-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kuongezwa uwezo wa kijeshi wa nchi
Nov 28, 2024 13:10Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema, kuongeza utayari na uwezo wa kivita ndilo jukumu muhimu zaidi la vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Imam Khamenei: Ushindi wa kambi ya Haki na ya Muqawama ni kitu kisichoepukika
Nov 07, 2024 11:13Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia jinsi harakati za Muqawama wa Kiislamu za Hizbullah na HAMAS zinavyoendelea na mapambano yao kwa nguvu zote licha ya misukosuko mikubwa iliyozikumba harakati hizo na kusisitiza kuwa, kama inavyoonesha ahadi ya Allah, ushindi wa kambi ya Muqawama ni kitu cha lazima kisichoepukika.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Wazayuni si lolote si chochote kuweza kuisababishia madhara makubwa Hizbullah
Sep 28, 2024 10:54Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesisitiza kuwa, watenda jinai wa Kizayuni wajue kwamba wao si lolote kuweza kuusababishia madhara makubwa muundo imara wa Hizbullah ya Lebanon.
-
Mambo yanayofanana katika vita vya miaka 8 vya kulazimishwa na vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza kwa mtazamo wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Sep 26, 2024 11:55Siku ya Jumatano asubuhi, kundi la maveterani wa vita vya kulazimishwa vya Iraq dhidi ya Iran na wanaharakati wa jihadi na muqawama lilikutana na Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini, katika siku ya tano ya Wiki ya Kujitetea Kutakatifu.
-
Kiongozi Muadhamu amuidhinisha rasmi Dkt Pezeshkian kuwa Rais wa Iran
Jul 28, 2024 07:48Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemuidhinisha rasmi Masoud Pezeshkian kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika hafla iliyohudhuriwa na maafisa wa kitaifa na kijeshi hapa Tehran.
-
Kiongozi Muadhamu: Uungaji mkono wa ulimwengu kwa Palestina unatokana na moyo wa Mapinduzi ya Kiislamu
Jul 26, 2024 04:24Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema harakati zinazofanywa duniani siku hizi kwa manufaa ya Palestina ni matokeo ya moyo wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Kiongozi Muadhamu: Kufanikiwa Rais mpya wa Iran, ni mafanikio kwetu sote
Jul 21, 2024 11:03Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameiasa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) idumishe maingiliano yenye kujenga na uongozi wa Rais mteule wa Jamhuri ya Kiislamu, Masoud Pezeshkian na kusema kuwa, mafanikio ya Rais mpya wa Iran ya Kiislamu ni mafanikio ya taifa hili zima.
-
Nukta muhimu katika ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa kikao cha Umoja wa Jumuiya za Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya
Jul 07, 2024 11:53Katika ujumbe wake kwa mkutano wa 58 wa Jumuiya za Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, ameashiria masuala tata ya hivi sasa ya ulimwengu na akasisitiza nafasi na taathira za wanafunzi hao katika masuala makubwa kwa kuegemea shauku, imani na kujiamini.
-
Kiongozi Muadhamu ampongeza Rais mteule wa Iran; awashukuru Wairani kwa kupiga kura kwa wingi
Jul 06, 2024 12:10Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amempongeza Rais mteule wa Iran, Masoud Pezeshkian na kutoa shukrani za dhati pia kwa wagombea wote wa uchaguzi wa 14 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu; na maafisa walioshiriki katika mchakato mzima wa uchaguzi huo.
-
Kiongozi Muadhamu: Ushiriki mkubwa katika uchaguzi ni fahari kwa Iran, kiwewe kwa maadui
Jun 25, 2024 13:34Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema ushiriki mkubwa zaidi katika uchaguzi wa rais wa kabla ya wakati unatazamiwa kufanyika Juni 28, utalipa fahari taifa la Iran na kuwaghadhabisha maadui wa Jamhuri ya Kiislamu.