-
Kiongozi Muadhamu awausia viongozi wa serikali kufuata mwenendo wa Imam Ali (as)
Jun 23, 2016 00:17Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei alasiri ya jana alikutana na kuhutubia baraza la mawaziri kabla ya dhifa ya chakula cha futari ambapo alieleza vipengee kadhaa vya hekima za Imam Ali bin Abi Twalib (as) zilizoandikwa katika kitabu cha Nahjul Balagha.
-
Kiongozi Muadhamu ataja vipaumbele vya Bunge la Iran
Jun 05, 2016 10:57Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, uchumi wa kimuqawama, utamaduni na kufuatilia siasa za ndani ya nchi, za kieneo na za kimataifa ndivyo vipaumbele vikuu vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran).
-
Dafina za Imam Khomeini kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu
Jun 04, 2016 00:04Leo Ijumaa, taifa zima la Iran na wapenzi na wafuasi wa njia na fikra za Imam Khomeini MA wameshiriki kwa namna moja au nyinginekatika kumbukumbu za mwaka wa 27 wa kuomboleza siku alipofariki duniani mwanachuoni na shakhsia huyo mkubwa.
-
Kiongozi Muadhamu awataka wananchi kudumisha "moyo wa kimapinduzi"
Jun 03, 2016 03:43Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa wito kwa wananchi kulinda na kudumisha "moyo wa kimapinduzi" uliowatimua maadui nje ya nchi miaka 38 iliyopita.
-
Vipaumbele vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi
May 28, 2016 08:54Duru ya kumi ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran imeanza rasmi leo Jumamosi katika sherehe iliyoambatana na ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Baraza la Tano la Wanazuoni wa Kumchagua Kiongozi lazinduliwa kwa ujumbe wa Kiongozi Muadhamu
May 24, 2016 11:53Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema jukumu la Baraza la Wanazuoni Wataalamu wa Kumchagua Kiongozi Mkuu ni kulinda kwa umakini na kwa hali zote utambulisho wa Kiislamu na Kimapinduzi wa Mfumo.
-
Hotuba ya Kiongozi Muadhamu katika maadhimisho ya Kubaathiwa Mtume (saw)
May 05, 2016 09:15Kupambana na harakati ya ujahili, ndilo jukumu muhimu zaidi la Umma wa Kiislamu.
-
Kiongozi Muadhamu: Uhusiano wa Iran na Korea Kusini lazima uendelee
May 03, 2016 00:00Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitizia umuhimu wa kuendelezwa uhusiano imara na usioweza kuathiriwa na vikwazo na uhasama wa Marekani baina ya Iran na Korea Kusini,.
-
Ayatullah Khamenei: Ustaarabu wa Kiislamu hauwezi kutimia bila ya kigezo cha maendeleo cha Kiislamu
Apr 25, 2016 12:07Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa ustaarabu wa Kiislamu hauwezi kutimia bila ya kuwepo kigezo cha maendeleo cha Kiislamu.
-
Mazungumzo ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Waziri Mkuu wa Italia
Apr 13, 2016 08:38Waziri Mkuu wa Italia Matteo Renzi, ambaye yuko safarini hapa nchini jana alionana na kufanya mazungumzo na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.