

    May 24, 2018 04:51

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria uadui wa msingi, wa kina na endelevu wa Marekani dhidi ya mfumo wa Kiislamu na taifa la Iran na kusisitiza kwamba bila shaka Iran itaishinda tu Marekani iwapo viongozi wa Iran watatekeleza vilivyo majukumu yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS