-
Kiongozi wa Mapinduzi atoa mwito wa kuboreshwa hati ya maendeleo inayofuata kigezo cha Uislamu na Iran
Oct 14, 2018 16:18Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa mwito wa kuboreshwa na kukamilishwa hati ya malengo ya maendeleo inayofuata misingi ya Uislamu na Iran.
-
Kiongozi Muadhamu: Hakuna mkwamo wala tatizo lolote nchini lisiloweza kutatuliwa
Oct 11, 2018 16:06Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa hakuna mkwamo wala tatizo lolote nchini lisiloweza kutatuka.
-
Sifa za kipekee za kituo cha ulinzi wa anga Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu
Sep 03, 2018 10:50"Kituo cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran, ni sehemu muhimu ya majeshi kwani iko katika mstari wa mbele wa kukabiliana na maadui wa Iran."
-
Kiongozi: Jeshi la Iran lijiimarishe hata kama hakuna uwezekano wa vita
Sep 02, 2018 13:11Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesema uwezekano wa kuanzishwa vita vya kijeshi dhidi ya Iran ni mdogo sana kwa kuzingaita hali ya hivi sasa ya kisiasa, lakini pamoja na hayo Majeshi ya Iran yanapaswa kuendelea kujiimarisha kwa mtazamo wa nguvu kazi na zana za kivita.
-
Mtazamo wa Kiongozi; Mustakabali wa Mafanikio wa Mapinduzi ya Kiislamu
Aug 09, 2018 07:50Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu hivi karibuni alitembelewa na ujumbe wa wanaharakati wa kiutamaduni walioko nje ya nchi. Akizungumzia wasiwasi uliobainishwa na ujumbe huo kuhusu mustakabali wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyed Ali Khamenei alisema:"Hawathubutu kufanya upuuzi wowote ule; waambieni hili watu wote."
-
Ayatullah Khamenei: "Siasa za Kishetani' za Marekani kuhusiana na Palestina katu hazitafanikiwa
Jul 16, 2018 14:30Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, siasa za kishetani za Marekani kuhusiana na Palestina kamwe hazitafanikiwa.
-
Utambulisho halisi wa Marekani kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu
Jun 21, 2018 07:10Kingozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, Jumatano asubuhi alikutana na Spika wa Majlisi ya Kiislamu, Bunge la Iran, wabunge na wafanyakazi wa bunge ambapo alibainisha utambulisho na malengo halisi ya Marekani katika eneo.
-
Kiongozi Muadhamu: Sharti Wapalestina wenyewe waamue hatima ya Palestina
Jun 11, 2018 07:45Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hatima ya Palestina inapaswa kuamuliwa na Wapalestina wenyewe, wakiwemo Waislamu, Wakristo na Mayahudi ambao wana asili na waliishi katika ardhi ya jadi ya Palestina.
-
Kiongozi Muadhamu: Ndoto ya maadui kuhusu JCPOA kamwe haitoaguliwa
Jun 04, 2018 16:43Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa ndoto waliyo nayo maadui kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA kamwe haitotimia. Amesema hayo leo katika kumbukumbu za mwaka wa 29 wa kufariki dunia Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na huku akigusia mazungumzo ya nchi za Ulaya na Iran kuhusu mapatano ya hayo ya nyuklia amesema, taifa na serikali ya Iran haiwezi kukubaliana na vikwazo vya nyuklia na kwamba njozi ya maadui kuhusu JCPOA haitaaguliwa kwamwe.
-
Kiongozi Muadhamu: Ikiwa Ulaya itazembea, lran ina haki ya kuanzisha shughuli zake za nyuklia
May 24, 2018 04:51Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria uadui wa msingi, wa kina na endelevu wa Marekani dhidi ya mfumo wa Kiislamu na taifa la Iran na kusisitiza kwamba bila shaka Iran itaishinda tu Marekani iwapo viongozi wa Iran watatekeleza vilivyo majukumu yao.