-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu ulazima wa kudhoofisha azma ya adui ya kutaka kuishambulia Iran
Aug 29, 2016 08:11Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, adui anapaswa ajue kwamba, kama atajaribu kuishambulia Iran atapata kipigo kikali. Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameyasema hayo katika mkutano na makamanda na maafisa wa Kituo cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi cha Khaatamul-Anbiyaa.
-
Kiongozi Muadhamu: Kambi inayokabiliana na Iran ni ya makhabithi
Aug 28, 2016 10:03Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, adui anapaswa kufahamu kuwa, kama atajaribu kuishambulia Iran, atapata pigo kubwa.
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu awapongeza wanamichezo wa Iran
Aug 23, 2016 12:10Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewapongeza wanamichezo waliotwaa medali, wanamichezo wengine wote pamoja na makocha wa msafara wa wanamichezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran walioshiriki kwenye mashindano ya Olimpiki ya Rio 2016.
-
Ayatullah Khamenei: Marekani, chanzo cha ugaidi, vita katika ulimwengu wa Kiislamu
Jul 06, 2016 09:30Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema chanzo kikuu cha vita, ukosefu wa usalama katika eneo la Magharibi mwa Asia na Ulimwengu wa Kiislamu ni madola makubwa ya kiistikbari yakiongozwa na Marekani.
-
Ayatullah Khamenei: Iran haina haja ya kuwa na uhusiano na Marekani
Jul 03, 2016 03:05Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepuuzilia mbali madai ya Washington kuwa iko tayari kufanya mazungumzo na Iran juu ya masuala mbalimbali ya kieneo.
-
Kiongozi Muadhamu: Iran ifuatilie haki zake zilizokiukwa na Marekani
Jun 29, 2016 23:09Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amevitaka vyombo vya mahakama Iran kuchukua hatua imara zaidi katika kufuatilia haki za Iran zilizokiukwa kutokana na vikwazo kupitia vyombo vya mahakama vya kimataifa.
-
Magaidi wa ISIS waliibuliwa kuiangamiza Iran lakini kwa nguvu zake imewalemaza
Jun 25, 2016 23:16Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumamosi amesema magaidi wa ISIS waliibuliwa kuiangamiza Iran lakini kwa nguvu zake, Iran imeweza kuwalemaza.
-
Kiongozi Muadhamu awausia viongozi wa serikali kufuata mwenendo wa Imam Ali (as)
Jun 23, 2016 00:17Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei alasiri ya jana alikutana na kuhutubia baraza la mawaziri kabla ya dhifa ya chakula cha futari ambapo alieleza vipengee kadhaa vya hekima za Imam Ali bin Abi Twalib (as) zilizoandikwa katika kitabu cha Nahjul Balagha.
-
Kiongozi Muadhamu ataja vipaumbele vya Bunge la Iran
Jun 05, 2016 10:57Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, uchumi wa kimuqawama, utamaduni na kufuatilia siasa za ndani ya nchi, za kieneo na za kimataifa ndivyo vipaumbele vikuu vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran).
-
Dafina za Imam Khomeini kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu
Jun 04, 2016 00:04Leo Ijumaa, taifa zima la Iran na wapenzi na wafuasi wa njia na fikra za Imam Khomeini MA wameshiriki kwa namna moja au nyinginekatika kumbukumbu za mwaka wa 27 wa kuomboleza siku alipofariki duniani mwanachuoni na shakhsia huyo mkubwa.