Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Kiongozi: Vita vya Miaka Minane vilikuwa na lengo la kuangamiza Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Kiongozi: Vita vya Miaka Minane vilikuwa na lengo la kuangamiza Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Mar 10, 2018 14:53

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Madola makubwa ya kimataifa, yalianzisha vita vya miaka minane vya kulazimishwa dhidi ya taifa la Iran kwa lengo la kuangamiza Mapinduzi ya Kiislamu lakini kutokana na adhama, kujitolea, imani, tadbiri, ushujaa, na uono wa mbali wa vijana, vita hivyo vilimalizika kwa manufaa ya taifa na Mapinduzi ya Kiislamu yakawa yameimarika na kukita mizizi zaidi."

  • Kiongozi: Kujishughulisha Iran na masuala ya eneo hakuna uhusiano wowote na Marekani na Ulaya

    Kiongozi: Kujishughulisha Iran na masuala ya eneo hakuna uhusiano wowote na Marekani na Ulaya

    Mar 08, 2018 16:36

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesema: wakati Marekani inajiingiza kila mahali kwa kuzusha fitina na kufanya uharibifu, kila mara inatilia shaka kuwepo na kujishughulisha Iran na masuala ya eneo la Mashariki ya Kati.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza umuhimu wa kupanda miti

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza umuhimu wa kupanda miti

    Mar 06, 2018 17:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo amepanda miti miwili ya matunda katika maadhimisho ya Siki ya Kupanda Miti na Wiki ya Maliasili.

  • Kushindwa maadui mbele ya mhimili wa muqawama kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Kushindwa maadui mbele ya mhimili wa muqawama kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Mar 02, 2018 08:03

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Syria leo hii iko katika mstari wa mbele wa muqawama hivyo basi ni jukumu letu kuunga mkono kusimama kidete nchi hiyo na kwamba, Rais wa Syria Bashar al Assad amedhihirika katika sura moja ya mwana muqawama mkubwa na kwamba yupo imara na hakuna shaka yoyote kuhusu Rais Assad; na jambo hilo ni muhimu sana kwa nchi yoyote ile.

  • Kiongozi Muadhamu: Siku ya kusali sala ya jamaa Quds itafika karibuni hivi

    Kiongozi Muadhamu: Siku ya kusali sala ya jamaa Quds itafika karibuni hivi

    Mar 01, 2018 15:40

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, leo Alkhamisi ameonana na kundi la maulamaa wa Syria na kusisitizia wajibu wa kushikamana vilivyo na mambo yanayowaunganisha Waislamu wote. Amesema: Ni matumaini yetu sote tutaiona siku ambayo mtasali sala la jamaa mjini Quds na siku hiyo haiko mbali tena bali itafika karibuni hivi, ni sawa tu kama watu kama sisi tutakuwa bado tupo au hatupo tena.

  • Kiongozi Muadhamu: Vibarua walionyesha uono wa mbali katika matukio ya Mapinduzi na Kujihami Kutakatifu

    Kiongozi Muadhamu: Vibarua walionyesha uono wa mbali katika matukio ya Mapinduzi na Kujihami Kutakatifu

    Feb 26, 2018 14:31

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kuwaenzi mashahidi wa baadhi ya matabaka kama vile mashahidi vibarua ni jambo lenye thamani maradufu kwa sababu katika matukio yote ya Mapinduzi ya Kiislamu, na kukabiliana na makundi potovu na pia katika zama za kujihami kutakatifu, vibarua nchini Iran walionyesha ghera na uono wa mbali na kujitokeza katika medani.

  • Kiongozi Muadhamu alipongeza taifa kwa kushiriki kwa hamasa kubwa kumbukumbu za Mapinduzi ya Kiislamu

    Kiongozi Muadhamu alipongeza taifa kwa kushiriki kwa hamasa kubwa kumbukumbu za Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 18, 2018 15:59

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelipongeza taifa la Iran kwa kushiriki kwa hamasa, mshikamano na shauku kubwa katika maadhimisho ya miaka 39 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Kiongozi: Mashia na Masuni nchini wako bega kwa bega katika vipindi vigumu kabisa

    Kiongozi: Mashia na Masuni nchini wako bega kwa bega katika vipindi vigumu kabisa

    Feb 13, 2018 16:49

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kusimama kidete Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mbele ya ujahilia mamboleo pamoja na kuwepo vikwazo na njama zote za kijeshi na kiutamaduni za adui kunatokana na imani na kujitolea mhanga Wairani.

  • Kiongozi Muadhamu awapongeza Wairani kwa ushiriki mkubwa katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Kiongozi Muadhamu awapongeza Wairani kwa ushiriki mkubwa katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 12, 2018 05:20

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumapili usiku ametoa ujumbe na kuwapongeza wananchi wa Iran kwa kushiriki kwa wingi katika maandamano ya Yawmullah 22 Bahman (11 Februari) ambayo ni siku ya maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Sisitizo la Umoja wa Ulaya la kupatiwa suluhisho mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Sisitizo la Umoja wa Ulaya la kupatiwa suluhisho mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Feb 01, 2018 11:20

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesema suluhisho la kuundwa nchi mbili kwa ajili ya mgogoro wa Mashariki ya Kati halina chaguo jengine mbadala la kisiasa lenye itibari na la kudumu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS