Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Kiongozi Muadhamu awataka wananchi kudumisha

    Kiongozi Muadhamu awataka wananchi kudumisha "moyo wa kimapinduzi"

    Jun 03, 2016 03:43

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa wito kwa wananchi kulinda na kudumisha "moyo wa kimapinduzi" uliowatimua maadui nje ya nchi miaka 38 iliyopita.

  • Vipaumbele vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi

    Vipaumbele vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi

    May 28, 2016 08:54

    Duru ya kumi ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran imeanza rasmi leo Jumamosi katika sherehe iliyoambatana na ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Baraza la Tano la Wanazuoni wa Kumchagua Kiongozi lazinduliwa kwa ujumbe wa Kiongozi Muadhamu

    Baraza la Tano la Wanazuoni wa Kumchagua Kiongozi lazinduliwa kwa ujumbe wa Kiongozi Muadhamu

    May 24, 2016 11:53

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema jukumu la Baraza la Wanazuoni Wataalamu wa Kumchagua Kiongozi Mkuu ni kulinda kwa umakini na kwa hali zote utambulisho wa Kiislamu na Kimapinduzi wa Mfumo.

  • Hotuba ya Kiongozi Muadhamu katika maadhimisho ya Kubaathiwa Mtume (saw)

    Hotuba ya Kiongozi Muadhamu katika maadhimisho ya Kubaathiwa Mtume (saw)

    May 05, 2016 09:15

    Kupambana na harakati ya ujahili, ndilo jukumu muhimu zaidi la Umma wa Kiislamu.

  • Kiongozi Muadhamu: Uhusiano wa Iran na Korea Kusini lazima uendelee

    Kiongozi Muadhamu: Uhusiano wa Iran na Korea Kusini lazima uendelee

    May 03, 2016 00:00

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitizia umuhimu wa kuendelezwa uhusiano imara na usioweza kuathiriwa na vikwazo na uhasama wa Marekani baina ya Iran na Korea Kusini,.

  • Ayatullah Khamenei: Ustaarabu wa Kiislamu hauwezi kutimia bila ya kigezo cha maendeleo cha Kiislamu

    Ayatullah Khamenei: Ustaarabu wa Kiislamu hauwezi kutimia bila ya kigezo cha maendeleo cha Kiislamu

    Apr 25, 2016 12:07

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa ustaarabu wa Kiislamu hauwezi kutimia bila ya kuwepo kigezo cha maendeleo cha Kiislamu.

  • Mazungumzo ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Waziri Mkuu wa Italia

    Mazungumzo ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Waziri Mkuu wa Italia

    Apr 13, 2016 08:38

    Waziri Mkuu wa Italia Matteo Renzi, ambaye yuko safarini hapa nchini jana alionana na kufanya mazungumzo na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.

  • Kiongozi Muadhamu asisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Kiongozi Muadhamu asisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Apr 12, 2016 12:23

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, madola yanayodai kupambana na ugaidi hususan Marekani hayana nia ya kweli katika uwanja huo.

  • Ayatullah Khamenei: Sera za uchumi ngangari zitekelezwe ipasavyo

    Ayatullah Khamenei: Sera za uchumi ngangari zitekelezwe ipasavyo

    Apr 07, 2016 02:50

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amekutana na kuhutubia hadhara ya maafisa wa mihimili mitatu ya dola na kusisitiza kuwa ataunga mkono kwa nguvu zote hatua yoyote yenye manufaa na ya dharura kwa ajili ya maslahi ya taifa, na kwa ajili ya kutatua matatizo ya wananchi.

  • Rais Rouhani amtumia Kiongozi Muadhamu salamu za mwaka mpya wa Hijria Shamsia

    Rais Rouhani amtumia Kiongozi Muadhamu salamu za mwaka mpya wa Hijria Shamsia

    Mar 21, 2016 11:47

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempa mkono wa kheri na fanaka Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa kuwadia mwaka mpya wa 1395 Hijria Shamsia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS