Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu ulazima wa kudhoofisha azma ya adui ya kutaka kuishambulia Iran

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu ulazima wa kudhoofisha azma ya adui ya kutaka kuishambulia Iran

    Aug 29, 2016 08:11

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, adui anapaswa ajue kwamba, kama atajaribu kuishambulia Iran atapata kipigo kikali. Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameyasema hayo katika mkutano na makamanda na maafisa wa Kituo cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi cha Khaatamul-Anbiyaa.

  • Kiongozi Muadhamu: Kambi inayokabiliana na Iran ni ya makhabithi

    Kiongozi Muadhamu: Kambi inayokabiliana na Iran ni ya makhabithi

    Aug 28, 2016 10:03

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, adui anapaswa kufahamu kuwa, kama atajaribu kuishambulia Iran, atapata pigo kubwa.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu awapongeza wanamichezo wa Iran

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu awapongeza wanamichezo wa Iran

    Aug 23, 2016 12:10

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewapongeza wanamichezo waliotwaa medali, wanamichezo wengine wote pamoja na makocha wa msafara wa wanamichezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran walioshiriki kwenye mashindano ya Olimpiki ya Rio 2016.

  • Ayatullah Khamenei: Marekani, chanzo cha ugaidi, vita katika ulimwengu wa Kiislamu

    Ayatullah Khamenei: Marekani, chanzo cha ugaidi, vita katika ulimwengu wa Kiislamu

    Jul 06, 2016 09:30

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema chanzo kikuu cha vita, ukosefu wa usalama katika eneo la Magharibi mwa Asia na Ulimwengu wa Kiislamu ni madola makubwa ya kiistikbari yakiongozwa na Marekani.

  • Ayatullah Khamenei: Iran haina haja ya kuwa na uhusiano na Marekani

    Ayatullah Khamenei: Iran haina haja ya kuwa na uhusiano na Marekani

    Jul 03, 2016 03:05

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepuuzilia mbali madai ya Washington kuwa iko tayari kufanya mazungumzo na Iran juu ya masuala mbalimbali ya kieneo.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran ifuatilie haki zake zilizokiukwa na Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Iran ifuatilie haki zake zilizokiukwa na Marekani

    Jun 29, 2016 23:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amevitaka vyombo vya mahakama Iran kuchukua hatua imara zaidi katika kufuatilia haki za Iran zilizokiukwa kutokana na vikwazo kupitia vyombo vya mahakama vya kimataifa.

  • Magaidi wa ISIS waliibuliwa kuiangamiza Iran lakini kwa nguvu zake imewalemaza

    Magaidi wa ISIS waliibuliwa kuiangamiza Iran lakini kwa nguvu zake imewalemaza

    Jun 25, 2016 23:16

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumamosi amesema magaidi wa ISIS waliibuliwa kuiangamiza Iran lakini kwa nguvu zake, Iran imeweza kuwalemaza.

  • Kiongozi Muadhamu awausia viongozi wa serikali kufuata mwenendo wa Imam Ali (as)

    Kiongozi Muadhamu awausia viongozi wa serikali kufuata mwenendo wa Imam Ali (as)

    Jun 23, 2016 00:17

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei alasiri ya jana alikutana na kuhutubia baraza la mawaziri kabla ya dhifa ya chakula cha futari ambapo alieleza vipengee kadhaa vya hekima za Imam Ali bin Abi Twalib (as) zilizoandikwa katika kitabu cha Nahjul Balagha.

  • Kiongozi Muadhamu ataja vipaumbele vya Bunge la Iran

    Kiongozi Muadhamu ataja vipaumbele vya Bunge la Iran

    Jun 05, 2016 10:57

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, uchumi wa kimuqawama, utamaduni na kufuatilia siasa za ndani ya nchi, za kieneo na za kimataifa ndivyo vipaumbele vikuu vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran).

  • Dafina za Imam Khomeini kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Dafina za Imam Khomeini kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Jun 04, 2016 00:04

    Leo Ijumaa, taifa zima la Iran na wapenzi na wafuasi wa njia na fikra za Imam Khomeini MA wameshiriki kwa namna moja au nyinginekatika kumbukumbu za mwaka wa 27 wa kuomboleza siku alipofariki duniani mwanachuoni na shakhsia huyo mkubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS