Nov 20, 2018 08:07
Mwakilishi wa Minnesota katika Kongresi ya Marekani, Ilhan Omar amesema ataanzisha jitihada za kuhakikisha kuwa sheria ya kupigwa marufuku uvaaji wa mitandio kichwani ikiwemo Hijabu inayovaliwa na wanawake Waislamu katika Bunge la Wawakilishi wa Marekani, inaangaliwa upya.